BoyHimself
Member
- Mar 27, 2022
- 29
- 23
Vipi asiye na maadili yanayokubalika na jamiii inayokuzunguka?Mtu mwenye tabia gani huwezi kuwa nae kwenye mahusiano kamwe?
Kwahyo unataka awe anawagawia na wenziemchoyo wa mbususu, huyo hapana kwa kweli
sasa hapo option uliyobaki nayo ni mwanamke msabato au shahidi wa yehova πππππππWa kwanza ni Mwanamke wa kipare
Wengine ni 2. mwanamke anaependa kujirusha, 3.mlevi, 4.anaevaa mavazi ya hovyo, 5. mwenye kelele, 6. Anaejali urembo wa nje ila anapoishi ni mchafu.
Ni hao tu
Yeah uhakika mi sipendi mwanamke mjuaji sanasasa hapo option uliyobaki nayo ni mwanamke msabato au shahidi wa yehova πππππππ