Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Duh! Sikulijua hiliHuyo ndio kocha mchezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Sikulijua hiliHuyo ndio kocha mchezaji
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo ndio kocha mchezaji
Kuna ukweli hapa mkuu, mara nyingi wanaume wapole ndio wanakutana na majanga makubwaMmh, kama kuna wanaume wanalizwa basi ni aina ya Ben Pol. Mwanamke wa kibongo akipata mtu mpole kama Ben anaanza vituko vya abuja yani. Mara ajiskilizie mara kiburi kiburi ilimradi tu kero. Mwishowe huwa wanasaliti penzi maana ukiwa mpole mwenye mapenz mwanamke wa kiswahili anakuona kama Zoba tu au zezeta. Wengi hawanaga tabia ya ku appreciate upendo.
Utashangaa lime kucheat tu linaenda kugongwa na mchizi mbabe babe asiejali ila hapo ndio ataganda kama saruji ya mlima Klimanjaro. Kisha kilio kinaanza yani mwanaume hana care kabisa, sijui blah blah.
Now you knowDuh! Sikulijua hili
Wewe ni kocha msaidizi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
You are one of the best!
Naomba niishie hapa
nina imani siko peke yangu, shida iliyopo ni wengi kujiwekea mazoea kitu ambacho hata akiona kitu kiko tofauti bado anaamini kule kule hivo sishangaiMkuu umewahi kumsoma mara ngapi huyu bibie Madame S ??? Believe me humu kuna wanawake wako njema sana sana sana!
Kumbe???Usimsikilize RRONDO atakuwa na bifu na mdogo wangu
Now I do! Then I am gonna PM you mkuuNow you know
Usije ukakengeuka kwa maswaahib ya dunia ukhtyShukrani akhy
Wanataka uoshe vyombo na kusugua masufulia nyumbani vipi hapo utayakubali mapenzi hayo.Huwa sina bifu na warembo,nina mapenzi nao tu
SawaWewe ni kocha msaidizi
"J your a genius I believe in you " my girl says.
Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.
Nampenda mrembo wangu.
Kweli, heko zake mama...Kimsingi amezaa mtu kweli kweli. Najiskia raha napoona hekima zako kupitia comment unazotoa humu. Wapo watakaojifunza kupitia wewe naiman.
Usije ukakengeuka kwa maswaahib ya dunia ukhty
Hayo sio mapenziWanataka uoshe vyombo na kusugua masufulia nyumbani vipi hapo utayakubali mapenzi hayo.
Aamyn aamynMungu anijaalie niyashinde na anipe subra kwa kila jambo niweze kuyashinda maswahibu hayo