[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]et "mpo" ... nyie wanawake wa jamiiforum ambao kila muda tunawasoma humu na mentality zenu za ovyoo sijui mambo yakienda mrama ndani ya familia mume ndio chanzo!! kuwa na aibu hata kama tunatumia fake ids
Acheni kukuza mambo, wangapi mnavumiliwa na wapenzi/wake zenu ilihali hali si hali?Shida ikiingilia mlangoni mapenzi yanatokea dirishani...!
Ni kweli kabisa "ukiona mambo yanakaenda mrama ujue kichwa cha familia kimeshindwa kusimamia nafasi yake".Nyie wanawake wa humu kila Leo tunasoma comments zenu jinsi mnavyoyachukulia mahusiano na hasa kuhusiana na situation anayoelezea mleta mada, wengi mnafanana kimaono.
Sikumbuki ni mara ngapi nimesoma huu mstari "ukiona mambo hayaendi vizuri ndani ya ndoa/mahusiano basi ujue mwanaume ameshindwa kusimama vizuri kwenye nafasi yake"
Sasa kwa mwanamke mwenye mawazo kama haya saa ngapi atakuwa na akili ya kumu encourage mume wake pale anapoanguka!?? sana sana si atamkimbia tu huku akimshtumu kuwa ameshindwa kuwa mwanaume ndio maana akaanguka eboo acha unafiki binti.
Marahabaaaa!Shikamoo
Hio ni fact.Acheni kukuza mambo, wangapi mnavumiliwa na wapenzi/wake zenu ilihali hali si hali?
mume wako anapokuwa kwenye matatizo hasa mporomoko wa kiuchumi halafu wewe hauonekani kumtia moyo wala kum console obvious lazima atakuuliza. Sasa na wewe kwa sababu ulikuwa unajiona huko manyanyasoni kipindi hajapata matatizo utajikujuta unamjibu kwa jeuri tu na hapo ndio mwanzo wa kumpanda kichwani.
Oh nadhani umewahi sana kutafuta hoja ya kujitetea, lakini upande wa pili umesahau kwamba hakuna mtu asiye fanya makosa, kama mume alifanya makosa mwanzo kwa kumsaliti mkewe haimanishi kwamba ndio tiketi ya kuja kunyanyaswa na mkewa baada ya kuporomoka kiuchumi, kwasababu mtu huyu pia anaweza kubadilika, lakini kubadilika kwake si kwa kumkomoa hilo unapaswa kujua.
Hapa sasa ndio unanogesha jukwaa. Kule ndio ulikuwa real. Mchana mwema Heaven Sent
Wacha we!! Ungetumention tu tuone mapema.
Sasa kwa taarifa yako hao ulotutaja hapo ndio wife material haijawahi tokea. Yaani ukitaka kuifaidi ndoa hao ndio wa kuoa.
Umewasahau na manengelo. Heaven Sent Khantwe Mother Confessor Sakayo
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
We mwenyewe unajua tulivyo wapole, wanawake wa mithali sisi.
Pasua kichwa nilikumiss[emoji3531]Ulimwengu tunaoishi unaongozwa na kanuni. Moja ya kanuni kubwa ni kanuni ya KUPANDA na KUVUNA. Utavuna ulichopanda; na utavuna mema kama ulipanda mema; na ukipanda mabaya basi jiandae kuvuna mabaya. Na katika kupanda mema au mabaya; sio lazima uje uvune kwa mtu yule yule ulikopanda; wakati mwingine utavuna kwa third party; Au usivune wewe wakavuna kizazi chako.
Unfortunately; Wengi wetu hatujali nini tunapanda; bali tunatarajia sana mavuno mema tena hata ambako hatukupanda. Unaishi na mwenzi wako; humjali, unamnyanyasa, kumdhalilisha, unamnenea maneno mabaya etc; then siku ya uhitaji wako unatarajia uvune huruma na loyalty yake; je kwake ulipanda huruma na loyalty?
