Mtu sharp nimtume kwa siku ya kesho Kibaha stand na Mbagala posho elfu 15

Mtu sharp nimtume kwa siku ya kesho Kibaha stand na Mbagala posho elfu 15

Ruble

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
845
Reaction score
1,579
Kama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni!

UPDATE: Nimepata mtu tayari miongoni mwa waliokuja PM. Shukrani sana!
 
Kesho naenda mlandizi nipe mzigo nikupelekee kibaha!
 
Kama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni!

UPDATE: Nimepata mtu tayari miongoni mwa waliokuja PM. Shukrani sana!
Daaahh nimepishana na gari la mshahara
 
Kama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni!

UPDATE: Nimepata mtu tayari miongoni mwa waliokuja PM. Shukrani sana!
Elfu 15 ndogo Mkuu ongeza ifike elfu30
 
Back
Top Bottom