Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
Vipi una demu?
 
Hivi nyie mnaosema jamaa kapevuka kiakili, kupevuka kiakiki ni kuchezea laptop weekend nzima, ni kutokua na marafiki, ni kutochakata mbususu??

Mjitathmini nyie watu, huyu jamaa ni muoga, ni eidha kwenye malezi yake hakukutana na watu wengi ama lah hakulelewa kwa namna ile walivyolelewa wengi yani kuruhusiwa ama kutoroka kwend kucheza na marafiki wengine.

Kwa kawaida tu mwanaume kukosa marafiki ni nadra sana, utacheza mpira, mtapigana, mtachokoza wasichana basi tu tafrani na ndo humo utapatiamo marafiki wengi.

Kuna uzi humu mwamba anaelezea kuhusu introverts, kwamba watu huchanganya watu wa kariba hiyo na watu waoga.
 
Back
Top Bottom