Huku kwetu most of times mke ukikamatwa unachepuka ni hakuna maelezo talaka 3; la kumnyanyasa me ni kwa ke wachache na wanalimudu hilo effectively. Ila mume kuchepuka eti ni nature; so mke utavumilia tu; ukinyanyaswa; ukipigwa, ukiletewa watoto vumilia tu.You have a face to save to the society; maana utaambiwa mwanamke mjinga huvunja ndoa yake blah blah. Bado wengi wetu ni tegemezi; unawaza ntaanzaje maisha on my own; what about my kids etc. So pamoja na manyanyaso yote bado utaendelea kudumu ndoani. Unfortunately katika manyanyaso haya; wanawake wengi huwa wanaishia kubeba uchungu moyoni. Uchungu ambao unaweza ukawa unamtafuna yeye mwenyewe; mwingine uchungu anamalizia kwa watoto; yani ni mkali kwa watoto na watadundwa hao bila hata kosa la msingi. Wachache huwa wanaomba rehema juu ya waume zao; hadi kufikia hatua ya kuwasamehe; ilhali bado wanawaumiza
Wale wenye uchungu; siku yako ya tabu ndo siku ya yeye kutoa uchungu wake; aisee utasuffer (sio kama unakukomoa; ile mimba ya uchungu ndo inatoka; so vumilia tu). Unfortunately tunaishiaga kulaani tu hawa wanaotoa uchungu wao; bila kujiuliza ndani yao kulipandwa nini. Do you expect anything good to come out of a bitter person? Hata neno la Mungu linasema "Moyo uliochangamka ni dawa nzuri"; so moyo wa mkeo uliojikunja juu yako huo, utakuwa ni ugonjwa kwako. Msamaha ni kwa wachache walio na neema; hawa watakusaidia despite maumivu yote uliyowapa. Uchungu zaidi unakuja pale ambapo mnarudigi kwa wake zenu mkishakuwa total liabilities kwao; either umefulia kabisa au ndo unaumwaaa. Mke lazima uchungu uzidi; lazima akumbuke ulivyomtosa wakati things were ok for you; sasa hivi umebaki kushney karonga ndo unamuona mwema? Umegundua wema wake, ukajuta ndo ukamrudia au umerudi kwa sababu huna option? Thats hurts so so much. Afu msamaha haulazimishwi; it is earned slowly. Make some efforts hadi mkeo ajue huyu kweli amejuta.
Kukosea sawa; ila rejeeni kwa wake zenu wakati hali bado ni shwari. Na wao waexperience "katika raha"; sio wao kila siku ni katika shida tu; raha na wengine eeeeh. "UNAPANDA NINI"?
Hoyeeeeeee!!Hahahhaa wanawake wa Mithali 31 oyeeeee
That was different, I wasn't going to inquire anything about you. I wanted to ask him something and for that he was the best person for me to ask.Hapana. Nilikuwa nakusaidia tu kuwa kwenda PM kwa RR kusingekusaidia chochote. Hawezi kukupa taarifa yangu yoyote; angekurudisha kwangu obviously
One of the best coment....Barikiwa.Ulimwengu tunaoishi unaongozwa na kanuni. Moja ya kanuni kubwa ni kanuni ya KUPANDA na KUVUNA. Utavuna ulichopanda; na utavuna mema kama ulipanda mema; na ukipanda mabaya basi jiandae kuvuna mabaya. Na katika kupanda mema au mabaya; sio lazima uje uvune kwa mtu yule yule ulikopanda; wakati mwingine utavuna kwa third party; Au usivune wewe wakavuna kizazi chako.
Unfortunately; Wengi wetu hatujali nini tunapanda; bali tunatarajia sana mavuno mema tena hata ambako hatukupanda. Unaishi na mwenzi wako; humjali, unamnyanyasa, kumdhalilisha, unamnenea maneno mabaya etc; then siku ya uhitaji wako unatarajia uvune huruma na loyalty yake; je kwake ulipanda huruma na loyalty?
