Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Atulie sasaAshaitoa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atulie sasaAshaitoa sasa
Naona hatuelewani, hajachapiwa mtu hapa!pole kwa kuchapiwa arifu....
bhas vunga sisi tuendelee kufanya yetu...Naona hatuelewani, hajachapiwa mtu hapa!
Mwana F AUkigongewa tafuta mnyonge umgongee...inapunguza maumivu.
Wanawake vilaza kama hao ndiyo inatakiwa umtie mpaka azidi kuwa kilaza.Wanawake walioolewa baadhi yao ni wepesi hata kuliko wasio na ndoa,tena hawana woga .kwa kweli inasikitisha sana.Wakati mwingine mpaka nawaza hawa waliingia kwenye ndoa kufanya nini.
Shukrani!bhas vunga sisi tuendelee kufanya yetu...
NB:kuchapiwa ni siri ya ndani...
HuendaHivi wewe NI mwanaume kweli?
Huenda waliingi na matarajio makubwa lakin baada ya ndoa wamekuta mambo tofautiWanawake vilaza kama hao ndiyo inatakiwa umtie mpaka azidi kuwa kilaza.
Mkuu ww unatokea Dar?Wanaume hebu tuache ujinga basi, yaani unajua kabisa una mke, lakini bado unaenda kula wake za watu, Haya sasa, wako akigonoka nje, unaanza kulialia.
Hata kama hauendi kula mke wa mtu, ila jua wewe ndani tayari una mke, huyo unayeenda kumtafuna huko nje, Inawezekana ni demu wa mtu!
Kwahiyo tuache ujinga tafadhali,
Kama unajua kabisa unatia nje wake za watu, Wako ukisikia katiwa,
Tuliza mshono.
Alafu mafundi, na hawana mizgnguo km hawa wengne akkwambia Leo nakuja kukupa anakuja kweliWanawake walioolewa baadhi yao ni wepesi hata kuliko wasio na ndoa,tena hawana woga .kwa kweli inasikitisha sana.Wakati mwingine mpaka nawaza hawa waliingia kwenye ndoa kufanya nini.
Itakusaidia nini hiiMkuu ww unatokea Dar?
True mzee baba ila mimi mume wangu siku nikiolewa nitajua kapiga njee.Wanaume hebu tuache ujinga basi, yaani unajua kabisa una mke, lakini bado unaenda kula wake za watu, Haya sasa, wako akigonoka nje, unaanza kulialia.
Hata kama hauendi kula mke wa mtu, ila jua wewe ndani tayari una mke, huyo unayeenda kumtafuna huko nje, Inawezekana ni demu wa mtu!
Kwahiyo tuache ujinga tafadhali,
Kama unajua kabisa unatia nje wake za watu, Wako ukisikia katiwa,
Tuliza mshono.