Mtu nnayetamani kukutana nae Face to Face kutoka JamiiForums

Yaani sipatii picha hiyo crew inakamilika paaap!! Nahisi nitaondoka mbavu zimekatika.
 
Hahahaaaaa!! Mtani umenichekesha sana aisee, nikiwa dume si basi tunakuwa marafiki tu.
 
Aisee faza unatafuta nini huku wakati hawa warembo wakali niko nao nawapa mastory ya hapa na pale wewe nenda saiv hii ndo mida ya wanga wenzio akina mwana malunde
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…