Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Uko vizuri Sana kijana, hayo ndiyo maisha uliyoyachagua wewe mwenyewe, wala hauna tatizo lolote. Ila kwenye kununa nuna ovyo eti kisa umekuta watu wanakusema wewe ndo huongei naye tena, ACHA, hayo mambo tuachie sie wanawake.
 
Asee hiyo sometimes inaendanaga na mood disorders. Kwann hupend madem!? Limited social links pia na defensive behaviors Kam hizo! Lakini bado maelezo hayatoshi! Kwann hupendi madem Wal stori zao!?
Member wa chaputa
 
Uko vizuri Sana kijana, hayo ndiyo maisha uliyoyachagua wewe mwenyewe, wala hauna tatizo lolote. Ila kwenye kununa nuna ovyo eti kisa umekuta watu wanakusema wewe ndo huongei naye tena, ACHA, hayo mambo tuachie sie wanawake.

Siwezi nikakasirika, ila nitakuwa nakukwepa. Inshortly hutakaa uje kuniona tena mpaka utanisahau
 
Wasikupambe wala ni mara ooh umepevuka mapema sijui nini hakuna kitu hapo, angalia dogo utakuja kuwa shoga hebu jichanganye na wana kitaa ili ujifunze maisha. Kisa una laptop basi unajiona mzungu fulani eenhe?
Mkuu ina maana ukiwa introvert na usipojichanganya unageuka kuwa hiyo laana uliyoitaja hapo?
Si ndio?

Ushawahi kumuona mtu aliyejichoma kwa mafuta yake mwenyewe?

psychology inasema ukiona mtu anaongelea sana kuhusu kitu fulani mara zote basi jua yuko obsessed nalo.
Means mara nyingi mtu huyo anatumia muda mwingi kufikiria au kufanya jambo hilo na ndio maana mara zote utakuta analitoa popote.

Kwenye psychology kuna kitu kinaitwa defense mechanism ni hali ya mtu kutoa mambo yake ya siri au yanayomkwaza unconsciously (bila kujua) na kuyapaka au kuyatupia kwa wengine ili kucover yale aliyoyaficha au tuseme anajishtukia.
So ili asishtukiwe anakuwa anapakazia wengine yale negative na machafu ya kwake ili yeye aonekane msafi au ajihisi msafi.

Na hicho ndicho kinachokutokea wewe mkuu, sio wewe tu bali na wote waliocomment negative.

Kuna uzi unaitwa "hawa introverts wa bongo kwanini wasitusaidie katika innovation"
stupidity 1.png


Huyu ni wewe kwenye huo uzi na ulichocomment.
stupidity 2.png


Kwenye comment yako katika picha namba mbili unajiidentify kama introvert.
Sasa kumbe na wewe unajiita introvert ina maana kwa hiyo wewe ndio hiyo laana uliyoitaja hapo juu wewe mwenyewe.
Na hii sio kwa mujibu wa yoyote bali ni kwa mujibu wako wewe mwenyewe.

Na ukiunganisha dots hapo perfectly kama forensicist utanona kabisa ninachokisema hapa ni kweli.
Na ni ajabu na nimeshangaa sana kuona kwanini kila mtu anayekuja kucomment anacomment kuhusu upumbavu ule'ule yaani ni full kuharibiana siku kwa kusoma comments chafu.
Yaani karibu wote wameathirika na huo uchafu everywhere kila mtu anacomment hicho'hicho hii ni ishara dunia inazidi kuharibika na inaelekea mwisho.

Mkuu inaonekana una matatizo ya akili sababu inaonesha uko so negative kwenye kila kitu na bila shaka your life is a mess so ili kupata ahueni na kujifariji unaanza kupakazia kila mtu negatives zako.
Nenda kamuone daktari mkuu bila shaka hauko sawa wewe na wenzako wote.

Mpaka hapa ulishawahi kumuona mtu aliyejichoma kwa mafuta yake mwenyewe?
 
