Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅 so kwa siku mwenzetu una ‘hang’ ‘ na andawea moja 😃😃😃😃😃Hivi binadamu anatakiwa awe na chupi ngapi? Wewe una chupi ngapi? Mi nina chupi 7 tu na zinantosha.
Mweeh zote hizo za nini 😱nyingi sana
minimum 50
Chupi navaa nikitoka tu nikiwa nyumbani na maeneo ya karibu sivai chupi😅😅😅😅 so kwa siku mwenzetu una ‘hang’ ‘ na andawea moja 😃😃😃😃😃
Mods embu fungeni hii thread mapema tafadhali.Chupi navaa nikitoka tu nikiwa nyumbani na maeneo ya karibu sivai chupi
unavaaa unabadilisha walau mara mbili au tatu kwa sikuMweeh zote hizo za nini 😱
mmh mashine itakua ya baridiChupi navaa nikitoka tu nikiwa nyumbani na maeneo ya karibu sivai chupi
Sema kweliChupi navaa nikitoka tu nikiwa nyumbani na maeneo ya karibu sivai chupi
Moja nataka nikupe weweMoja inatosha.
Ukiwa home achia kitu ipate hewa safi. Huku chupi imefuliwa.
Mpaka itoboke makalio. Kisha iwekee kiraka. Dunda nayo..
Hizo zako nyingi sana. Gawa kwa maskini baadhi. Ubakie na maximum mbili.
Khaa😁nyingi sana
minimum 50
anaona dokta tena Dr RestartKweli kabisa maisha yenyewe magumu hata ikiwa na kiraka kwani nani anaona
Futa hapo 'binadamu' andika 'mwanamke'Hivi binadamu anatakiwa awe na chupi ngapi? Wewe una chupi ngapi? Mi nina chupi 7 tu na zinantosha.