Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Mmh, kama kuna wanaume wanalizwa basi ni aina ya Ben Pol. Mwanamke wa kibongo akipata mtu mpole kama Ben anaanza vituko vya abuja yani. Mara ajiskilizie mara kiburi kiburi ilimradi tu kero. Mwishowe huwa wanasaliti penzi maana ukiwa mpole mwenye mapenz mwanamke wa kiswahili anakuona kama Zoba tu au zezeta. Wengi hawanaga tabia ya ku appreciate upendo.

Utashangaa lime kucheat tu linaenda kugongwa na mchizi mbabe babe asiejali ila hapo ndio ataganda kama saruji ya mlima Klimanjaro. Kisha kilio kinaanza yani mwanaume hana care kabisa, sijui blah blah.
Kuna ukweli hapa mkuu, mara nyingi wanaume wapole ndio wanakutana na majanga makubwa
 
"J you are..." or "J you'r...." Rudi OLDmoshi school kajifunze tena uandishi.
"J your a genius I believe in you " my girl says.

Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.

Nampenda mrembo wangu.
 
Back
Top Bottom