FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Wanaume hebu tuache ujinga basi, yaani unajua kabisa una mke, lakini bado unaenda kula wake za watu, Haya sasa, wako akigonoka nje, unaanza kulialia.
Hata kama hauendi kula mke wa mtu, ila jua wewe ndani tayari una mke, huyo unayeenda kumtafuna huko nje, Inawezekana ni demu wa mtu!
Kwahiyo tuache ujinga tafadhali,
Kama unajua kabisa unatia nje wake za watu, Wako ukisikia katiwa,
Tuliza mshono.
Hata kama hauendi kula mke wa mtu, ila jua wewe ndani tayari una mke, huyo unayeenda kumtafuna huko nje, Inawezekana ni demu wa mtu!
Kwahiyo tuache ujinga tafadhali,
Kama unajua kabisa unatia nje wake za watu, Wako ukisikia katiwa,
Tuliza mshono.