Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu

Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu

Sasa unakuta mke wa mtu pisi ya maana na anajileta mwenyewe huku akilalamika kuwa ana upwiru acheni utani huyu ana haki ya kupata atakacho usimnyime mama kama huyo utamu muupe kama woote kwanini ateseke na akati mabereru tupooo mie mnisamehe siwezi muacha mtu aumwe kiuno
 
Mm binafsi mwanamk akisema anaye mume au mchumba, bas siwez tena kua na hisia nae za kumtongoza..
 
Sasa kumuheshimu mtu na yeye kutomba mtu mzima mwenzie Kuna uvunjifu upi wa heshima?
 
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.

Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.

Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.

unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,

Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?

Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.

Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?

Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?

Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.

Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??

Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.

TUJISAHIHISHE.

Kwanini mwanamke asikatae?
Kwani amebakwa?
Hapo mwanamke ndie kaamua kumkubalia.
Mwanamke anauwezo wa kukubali au kukataa.
Kwanini akibali?
Usimlaumu mkwezi nazi imeliwa na mwezi.
 
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.

Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.

Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.

unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,

Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?

Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.

Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?

Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?

Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.

Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??

Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.

TUJISAHIHISHE.
Kama unamfahamu, mwite pembeni umkanye kistaarabu kuwa afanyavyo si vyema. Nje ya hapo na wewe ni mshiriki wa huo uovu.
 
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.

Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.

Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.

unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,

Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?

Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.

Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?

Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?

Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.

Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??

Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.

TUJISAHIHISHE.
Unataka agonge mke wa Mbuzi! Kizuri kula na mwenzio ukiwa na mke uso kauzu shape bovu hilo utakuwa pekee yako mpaka ukome, tena lina kuroga usije kimbia.
 
sasahivi hata wachaga ukioa anataka cha asbh na jion hatakama unaenda kazin kuminamoja anaweka alarm saa 9 usiku ukimaliza upumzike uende job

Sasa ole wako uingie ndan ukafikiri n gfriend unagonga leo apumzike sikutatu akufwate utaliwa tu na wenzio.....

Somen masomo ya ndoa ndoa sio tu harusi kansan kumpa mwenzio haja ya moyo wake ukilegeza unalizwa no way
Wanawake wa kichaga waamekuja juu sana siku hizi, mimi kuna jirani yangu mmoja namkwepa sana lakini hakati tamaa tu anataka nimpe dushelele
 
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.

Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.

Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.

unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,

Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?

Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.

Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?

Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?

Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.

Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??

Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.

TUJISAHIHISHE.
Mkuu tuliza boli. Migogoro ya ndoa ina vyanzo vingi,, sio kugegedana tu ndio kunasababisha migogoro.
 
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.

Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.

Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.

unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,

Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?

Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.

Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?

Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?

Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.

Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??

Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.

TUJISAHIHISHE.
Kwanza ndoa ina thamani gani hapa duniani mkuu? Ndoa ni UTAPELI tu mkuu, isikuumize sana.
 
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu.

Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa inawezekana umejua kuwa ndoa ya huyo mwanamke ina tafrani, je migogoro ya ndoa ya mwingine ni ticket ya wewe kumtaka na kutengeneza mgogoro ktk ndoa yako kama unayo?.

Ok utakuta mume wa mtu lakini ana date na mke wa mtu tena kwa mahaba mazito, hivi unachukuliaje kuwa sehemu ya kuvunja moyo wa mkeo pindi atakapo tambua?.

unajisikiaje kuwa mzurumati wa amani na furaha ya ndoa yako mwenyewe?,

Ok sawa, tufanye unakosa Haki zako za msingi kutoka kwa mkeo, hivyo huna budi kutoka nje, sasa kwanini ukatembee na mke wa mtu kwani hakuna walio mali ya umma ?

Nikweli sisi wanaume tuna udhaifu lakini inawezekana kuuzuia ili tusiumize mioyo ya hawa wanawake ambao tayari ni wake zetu, tuwe walinzi wa ndoa za wengine kama vile tulindavyo zetu.