Huku kwetu most of times mke ukikamatwa unachepuka ni hakuna maelezo talaka 3; la kumnyanyasa me ni kwa ke wachache na wanalimudu hilo effectively. Ila mume kuchepuka eti ni nature; so mke utavumilia tu; ukinyanyaswa; ukipigwa, ukiletewa watoto vumilia tu.You have a face to save to the society; maana utaambiwa mwanamke mjinga huvunja ndoa yake blah blah. Bado wengi wetu ni tegemezi; unawaza ntaanzaje maisha on my own; what about my kids etc. So pamoja na manyanyaso yote bado utaendelea kudumu ndoani. Unfortunately katika manyanyaso haya; wanawake wengi huwa wanaishia kubeba uchungu moyoni. Uchungu ambao unaweza ukawa unamtafuna yeye mwenyewe; mwingine uchungu anamalizia kwa watoto; yani ni mkali kwa watoto na watadundwa hao bila hata kosa la msingi. Wachache huwa wanaomba rehema juu ya waume zao; hadi kufikia hatua ya kuwasamehe; ilhali bado wanawaumiza
Wale wenye uchungu; siku yako ya tabu ndo siku ya yeye kutoa uchungu wake; aisee utasuffer (sio kama unakukomoa; ile mimba ya uchungu ndo inatoka; so vumilia tu). Unfortunately tunaishiaga kulaani tu hawa wanaotoa uchungu wao; bila kujiuliza ndani yao kulipandwa nini. Do you expect anything good to come out of a bitter person? Hata neno la Mungu linasema "Moyo uliochangamka ni dawa nzuri"; so moyo wa mkeo uliojikunja juu yako huo, utakuwa ni ugonjwa kwako. Msamaha ni kwa wachache walio na neema; hawa watakusaidia despite maumivu yote uliyowapa. Uchungu zaidi unakuja pale ambapo mnarudigi kwa wake zenu mkishakuwa total liabilities kwao; either umefulia kabisa au ndo unaumwaaa. Mke lazima uchungu uzidi; lazima akumbuke ulivyomtosa wakati things were ok for you; sasa hivi umebaki kushney karonga ndo unamuona mwema? Umegundua wema wake, ukajuta ndo ukamrudia au umerudi kwa sababu huna option? Thats hurts so so much. Afu msamaha haulazimishwi; it is earned slowly. Make some efforts hadi mkeo ajue huyu kweli amejuta.
Kukosea sawa; ila rejeeni kwa wake zenu wakati hali bado ni shwari. Na wao waexperience "katika raha"; sio wao kila siku ni katika shida tu; raha na wengine eeeeh. "UNAPANDA NINI"?
I want to call all those who said JF imejaa wanawake wajinga ili waje waone hii. Kwenye ile list yangu ya wanawake kumi makini humu jukwaani amini kwamba na wewe umo.Ulimwengu tunaoishi unaongozwa na kanuni. Moja ya kanuni kubwa ni kanuni ya KUPANDA na KUVUNA. Utavuna ulichopanda; na utavuna mema kama ulipanda mema; na ukipanda mabaya basi jiandae kuvuna mabaya. Na katika kupanda mema au mabaya; sio lazima uje uvune kwa mtu yule yule ulikopanda; wakati mwingine utavuna kwa third party; Au usivune wewe wakavuna kizazi chako.
Unfortunately; Wengi wetu hatujali nini tunapanda; bali tunatarajia sana mavuno mema tena hata ambako hatukupanda. Unaishi na mwenzi wako; humjali, unamnyanyasa, kumdhalilisha, unamnenea maneno mabaya etc; then siku ya uhitaji wako unatarajia uvune huruma na loyalty yake; je kwake ulipanda huruma na loyalty?
