duuh kuelezea ngumAsee hiyo sometimes inaendanaga na mood disorders. Kwann hupend madem!? Limited social links pia na defensive behaviors Kam hizo! Lakini bado maelezo hayatoshi! Kwann hupendi madem Wal stori zao!?
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu
2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka
3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu
4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu
5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali
6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi
7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa
8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo
9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6
10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?
11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena
12.
Sijui haya yanasababishwa na nini?
Kuna msela bongo yani yuko hivyohivyo ulivyojielezea. Nimemuachia ghetto langu la nguvu kunilindia. Ni msafi, hatoki toki nje hana time na madem. Ila anapenda kuangalia TV sana. Mazingira ya ghetto kayaweka safi.1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu
2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka
3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu
4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu
5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali
6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi
7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa
8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo
9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6
10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?
11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena
12.
Sijui haya yanasababishwa na nini?
Kuna msela bongo yani yuko hivyohivyo ulivyojielezea. Nimemuachia ghetto langu la nguvu kunilindia. Ni msafi, hatoki toki nje hana time na madem. Ila anapenda kuangalia TV sana. Mazingira ya ghetto kayaweka safi. Hana marafiki na kila baada ya wiki mbili namtumia laki mbili. Na ghetto langu lina cctv naona current affairs mubashara. Ni ngumu bongo kupata mtu muaminifu kama huyu. Nimebshatika
Utakuwa unatafuta mke hapa...
Kama unasema ukweli...kama...!!!!
Una mstari mwembamba sana wa kutoka kwenye umaskini kwenda kwenye utajiri...una disipline sio ya nchi hii...na nidhamu ni pesa
Hizo kuni unatumwaga na nani kijana?
Una demu
Mm sio tajiri mkuu ila sio maskini kabisa...lkn ningekua serious hata nusu yako..ningekua mtu mwingine kabisaNipo siriaz mkuu, hata nikikuta mtu anafanya ndivyo sivyo nampa ukweli kabisa
Deep inside you, una mambo haya;
1) Unapata hisia kali kwamba ipo siku utaendelea na utapiga hatua kubwa katika maisha. Indeed, you will succeed.
2) Unapata hisia ya kuanzisha family early, na family ni muhimu kuliko marafiki (Family Oriented Man). You'll start your own family early in your life.
3) You overthing at times. Unafikiria kupita kiasi wakati mwingine hasa kwenye mambo ya maendeleo na maisha.
4) Unafikiria mambo/biashara yenye faida kubwa, na sio mambo yenye faida ndogo ndogo.
5) Unapata hisia kali kuna baraka mungu atakujaalia mbele katika maisha yako.
N.k
Kuna kitu hujakisema .nakushauri uache bangi ,hizo dalili za bange
Nipo 100% Kama wewe1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu
2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka
3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu
4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu
5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali
6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi
7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa
8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo
9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6
10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?
11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena
12.
Sijui haya yanasababishwa
Mmmh aisee ninawasiwasi hormones zako zinafanana na waleee wa chuchu saa 6
Una discipline, una roho nzuri (hupendi kuudhi watu), una imani, na mwisho kabisa kwa dini yyt ulio nayo inawezekana sana wewe ni Mcha Mungu. Keep it up you are one in millions.1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu
2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka
3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu
4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu
5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali
6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi
7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa
8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo
9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6
10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?
11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena
12.
Sijui haya yanasababishwa na nini?