Mkuu ina maana ukiwa introvert na usipojichanganya unageuka kuwa hiyo laana uliyoitaja hapo?
Si ndio?

Ushawahi kumuona mtu aliyejichoma kwa mafuta yake mwenyewe?

psychology inasema ukiona mtu anaongelea sana kuhusu kitu fulani mara zote basi jua yuko obsessed nalo.
Means mara nyingi mtu huyo anatumia muda mwingi kufikiria au kufanya jambo hilo na ndio maana mara zote utakuta analitoa popote.

Kwenye psychology kuna kitu kinaitwa defense mechanism ni hali ya mtu kutoa mambo yake ya siri au yanayomkwaza unconsciously (bila kujua) na kuyapaka au kuyatupia kwa wengine ili kucover yale aliyoyaficha au tuseme anajishtukia.
So ili asishtukiwe anakuwa anapakazia wengine yale negative na machafu ya kwake ili yeye aonekane msafi au ajihisi msafi.

Na hicho ndicho kinachokutokea wewe mkuu, sio wewe tu bali na wote waliocomment negative.

Kuna uzi unaitwa "hawa introverts wa bongo kwanini wasitusaidie katika innovation"
View attachment 2127695

Huyu ni wewe kwenye huo uzi na ulichocomment.
View attachment 2127698

Kwenye comment yako katika picha namba mbili unajiidentify kama introvert.
Sasa kumbe na wewe unajiita introvert ina maana kwa hiyo wewe ndio hiyo laana uliyoitaja hapo juu wewe mwenyewe.
Na hii sio kwa mujibu wa yoyote bali ni kwa mujibu wako wewe mwenyewe.

Na ukiunganisha dots hapo perfectly kama forensicist utanona kabisa ninachokisema hapa ni kweli.
Na ni ajabu na nimeshangaa sana kuona kwanini kila mtu anayekuja kucomment anacomment kuhusu upumbavu ule'ule yaani ni full kuharibiana siku kwa kusoma comments chafu.
Yaani karibu wote wameathirika na huo uchafu everywhere kila mtu anacomment hicho'hicho hii ni ishara dunia inazidi kuharibika na inaelekea mwisho.

Mkuu inaonekana una matatizo ya akili sababu inaonesha uko so negative kwenye kila kitu na bila shaka your life is a mess so ili kupata ahueni na kujifariji unaanza kupakazia kila mtu negatives zako.
Nenda kamuone daktari mkuu bila shaka hauko sawa wewe na wenzako wote.

Mpaka hapa ulishawahi kumuona mtu aliyejichoma kwa mafuta yake mwenyewe?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mpe vidonge vyake
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
Wife material kabisa
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
Wife material kabisa
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
Wife material kabisa
 
Deep inside you, una mambo haya;

1) Unapata hisia kali kwamba ipo siku utaendelea na utapiga hatua kubwa katika maisha. Indeed, you will succeed.

2) Unapata hisia ya kuanzisha family early, na family ni muhimu kuliko marafiki (Family Oriented Man). You'll start your own family early in your life.

3) You overthink at times. Unafikiria kupita kiasi wakati mwingine hasa kwenye mambo ya maendeleo na maisha.

4) Unafikiria mambo/biashara yenye faida kubwa, na sio mambo yenye faida ndogo ndogo. Japo huna mtaji kwasasa hivi.

5) Unapata hisia kali kuna baraka mungu atakujaalia mbele katika maisha yako.

6) Hata movie ambazo unapenda kuangalia mara nyingi ni documentary au zinazo base kwenye ukweli/uhalisia wa maisha.


N.k
Mkuu yaan wewe ni balaa vyote hivyo ndio mawazo yangu japo hilo la 5 hua na mashaka kidogo na 6 hua siangalii tv haijawahi nivutia toka nabalee
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?

Kapime hormonies
 
Back
Top Bottom