Kama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni!
NI MADAWA MKUUMkuu taja aina ya mzigo kuwa specifically kidogo
Hamuaminiki kwenye awamu hiiKwani sisi wadada hatuko sharp mkuu? Why kiume pekeeπ€
Daaahh nimepishana na gari la mshaharaKama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni!
UPDATE: Nimepata mtu tayari miongoni mwa waliokuja PM. Shukrani sana!
Why mbona tuko vizuri sana mkuu! Na nchi tunaiongoza na ulinzi tunasimamia, kipi tusichoweza sasaHamuaminiki kwenye awamu hii
Why mbona tuko vizuri sana mkuu! Na nchi tunaiongoza na ulinzi tunasimamia, kipi tusichoweza sasa
Basi itakua ni confidential ndio maan anatakiw wa kiume maan niny hamkawii kutoa siri na kuchunguzachunguza!!Why mbona tuko vizuri sana mkuu! Na nchi tunaiongoza na ulinzi tunasimamia, kipi tusichoweza sasa
Elfu 15 ndogo Mkuu ongeza ifike elfu30Kama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni!
UPDATE: Nimepata mtu tayari miongoni mwa waliokuja PM. Shukrani sana!
Kwani sisi wadada hatuko sharp mkuu? Why kiume pekeeπ€
Nenda PM itakuwa ni confidentialMkuu taja aina ya mzigo kuwa specifically kidogo
Tena mimi ni jet inayotembea! Natoka speed vibayaππ nipe dili mkuuπππ Sharp Financial Services
Eeh kama ni kuchunguza ni lazima nichunguze, ukinibebesha bomu je! Siwezi enda enda tu kama mbuzi wa Christmas ππBasi itakua ni confidential ndio maan anatakiw wa kiume maan niny hamkawii kutoa siri na kuchunguzachunguza!!
Tena mimi ni jet inayotembea! Natoka speed vibayaππ nipe dili mkuu
Hata zege nabeba mkuu, dili lolote tu napigaHahahahahaha dili zipi ambazo una utaalamu nazo sana? πππ
Hata zege nabeba mkuu, dili lolote tu napiga