Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Ndio kama hivyo bossHUYO NAE KAENDA
Naona wasafi wameamua wamefanya usajili mkubwa sana.huyu jamaa namkubali ile mbaya Kama vp turushie na picha ya edo kumwembe akiwa usafiniDeal done
Bwana Ahmed ndani ya Wasafi.View attachment 1237165
Ndo nani? Sisi wa huku Kitwechenkula hatumjui.Deal done
Bwana Ahmed ndani ya Wasafi.View attachment 1237165
Huyo alikuwa ni mchambuzi wa soka wa Azam mediaNdo nani? Sisi wa huku Kitwechenkula hatumjui.
Hadi kwenye matangazo ya Azam alikuwa mtu muhimu sana, mengi tu alikuwa anayatangaza mwenyeweHuyo alikuwa ni mchambuzi wa soka wa Azam media
Yani wamepania si kitoto,kila fundi wanamchukuaHadi huyu duh kweli wasafi wamepania
Ni mtangazaji maridadi,wa vipindi vya michezo alikuwa azam tangu 2014 na sasa yupo wasafi mediaNdo nani? Sisi wa huku Kitwechenkula hatumjui.
Kabisa yaniKikosi kimetimiaView attachment 1237252
Kweli kabisaHadi kwenye matangazo ya Azam alikuwa mtu muhimu sana, mengi tu alikuwa anayatangaza mwenyewe
Naona tumewaza sawa inabidi tu abaki tu kuwa manager wa lavalava tuDaaaaaa....yule Ricardo momo inakuaje???....kweli pesa sabuni ya roho.
kweli kabisa,watu wanaishi kwa hii kaziImefikia mahali sasa wachambuzi wa maswala ya michezo wamekuwa big deal,anyway ndio ushindani katika biashara...
Bila shakaHapo kuna Mwanaidi Suleimani