Mtu umeoa, lakini bado unakula wake za watu, wako akiliwa, unaanza kulialia!

Mtu umeoa, lakini bado unakula wake za watu, wako akiliwa, unaanza kulialia!

Wanawake walioolewa baadhi yao ni wepesi hata kuliko wasio na ndoa,tena hawana woga .kwa kweli inasikitisha sana.Wakati mwingine mpaka nawaza hawa waliingia kwenye ndoa kufanya nini.
Wanawake vilaza kama hao ndiyo inatakiwa umtie mpaka azidi kuwa kilaza.
 
Wanaume hebu tuache ujinga basi, yaani unajua kabisa una mke, lakini bado unaenda kula wake za watu, Haya sasa, wako akigonoka nje, unaanza kulialia.
Hata kama hauendi kula mke wa mtu, ila jua wewe ndani tayari una mke, huyo unayeenda kumtafuna huko nje, Inawezekana ni demu wa mtu!
Kwahiyo tuache ujinga tafadhali,
Kama unajua kabisa unatia nje wake za watu, Wako ukisikia katiwa,
Tuliza mshono.
Mkuu ww unatokea Dar?
 
Kuna mdugu yangu mume wake anatembea na mke wa mtu, huyo ndugu yangu amemkanya sana kuhusu huyo mke ila haambiliki, anakaa nae hadi alfajirii, kurud usiku wa manane nyumbani, wanazaidi ya mwaka sasa, huyo mke(mchepuko) anafanya kazi mkoa tofauti na mume wake, basii tabu tupu, cjui wanaume mnashida gani jaman
 
Wanaume hebu tuache ujinga basi, yaani unajua kabisa una mke, lakini bado unaenda kula wake za watu, Haya sasa, wako akigonoka nje, unaanza kulialia.
Hata kama hauendi kula mke wa mtu, ila jua wewe ndani tayari una mke, huyo unayeenda kumtafuna huko nje, Inawezekana ni demu wa mtu!
Kwahiyo tuache ujinga tafadhali,
Kama unajua kabisa unatia nje wake za watu, Wako ukisikia katiwa,
Tuliza mshono.
True mzee baba ila mimi mume wangu siku nikiolewa nitajua kapiga njee.
Woi nampa mlo mtamu basi
 
mke wa mtu ni sumu kubwa sana....ila chaajabu vyenye sumu ndio vinavyopendwa....hapo kichwa cha chini kimeizidi akili kichwa cha juu
 
Back
Top Bottom