Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu

Ni mtihani sana.
 


In any theory there must be some exceptions.
 
Kwani kosa la mlalamikiwa ni lipi? Amebaka?
Mwenye k,katoa chake. Mtalimbo wako wewe si unao?
Haya,anajitambua,ana akili zake timamu,ni mtu mzima,anaelewa anachokifanya. Mbona yeye umemuogopa kumsema?

Humnunulii chips mayai,alienunua kapewa shukrani.
Hambebi vizuri,anaejua amepata.

Nini shida lakini na wewe. Mi nikajua kabakwa mwanao,kumbe mama yake. Tena wahuni wanajua kunyonya na madude hadi anapandisha mashetani. Si uwaachie ulete mwingine?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…