Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Nikufuate una nini wewe? sms inayofuata niazime elfu ishirini, ukijibu sina nilijua tu huwezi kunipa ulivyo na roho mbaya...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani
 
ahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
Tunapwaya wapi? Sema ile siku tumekupiga makombora hadi ukakimbia.[emoji23][emoji23][emoji23].
Tatizo lenu huwa hamkai hadi mjidhihirishe mmeshindwa, mnatafutaga visababu mnakimbia.
 
hahahhaaaa...you are the winner sperm........unashindwa wapi kichwa cha familia.......hapo umesimamishwa kazi.....utasikia ..hivi ada za wanao umelipia....sio wanetu noo...WANAO...
Ha ha ha ha wanavyojitoa sasa hapo...
Sio nyie huwa mnasema watoto ni wenu sie tunawabebea tu kwa miezi 9? Sasa mbona mnajitoa[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
 
ahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.

Wacha we!! Ungetumention tu tuone mapema.

Sasa kwa taarifa yako hao ulotutaja hapo ndio wife material haijawahi tokea. Yaani ukitaka kuifaidi ndoa hao ndio wa kuoa.
Umewasahau na manengelo. Heaven Sent Khantwe Mother Confessor Sakayo
 
"Hivi wewe mwenzetu hela zako huwa unazipelekaga wapi, mbona sioni la maana linalosimama humu ndani [emoji849][emoji15]"
Kwani huwa unapeleka wapi pesa zako?
 
huku bongo ukikwama janamke linakwambia umeshidwa kusimamia nafasi yako. Yaani hakuna cha faraja wala kutiana moyo..!! pumbafuuu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa kama unakwama usiambiwe? Ndio kutiwa moyo huko.
 
Back
Top Bottom