Joseph Kasa-Vubu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 356
- 550
Hapo labda diploma ya phamacy tatizo ameharibu physics angepata hata DKuna dogo kapata matokeo yafuatayo katika mtihani wa form four- 2021 na hataki kwenda advance.
Civics- C
Geography- C
History- C
Kiswahili- B
English-C
Biology-C
Chemistry-C
Physics- F
Maths-D.
Yeye anapenda kwenda chuo kozi za sayansi. Je ni kozi gani anaweza chaguliwa.
Angefaulu physics tu angesoma koz yoyoteKuna dogo kapata matokeo yafuatayo katika mtihani wa form four- 2021 na hataki kwenda advance.
Civics- C
Geography- C
History- C
Kiswahili- B
English-C
Biology-C
Chemistry-C
Physics- F
Maths-D.
Yeye anapenda kwenda chuo kozi za sayansi. Je ni kozi gani anaweza chaguliwa.
Dahh Physics imemuharibia kidogo sana, angekula ata D ya Physics hakuna course ya science angeshindwa kusomaKuna dogo kapata matokeo yafuatayo katika mtihani wa form four- 2021 na hataki kwenda advance.
Civics- C
Geography- C
History- C
Kiswahili- B
English-C
Biology-C
Chemistry-C
Physics- F
Maths-D.
Yeye anapenda kwenda chuo kozi za sayansi. Je ni kozi gani anaweza chaguliwa.
Mpe hongera kjana kwa ufaulu mzur sana[emoji120]. Ni wazo zuri sana kutotaka kwenda Advance japo Vyuo ni GHARAMA. Yangu ni haya matatu (3):Kuna dogo kapata matokeo yafuatayo katika mtihani wa form four- 2021 na hataki kwenda advance.
Civics- C
Geography- C
History- C
Kiswahili- B
English-C
Biology-C
Chemistry-C
Physics- F
Maths-D.
Yeye anapenda kwenda chuo kozi za sayansi. Je ni kozi gani anaweza chaguliwa.