Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
- Thread starter
-
- #41
yani kama gwalide tuIla haya maisha kweli ni kuwahi yaani Kitenge amekuwa mwajiriwa wa mtoto wa Tandale, Kitenge kutoka gazeti la Mfanyakazi miaka hiyo wakati hata Diamond hajaanza shule ya vidudu wala hajui maiki ni kitu gani,akaja kwa Majizzo enzi hizo Majizo anatumwa na akina Kitenge pale Radio One ,baada ya muda kibao kikageuka akawa yeye na Sebo ndio wa kutumwa,vilevile Sebo alikuwa bosi wa Majizzo EA radio ,baada ya muda sasa anatumwa na Majizzo.Kweli maisha ni mzunguko usimdharau aliyechini kuna siku atakuwa juu yako,Edo nae kawa mtu wa kutangatanga tu.
kweli kabisaHili ni funzo kubwa sana, siku zote kesho ni fumbo kwetu..hujui nani atakua nani na yupi atakua msaada kwako, hivyo yatupasa kuishi vizuri na kila mtu. [emoji120]
Ricardo alikuwa anauza suraDaaaaaa....yule Ricardo momo inakuaje???....kweli pesa sabuni ya roho.
Same to meNampenda sana huyu mdada
Niliwahi sikia humu wanasema Kusa.. yuko na mkono wake Wasafi baada ya songombingo za uendeshaji wa Mawingu kuingiliwa na ishu za familiaYani wamepania si kitoto,kila fundi wanamchukua
Point kubwa sana hiiHili ni funzo kubwa sana, siku zote kesho ni fumbo kwetu..hujui nani atakua nani na yupi atakua msaada kwako, hivyo yatupasa kuishi vizuri na kila mtu. [emoji120]
halaf ni Tanzania tu wachambuzi wa michezo unakuta wengi hawajawah kuwa wachezaji wala makocha wa mpiraImefikia mahali sasa wachambuzi wa maswala ya michezo wamekuwa big deal,anyway ndio ushindani katika biashara...
Ninachokiona Mimi,Uchambuzi,Ukocha na Uchezaji ni vitu vyenye utofauti kidogo.halaf ni Tanzania tu wachambuzi wa michezo unakuta wengi hawajawah kuwa wachezaji wala makocha wa mpira