Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nimelia 🤣🤣Mbona we ni kibonge na ninakupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelia 🤣🤣Mbona we ni kibonge na ninakupenda
I would summarize it into a simple word "Mswahili*Mtu mwenye tabia gani huwezi kuwa nae kwenye mahusiano kamwe?
Mswahili ni mtu anayeongea kiswahili?I would summarize it into a simple word "Mswahili*
Not neccessarily anaeongea kiswahili but mtu mwenye characters za mswahili.Mswahili ni mtu anayeongea kiswahili?
Sasa mtu haruhusiwi tu kuamka jumamosi na akawa hana ratiba 🤣Not neccessarily anaeongea kiswahili but mtu mwenye characters za mswahili.
1.Mnafiki
2.Muongo
3.Mlalamishi
4.Asiye na ratiba
5.Mtu wa tamaa
.....Just to mention a few!!!
Anaruhusiwa kabisa ila mpangilio mzima wa maisha yako lazma uwe na structure ya kueleweka😂Sasa mtu haruhusiwi tu kuamka jumamosi na akawa hana ratiba 🤣
Hapo sawa. Nikadhani daily schedule 😂Anaruhusiwa kabisa ila mpangilio mzima wa maisha yako lazma uwe na structure ya kueleweka😂
😂Bila shaka Jumamosi ni siku yako ya kutokuwa na ratiba yeyote.Hapo sawa. Nikadhani daily schedule 😂
Juzi tu nimetoka kumpiga chini mchepuko mmoja kwa sababu hii. Imagine tangu mwezi wa 3 mpaka leo hajanipa mbususu! Wakati huo huo kila siku anakuja na invoice mara nataka hiki, mara kile.. nikamuambia apite hivi..mchoyo wa mbususu, huyo hapana kwa kweli
Naweza amka saa 7 mchana😂Bila shaka Jumamosi ni siku yako ya kutokuwa na ratiba yeyote.
Hahahah ni siku nzuri ya kupumzika ndio maana ikaitwa weekend, njaa haina baunsaNaweza amka saa 7 mchana
Na kitakachoniamsha ni njaa 🤣🤣
Uduguuu komaaaaa!!! Waparee ndo watu bhanaaa.Mpare, ila ndio nishazama kwa huyo Mpare [emoji81][emoji81][emoji81]
Ongezea na except...Literally everyone 😂😂😂
Haha mjanja wewe!Ongezea na except...
Tusubiri waje wajuajiMtu mwenye tabia gani huwezi kuwa nae kwenye mahusiano kamwe?
umefanya vizuri mwanawane. invoice imambatane na bupaJuzi tu nimetoka kumpiga chini mchepuko mmoja kwa sababu hii. Imagine tangu mwezi wa 3 mpaka leo hajanipa mbususu! Wakati huo huo kila siku anakuja na invoice mara nataka hiki, mara kile.. nikamuambia apite hivi..