Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Mtu mwenye tabia hizi, ana tatizo gani?

Asee hiyo sometimes inaendanaga na mood disorders. Kwann hupend madem!? Limited social links pia na defensive behaviors Kam hizo! Lakini bado maelezo hayatoshi! Kwann hupendi madem Wal stori zao!?
duuh kuelezea ngum
Mfano Mimi hapa kufikiria madem ni asilimia chache sana akili imakuwa inaconcetrate na vitu vingine kabsa vinavyonihusu mimi binafsi.
 
Utakuwa unatafuta mke hapa...
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
Kuna msela bongo yani yuko hivyohivyo ulivyojielezea. Nimemuachia ghetto langu la nguvu kunilindia. Ni msafi, hatoki toki nje hana time na madem. Ila anapenda kuangalia TV sana. Mazingira ya ghetto kayaweka safi.

Hana marafiki na kila baada ya wiki mbili namtumia laki mbili. Na ghetto langu lina cctv naona current affairs mubashara.

Ni ngumu bongo kupata mtu muaminifu kama huyu.

Nimebshatika
 
Kuna msela bongo yani yuko hivyohivyo ulivyojielezea. Nimemuachia ghetto langu la nguvu kunilindia. Ni msafi, hatoki toki nje hana time na madem. Ila anapenda kuangalia TV sana. Mazingira ya ghetto kayaweka safi. Hana marafiki na kila baada ya wiki mbili namtumia laki mbili. Na ghetto langu lina cctv naona current affairs mubashara. Ni ngumu bongo kupata mtu muaminifu kama huyu. Nimebshatika

Mimi nipo mzee
 
Deep inside you, una mambo haya;

1) Unapata hisia kali kwamba ipo siku utaendelea na utapiga hatua kubwa katika maisha. Indeed, you will succeed.

2) Unapata hisia ya kuanzisha family early, na family ni muhimu kuliko marafiki (Family Oriented Man). You'll start your own family early in your life.

3) You overthing at times. Unafikiria kupita kiasi wakati mwingine hasa kwenye mambo ya maendeleo na maisha.

4) Unafikiria mambo/biashara yenye faida kubwa, na sio mambo yenye faida ndogo ndogo.

5) Unapata hisia kali kuna baraka mungu atakujaalia mbele katika maisha yako.


N.k

[emoji22]weee ni mganga/ mpiga ramli umejuaje yote haya?
Nani kakwambia hizi habari zangu?
 
kijana utakua na shida ww sio bure
demu huna
una chat na nan sasa
kujifungia ndani mtoto wa kiume uta anza kujichukulia sheria mkononi kwa kujipiga selfie ama ndo mkombozi wako
 
Kama una furaha na maisha yako ni sawaa ila hali ya kuanza kujitilia mashaka kwa kuuona utofauti wako ni tatizo kuna mawili

1. Una matatizo halisi Kabsaa kama tu kuna matukio au vitu negative katika background yako, vilivyokuathiri kiasi kwamba lifestyle yako inakufanya ujihisi safe and perfect maana kuna inner insecurities ambazo unapambana nazo. Most likely huna hata furaha na ni tatizo

2. Ndio ulivyo na ni uasilia wako yaani ulivyo ndivyo unavyotakiwa kuwa. Tatizo negative comments za watu hususani wakitaka kukubadilisha wakiamini ulivyo tayari ni upungufu. Hali inayopelekea kutengeneza insecurities kama wewe si mzima au hufit ile jamii yako inavyotamani uwe. Cha msingi weka tu mipaka yako lakini jitahidi ufanye unachoweza ili jamii au watu unaowajali wasione umejitenga sanaaa maana wote ni binadamu TUNAHITAJIANA
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa
Nipo 100% Kama wewe
 
Daaa hii nchi ishakuwa ya kipumbavu sana maana si kwa kumtukuza hivi Shetwani.

Inawezekana vipi kila Mtu akija humu kuelezea utofauti wake wa mtindo wa maisha basi anawaza kurogwa tu(uchawi)?

Kwanini asiwaze kubarikiwa(neema/baraka)?
 
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu

2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakat wenzangu kitu kidogo tu washachoka

3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu

4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku mim nafanya tu

5. Sipend uchaf nikiona uchafu nauondoa, naweza nikafanya hivyo kwa kujitakia tu lakin wanaonizunguka hawajali wao hiki kikiwa vile vile vikiwa hiv hawajali

6. Siangalii tv wala nin mimi na laptop, laptop na mimi

7. Nikitumwa hata sokon hata kununua kun naenda tu sijui nimerogwa

8. Sina demu wa mchumba, nipo tu nikipna jamaa anauliza vip una dem aise urafik wetu unaishia hapo

9. Sina marafiki wengi, nilionao hawazidi 6

10. Wikiend natulia ndan nachat na kulala tu mpaka wanajiuliza huyu jamaa vip?

11. Nikikuta unasimulia habari zangu kwa watu, siongei wala kukaa na wewe tena

12.

Sijui haya yanasababishwa na nini?
Una discipline, una roho nzuri (hupendi kuudhi watu), una imani, na mwisho kabisa kwa dini yyt ulio nayo inawezekana sana wewe ni Mcha Mungu. Keep it up you are one in millions.
 
Back
Top Bottom