Huku kwetu most of times mke ukikamatwa unachepuka ni hakuna maelezo talaka 3; la kumnyanyasa me ni kwa ke wachache na wanalimudu hilo effectively. Ila mume kuchepuka eti ni nature; so mke utavumilia tu; ukinyanyaswa; ukipigwa, ukiletewa watoto vumilia tu.You have a face to save to the society; maana utaambiwa mwanamke mjinga huvunja ndoa yake blah blah. Bado wengi wetu ni tegemezi; unawaza ntaanzaje maisha on my own; what about my kids etc. So pamoja na manyanyaso yote bado utaendelea kudumu ndoani. Unfortunately katika manyanyaso haya; wanawake wengi huwa wanaishia kubeba uchungu moyoni. Uchungu ambao unaweza ukawa unamtafuna yeye mwenyewe; mwingine uchungu anamalizia kwa watoto; yani ni mkali kwa watoto na watadundwa hao bila hata kosa la msingi. Wachache huwa wanaomba rehema juu ya waume zao; hadi kufikia hatua ya kuwasamehe; ilhali bado wanawaumiza
Wale wenye uchungu; siku yako ya tabu ndo siku ya yeye kutoa uchungu wake; aisee utasuffer (sio kama unakukomoa; ile mimba ya uchungu ndo inatoka; so vumilia tu). Unfortunately tunaishiaga kulaani tu hawa wanaotoa uchungu wao; bila kujiuliza ndani yao kulipandwa nini. Do you expect anything good to come out of a bitter person? Hata neno la Mungu linasema "Moyo uliochangamka ni dawa nzuri"; so moyo wa mkeo uliojikunja juu yako huo, utakuwa ni ugonjwa kwako. Msamaha ni kwa wachache walio na neema; hawa watakusaidia despite maumivu yote uliyowapa. Uchungu zaidi unakuja pale ambapo mnarudigi kwa wake zenu mkishakuwa total liabilities kwao; either umefulia kabisa au ndo unaumwaaa. Mke lazima uchungu uzidi; lazima akumbuke ulivyomtosa wakati things were ok for you; sasa hivi umebaki kushney karonga ndo unamuona mwema? Umegundua wema wake, ukajuta ndo ukamrudia au umerudi kwa sababu huna option? Thats hurts so so much. Afu msamaha haulazimishwi; it is earned slowly. Make some efforts hadi mkeo ajue huyu kweli amejuta.
Kukosea sawa; ila rejeeni kwa wake zenu wakati hali bado ni shwari. Na wao waexperience "katika raha"; sio wao kila siku ni katika shida tu; raha na wengine eeeeh. "UNAPANDA NINI"?
Hoyeeeeeee!!
Hakika tunastahili sifa, ni wanaume wanaojielewa pekee wanaoweza kutuelewa. Inahitaji jicho la rohoni and bad enough wengi hawana.
Haleluyaaaa!
Muone vileeeee mfyuuuuuuuuuu..... Tatizo ni nyinyi wenyewe mtu unajitoa kwa moyo wote..... Unakubaliana na hali zote ukiwa unajua huyu ni mwanaume /mume wangu... Mnakuja kulipa malipo ya hovyohovyoKwa hapa Tz ' Wanawake wenye Tabia njema Hiyo. ..tayari walisha kufa Katika Vita ya Kagera
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha haaaa haa. .akikuchoka zaidi anakuambia yule John ndiye mwanaume mwenye akili sasa ''
Sio nyie huwa mnasema watoto ni wenu sie tunawabebea tu kwa miezi 9? Sasa mbona mnajitoa[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
[/QU
Duuh umerud tena ulipotoka? Upo?
Haya maneno tu. Utadhani kweli vileMuone vileeeee mfyuuuuuuuuuu..... Tatizo ni nyinyi wenyewe mtu unajitoa kwa moyo wote..... Unakubaliana na hali zote ukiwa unajua huyu ni mwanaume /mume wangu... Mnakuja kulipa malipo ya hovyohovyo
Haya maneno tu. Utadhani kweli vile