Kuna mwanamke anamume tena anajiheshimu ,lakini anamchepuko ambaye ni mume wa mtu, na ukimwambia wewe ni mke wa mtu anakwambia kwani mke wa mtu ni kitu gani?

Sawa inawezekana ndoa yako ina migogoro hivyo unaitafuta furaha nje, sasa upi ni ulazima wakuitafuta furaha kupitia mume wa mwanamke mwenzako?, au furaha nikuona ndoa yake inakuwa kama yako?

Huoni kwamba unahujumu amani na furaha ya ndoa ya mwanamke mwenzako?, sisi wanaume hatuna uwezo wakusambaza furaha na kupenda mwanamke zaidi ya mmoja ,ni mbwembwe tu, hivyo ukiona anakuoenda ujue amesha hamisha upendo kutoka familia na mke wake, hivyo kaacha maumivu Yale ambayo huyahitaji na kamuachia mwanamke mwenzake.

Unajisikiaje kuwa sababu ya kilio na maumivu kwa mwanamke mwenako??

Kama unaona ndoa yako haikupi thamani basi achana nayo ili utengeneze thamani yako nje ya ndoa, na kama ndoa inakupa thamani basi ilinde hiyo thamani.

TUJISAHIHISHE.
Tatizo kubwa sana hili,
 
Wakuu mkioa wake zenu wavisheni mavazi ya stara ili wasisumbuliwe huko nje ibaki tabia tu ya mkeo mwenyewe ila sio kuwashawishi wengine

Unakuta ni mke wa mtu lakini kavaa nguo inaonesha chupi ndani, either ndio ya kubana kuonesha mat*ko yake yalivyo makubwa nani anaweza vumilia

Ukishaoa au kuolewa unatakiwa ujiheshimu maana ushavuka stage moja kwenda nyingine

Wengine wanajizuia na upwiru kulingana na hali za wake zao ndani kisha kanapita kamke kamtu kamevaa skinny hadi k* imejichora unatarajia nini

INFACT, kwangu mke wa mtu ninampima kwa kuangalia alivyovaa akiwa uchi ni malaya kama wengine
 
Wakuu mkioa wake zenu wavisheni mavazi ya stara ili wasisumbuliwe huko nje ibaki tabia tu ya mkeo mwenyewe ila sio kuwashawishi wengine

Unakuta ni mke wa mtu lakini kavaa nguo inaonesha chupi ndani, either ndio ya kubana kuonesha mat*ko yake yalivyo makubwa nani anaweza vumilia

Ukishaoa au kuolewa unatakiwa ujiheshimu maana ushavuka stage moja kwenda nyingine

Wengine wanajizuia na upwiru kulingana na hali za wake zao ndani kisha kanapita kamke kamtu kamevaa skinny hadi k* imejichora unatarajia nini

INFACT, kwangu mke wa mtu ninampima kwa kuangalia alivyovaa akiwa uchi ni malaya kama wengine
Mkuu umeongea jambo la maana sana ila tatizo linachangiwa na mume husika pia kumruhusu mke wake kuvaa nguo zinazoacha wazi/kubana mwili wake.

Muhimu: Wivu ni ukamilifu kwa mwanaume.
 
Mkuu umeongea jambo la maana sana ila tatizo linachangiwa na mume husika pia kumruhusu mke wake kuvaa nguo zinazoacha wazi/kubana mwili wake.

Muhimu: Wivu ni ukamilifu kwa mwanaume.
Mtoa mada analalamika watu na heshima zao wanatoka na wake za watu bila kujua hao wake za watu ukiwakuta barabarani huwezi tofautisha na malaya wa kimboka kwa alivyovaa sasa kwa hali hiyo wataachaje kutongozwa

Mke kweli anatakiwa awe tofauti na anaetafuta bwana au malaya kuanzia kujiheshimu na mavazi hapo hata lugha ya kuingilia huna ila hawa vichenchede wa asaivi hata sio wake za watu ila ni vimada vilivyowekwa ndani na wanaume kadhaa
 
Back
Top Bottom