Mtu unatakiwa uwe na chupi ngapi?

Mtu unatakiwa uwe na chupi ngapi?

Joto lote hili chupi ya nini kama sio kutafuta fangasi. Abdala kichwa nae ni kiumbe hai anahitaji hewa safi
 
Dozen ni elfu nane chupi nzuri Tu.
Kuna disposable pia.dozen 3500
Siku hizi watu wengi wanavaa disposable
Kwa budget ya elfu 20 unapata chupi za kuvaa mwezi mzima tena rangi tofauti tofauti.ukivua unatupa hukoo.
Hizo chupi disposable zikoje?
 
Ahaaaa jamani mna maneno.mwanaume na chupi usiku kweli.ndo maana mnatuletea vibamia havina ladha
Nimesema Wewe uvue Chupi sio Mwanaume avue Chupi eeebwana uvue Chupi umesema hulali na Chupi kwa hio km hulali na Chupi hapo ni msuano hakuna kusumbuana sumbuana kuvuana vuana Chupi kupoteza Muda ni kubinua na kuchomeka
 
Hivi binadamu anatakiwa awe na chupi ngapi? Wewe una chupi ngapi? Mi nina chupi 7 tu na zinantosha.
Chupi na fulana unavaa moja kwa siku. Maana yake kama unafua mara moja basi ni saba au nane
 
Back
Top Bottom