The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Za kazi kaka?Navaa boxer tu
Za kazini 30
Mazoezi 15
Za kutokea 60
Za kulalia 10
Zote izo kwani Huwa una ingia kwenye siku zakoNavaa boxer tu
Za kazini 30
Mazoezi 15
Za kutokea 60
Za kulalia 10
Za kwenda nazo kaziniZa kazi kaka?
Kuna maisha flani ukifika utajua umaskini sio poa.Zote izo kwani Huwa una ingia kwenye siku zako
Wewe palina🙄nyingi sana
minimum 50
Kumiliki chupi 89 ndo utajiri?Kuna maisha flani ukifika utajua umaskini sio poa.
Mwanamke si zaidi ya 7 na mwanamme ni 1 tu au mbili zinatoshaHivi binadamu anatakiwa awe na chupi ngapi? Wewe una chupi ngapi? Mi nina chupi 7 tu na zinantosha.
Unalala na boxer kwa nini?Navaa boxer tu
Za kazini 30
Mazoezi 15
Za kutokea 60
Za kulalia 10
Wewe Mwanamke inabidi uwe nazo nyingi sanaHivi binadamu anatakiwa awe na chupi ngapi? Wewe una chupi ngapi? Mi nina chupi 7 tu na zinantosha.