Mtu sharp nimtume kwa siku ya kesho Kibaha stand na Mbagala posho elfu 15

Umefanya vema kutoa mrejesho
 
Hamuaminiki nyie, hamchelewi kufunua mzigo uliotumwa, na unaweza kukuta ni kichwa cha mume wako ukaleta tabu kwa mtoa mada
Kiukweli lazima tukabidhiane ni mzigo gani upo ndani humo nisije kubebeshwa bomu bure😜, so nyie wanaume huwa hamchunguzi mnapeleka tu mizigo? Risk takers
 
Naona dogo Ridhiwani Kikwete umekuja kivingine siku hizi, makontena hutumi tena unatumia vikapu tu.
 
Kama uliweza kwa ajili ya Iphone 13 utashindwaje hio? πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mkuu unafahamu vitu vifanywavyo ili kupata hizo Iphone 13? Kama ndiyo ulichomaanisha hapo aisee unikome kabisa tena unitue.πŸ€” ntaendelea kutumia hii Tecno yangu.
 
Mkuu unafahamu vitu vifanywavyo ili kupata hizo Iphone 13? Kama ndiyo ulichomaanisha hapo aisee unikome kabisa tena unitue.πŸ€” ntaendelea kutumia hii Tecno yangu.
Mbona mkali mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
kumbe kweli huwa mnafanya eehπŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…