Wadau habari zenu, simu yangu iliibiwa juzi kati mtu alichomoa dirishani. Sasa nimeicheck kwa kutumia google inaonekana mara ya mwisho ilisomeka maeneo fulani(napajua) pia nimeitumia Samsung Find ambayo inaweza kupata location ya device hata ikiwa offline na inaonekana ipo maeneo fulani ambayo sio mbali sana na ninapoishi.
Nahitaji mtu(ikiwa ni polisi itakuwa bora zaidi) ili kufuatilia zaidi especially hili eneo la mwisho.
Loss report na imei number vyote ninavyo ila pia chochote hakitakosekana kama simu ikipatikana, nisaidieni kabla haijauzwa mbali zaidi.
Location ni Dar Kigamboni
Nahitaji mtu(ikiwa ni polisi itakuwa bora zaidi) ili kufuatilia zaidi especially hili eneo la mwisho.
Loss report na imei number vyote ninavyo ila pia chochote hakitakosekana kama simu ikipatikana, nisaidieni kabla haijauzwa mbali zaidi.
Location ni Dar Kigamboni