Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
- Thread starter
- #21
Hapana boss,mi si fatmaOkay..Naona Fatuma Likwata apo kwenye Avatar niwewe??Nampenda sana Likwata asee macho yake tu dooooh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana boss,mi si fatmaOkay..Naona Fatuma Likwata apo kwenye Avatar niwewe??Nampenda sana Likwata asee macho yake tu dooooh!!
Hyu jamaa before kuhamia Azam media, alianzia RFANi mtangazaji maridadi,wa vipindi vya michezo alikuwa azam tangu 2014 na sasa yupo wasafi media
Jamaa tumecheza nae sana chandimu pale club ya yanga na nilishangaa kumuona kwenye music.Naona tumewaza sawa inabidi tu abaki tu kuwa manager wa lavalava tu
Okay. Tumekusikia. Wewe upo wapi kwa sasa?Ni mtangazaji maridadi,wa vipindi vya michezo alikuwa azam tangu 2014 na sasa yupo wasafi media
Nipo clouds,sports departmentOkay. Tumekusikia. Wewe upo wapi kwa sasa?
Kabisaaahii ni team ya mauaji!!!!
KabisaaaaKila mnyonge ana mnyonge wake.
Azam waligeuza rfa ni shamba lao, wakawang'oa
1. Baruan
2. Ahmed Alli
3. Ivona
4. Raymond Nyamwihula
5. Hassan Mvula
6. Steve Moyo nk.
Ikafika kipindi ukitazama azam, ni sawa na kutazama star tv ya zamani kwa 80%.
Lakini ni role model wako ama nini?Hapana boss,mi si fatma
[emoji848][emoji848][emoji848]Nonsense! kituo chenyewe Wasafi? Mimi nikafikiri TBC.
[emoji16][emoji23][emoji1787] mzee wa semi bendingHapo bado mwalim kashasha [emoji16][emoji16]
Nampenda sana huyu mdadaLakini ni role model wako ama nini?
Ila haya maisha kweli ni kuwahi yaani Kitenge amekuwa mwajiriwa wa mtoto wa Tandale, Kitenge kutoka gazeti la Mfanyakazi miaka hiyo wakati hata Diamond hajaanza shule ya vidudu wala hajui maiki ni kitu gani,akaja kwa Majizzo enzi hizo Majizo anatumwa na akina Kitenge pale Radio One ,baada ya muda kibao kikageuka akawa yeye na Sebo ndio wa kutumwa,vilevile Sebo alikuwa bosi wa Majizzo EA radio ,baada ya muda sasa anatumwa na Majizzo.Kweli maisha ni mzunguko usimdharau aliyechini kuna siku atakuwa juu yako,Edo nae kawa mtu wa kutangatanga tu.Kikosi kimetimiaView attachment 1237252
Hili ni funzo kubwa sana, siku zote kesho ni fumbo kwetu..hujui nani atakua nani na yupi atakua msaada kwako, hivyo yatupasa kuishi vizuri na kila mtu. [emoji120]Ila haya maisha kweli ni kuwahi yaani Kitenge amekuwa mwajiriwa wa mtoto wa Tandale, Kitenge kutoka gazeti la Mfanyakazi miaka hiyo wakati hata Diamond hajaanza shule ya vidudu wala hajui maiki ni kitu gani,akaja kwa Majizzo enzi hizo Majizo anatumwa na akina Kitenge pale Radio One ,baada ya muda kibao kikageuka akawa yeye na Sebo ndio wa kutumwa,vilevile Sebo alikuwa bosi wa Majizzo EA radio ,baada ya muda sasa anatumwa na Majizzo.Kweli maisha ni mzunguko usimdharau aliyechini kuna siku atakuwa juu yako,Edo nae kawa mtu wa kutangatanga tu.