Tetesi: Mtu mwenye Div four ya 26,unaweza kusomea nini??

Tetesi: Mtu mwenye Div four ya 26,unaweza kusomea nini??

It's better yeye asee kuwa Ana interest na course gani then tuone kwa hiyo perfomance yake ata fit ama vepe, maana unaweza kumwambia aende teaching while huwa ana Ndoto za kuwa lawyer.
 
Ushauri:

Huwezi kumchagulia mtu fani unless awe na kipaji cha ile fani husika.
Asume "Computer Information System" lakini kama hana hata interests za hiyo fani....
So ni vyema muulize angependa kuwa nani.... Katika fani atakazotaja chagua miongoni mwa hizo

Ahsante
Asante Mkuu,naweza kupata wapi maelekezo ya nacte?
 
Fanya Ujasiriamali tu mkuu, kwa hayo matokeo utakua unajipotezea mda wa kusoma shuleni tu na muda utakupita
 
mkuu hayo ni matokeo mzr sana,, atulize akili atapata ki2 kzr cha kusomea.
 
Mkuu,issue hapa ni lazima akasomee private!unaona hiyo moja(pesa ya kumsomesha private ni challenge)!!angalau akienda chuo MTU yuko tayari kusomesha na siyo A level wakati MTU mwenyewe upstairs wa kawaida tukaishia kupoteza pesa bure

Yaani hata kwenda kusoma hiyo PC alishauriwa sana,sana mpaka akakubali,mwanzoni alipata 4 ya 33,sasa amesogea angalau mpaka points 26,anayo hofu kuwa hakuna namna atatoboa five kwa alama nzuri,ukizingatia ni arts,pia anaweza kupoteza miaka miwili
mbona hata vyuo ni gharama tu tena zaidi ya advance......na kumbuka ht chuo wanafeli!!!!!
 
mbona hata vyuo ni gharama tu tena zaidi ya advance......na kumbuka ht chuo wanafeli!!!!!
,okay,nimeingia kwenye website ya nacte,wanasema udahili umefungwa!,,Ina maanisha kuwa wanakuwaga na intake mbili mkuu??
Bora alipiwe chuo ghali ifahamike ameenda tuu chuo,na siyo akasome private afu afeli
 
Kutoka 33 hadi 26 alijitambua na hata akirisiti atatoboa ila kwa kuwa umesema ni Arts na kwa sasa Arts ndo hiyo inapoteza uhakika wa ajira ni bora aende VETA apige fani km Ujenzi & usomaji ramani, kupaka rangi, umeme nk. Ujuzi hauzeeki. Apige fani
 
Back
Top Bottom