Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

James Hadley Chase

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
1,984
Reaction score
3,695
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakati wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
 
Hujarogwa wala huna tatizo, kichwa chako kimepevuka kabla ya umri wako. That is why. Hio ni advantage kwako na sio hasara.

Kwa style hio ya maisha yako kama ukituliza kichwa na kufungua biashara zako, utaendelea haraka sana. Kwasababu kichwa chako kina nafasi kubwa ya kutambua na kufocuse kwenye mambo muhimu.

We need to treat energy the same way we treat money, energy is a finite resource. The more amount of friends you have in life, the more the energy you use to keep up with them (Badala ya hio energy kutumia kwenye mambo ya maendeleo).

So, ukielekeza hio energy kwenye kufanya kazi na kuendeleza biashara zako, utapiga hatua haraka sana.
 
Shukran ndugu
Deep inside you, una mambo haya;

1) Unapata hisia kali kwamba ipo siku utaendelea na utapiga hatua kubwa katika maisha. Indeed, you will succeed.

2) Unapata hisia ya kuanzisha family early, na family ni muhimu kuliko marafiki (Family Oriented Man). You'll start your own family early in your life.

3) You overthink at times. Unafikiria kupita kiasi wakati mwingine hasa kwenye mambo ya maendeleo na maisha.

4) Unafikiria mambo/biashara yenye faida kubwa, na sio mambo yenye faida ndogo ndogo. Japo huna mtaji kwasasa hivi.

5) Unapata hisia kali kuna baraka mungu atakujaalia mbele katika maisha yako.

6) Hata movie ambazo unapenda kuangalia mara nyingi ni documentary au zinazo base kwenye ukweli/uhalisia wa maisha.


N.k
 
Asee hiyo sometimes inaendanaga na mood disorders. Kwann hupend madem!? Limited social links pia na defensive behaviors Kam hizo! Lakini bado maelezo hayatoshi! Kwann hupendi madem Wal stori zao!?
 
Back
Top Bottom