Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Ndio wanayo taka mkuu, huoni hoja zao hapo.Hayo sio mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanayo taka mkuu, huoni hoja zao hapo.Hayo sio mapenzi
Mmoja kati ya wanawake Bora humu jukwaani. Hongera mkuu
Haha umepotea best au ndo majukumu?Nakusoma tu hapa best
duuuh... asee kumbe!! kuna mabadiliko makubwa unayaona?
Heaven Sent pia????
Huyo ndio kocha mchezaji
So umelijua baada ya RR kukujulisha na; umeliamini pasipo hata kuliona?Duh! Sikulijua hili
Umeona pacha wako anavyonionea?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Now I do! Then I am gonna PM you mkuu
Sijakuzoea hivi[emoji3526]Mmmhhhhh kiddo
Majukumu aisee. Nipo tight kimtindoHaha umepotea best au ndo majukumu?
They said wewe ni kocha mchezaji kwenye timu yenu ambayo Edelyn ndio straikerWhat's up?
Sijiamini bado. Besides Khantwe Kasema nisimsikilize RRSo umelijua baada ya RR kukujulisha na; umeliamini pasipo hata kuliona?
Muangalie fulani ana biashara nzuri, yule binti amewajengea wazazi wake nyumba, yule mliyesoma nae ana watoto wawili, kijana yule kawawekea wazazi wake mashine ya kusaga, wewe unakwama wapi? Hayo ndio maneno tunaambiana
Ngoja kwanza, let me relax hebu. Can I get them from Khantwe ???Relax man. Huko PM kwake utapata sifa zangu nzuri hadi zikuchanganye koh koh
Eti??Sijakuzoea hivi[emoji3526]
Ngoja kwanza, let me relax hebu. Can I get them from Khantwe ???
Sifa zako nzuri hadi zinichanganye inawezekana kuzipata kwako???Why not getting them from me,myself and I?
Eeeh coz I know myself better than anyone in here. Hamna sifa nzuri zozote bana; nilikuwa nanogesha tu jukwaaSifa zako nzuri hadi zinichanganye inawezekana kuzipata kwako???
Oohh pole mkuuMajukumu aisee. Nipo tight kimtindo