Nenda kituoni(ikiwa ni polisi itakuwa bora zaidi)
Usirogwe kwenda polisi.Natamani uipate ili nasi tujifunze kama uwezekano upo wa kuipata..shida police hatuwaamini
100% thinking capacityFika kituo Cha Police kilicho karibu Nawe.
Siyo lazima uzingatie; ila ukifika Police chonga nao vizuri wape hela ya maji wakishamdaka huyo simbilisi arudishe gharama zako then waambie police na wao wajipatie chochote kitu kabla ya kumwachia
Vipi mkuu kama ana hiyo 12% thinking capacity tumpige ban au unasemaje..?Una 12% thinking capacity
Apate bani pia atuambie kwanini kiasi vipimo vilionesha kinyesi chake kina vimelea vya ubongo wa nyumaVipi mkuu kama ana hiyo 12% thinking capacity tumpige ban au unasemaje..?
Mh! huku mbali mno hili sasa lakwenu mimi siyawezi haya...🤣Apate bani pia atuambie kwanini kiasi vipimo vilionesha kinyesi chake kina vimelea vya ubongo wa nyuma
Mwambie atafute kaziUna 12% thinking capacity
Acha upumbavu,, nenda polisi idara ya Cyber security ndio kazi yao hiyo.Wadau habari zenu, simu yangu iliibiwa juzi kati mtu alichomoa dirishani. Sasa nimeicheck kwa kutumia google inaonekana mara ya mwisho ilisomeka maeneo fulani(napajua) pia nimeitumia Samsung Find ambayo inaweza kupata location ya device hata ikiwa offline na inaonekana ipo maeneo fulani ambayo sio mbali sana na ninapoishi. Nahitaji mtu(ikiwa ni polisi itakuwa bora zaidi) ili kufuatilia zaidi especially hili eneo la mwisho.
Loss report na imei number vyote ninavyo ila pia chochote hakitakosekana kama simu ikipatikana, nisaidieni kabla haijauzwa mbali zaidi.
Location ni Dar Kigamboni
Ni kweli kabisa hasa vijana wa kiume na wakikeTutafute kazi
Kazi zipo nyingi
Tufanye kazi za kuvuja jasho.
Kwanini nasema haya ni kwa sababu vijana wengi hawajui umri unazidi kwenda
Sio kazi tu pia aache kujichuaMwambie atafute kazi
HeheheSio kazi tu pia aache kujichua
Job true trueBora ya wakike ataolewa je wakiume
Au sioNjoo inbox na 50k chap