Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

bila shaka umelelewa kwenye malezi mazuri ya kiislamu na walezi wako waliishi kama mfano wa kuigwa na wewe. Niombe radhi kwa kuku group pamoja na wenzako wengi humu ambao wanafanana kimtazamo kutokana na comments zao ninazozionaga mara kwa mara humu inapokuja mada kama hii.

Kama kweli unafanya haya uliyoyaandika hapa katika maisha halisi basi big up sana kwa huyo kidume uliyenaye, ameokota dodo chini ya mkaratusi.

Maisha hayako uniform hata kidogo lazima kuna kukwama mahali, sasa kwenye kukwama ndio tunaona maana ya vile viapo vya siku ya ndoa. Bahati mbaya sana wenzako wengi ukicheki mitazamo yao unagundua kuwa hivi viapo hawawezi kuviishi. Ila kwako wewe unaonekana unajua maana halisi ya companionship kwa mujibu ya maelezo yako.

Endelea hivyo hivyo kutofungamana na upande wowote usiokuwa sahihi nimekupenda ghafla.
Mkuu kumbe na wewe ni muungwana!

Mimi nimemfuatilia huyu bibie, ni mwema sana kiasi ya kwamba as a person unaamini hastahili maumivu sio Leo wala kesho.

Aliemuoa huyu bibie amebarikiwa sana.

Wapo pia wanawake smart sana sana sana humu ndani.
 
Inategemea na situation, kama watoto wanapitia changamoto na mzee hela haijakaa sawa ama haitoshelezi wewe unawajibika kutoa tough kama ni mtu mwenye hekima. Sio lazma uombwe.
Ada imepelea, mtoto arudishwe home wakati wewe unaweza malizia kipande kilichobaki. Yani hela yako ukanunue magauni na skin jeans na kununua wigi la laki 3 ikiwa mwanao amerudishwa ada nyumbani. Hio unaona iko sawa? Na hizi ndio emergency nazosemea.


Sasa kama siyo lazima kwanini wale ambao hawasaidii mnawaona hawafai? Kwahiyo hata ninyi kusaidia kufanya kazi za ndani siyo lazima ila ni swala la hekima tu na wasiosaidia hawana hekima si ndiyo?
 
Hapana, nadhani Mungu huwa anabalance. Mwanaume akiwa mpole mke anakuwa machachari na mwanamke akiwa mpole mume anakuwa moto. Sijazungumzia uma.laya naongelea umachachari wa kawaida
Huenda ni kweli basi, ama kuna kani ya mvutano baina ya mpole na mkali.

Ila wanaume decent wanapataga wanawake malaya sijui kwanini the same goes to decent women wanapataga majamaa ambao hawajali kabisa. Sina utafiti ila just speaking from experience, wanaopata mabomu ni wale decent guys.
 
Hivi watu mnaishije kwenye hizo ndoa?? Sioni sababu ya kuoa aseee kama ndio mambo yapogo hivo, sijaona mahali wala kusoma mahali watu wanafurahia ndooaa sanaaaa ni mitifuano tuu

Hapana aisee, ngoja kwanza, nisije nikadandia train kwa mbele
Hahahahah mwenyewe niko hapa najisomea nacheeeka na kugawa likes tu
Jameni kama ndoa ni ndoani si mfanye mambo mengine hahaha
 
Naona straika uliwakilisha vyema sihitaj hata kuongezea ni kumwaga likes tu
Hahahah
Hakuna mwanamke anayefurukuta mbele ya mwanaume mwenye sifa hizo ulizozielezea labda awe karogwa ila sasa ndo ujiulize ni wanaume wangapi wenye sifa hizo ulizozielezea? Ukishapata jibu ndo utajua kwanini wanawake wengi wa sasa wapo hivi walivyo

Mimi nadhani vitu vingine msitulaumu sana wanawake ila mjichunguze kauli na tabia zenu hasa wanaume wa siku hizi yaani siku hizi hakuna mapenzi tena ni tamaa na utapeli tu kwa kwenda mbele na haya mambo walianzisha wanaume sasa kwanini na wanawake waendelee kukubali kuwa victims wa haya maovu kila siku?
 
Huenda ni kweli basi, ama kuna kani ya mvutano baina ya mpole na mkali.

Ila wanaume decent wanapataga wanawake malaya sijui kwanini the same goes to decent women wanapataga majamaa ambao hawajali kabisa. Sina utafiti ila just speaking from experience, wanaopata mabomu ni wale decent guys.
Kumbe unaelewa sema tu unapenda kubishana
 
Stephen King ,mtu maarufu kwa uandishi wa Vitabu duniani aliwahi kukataliwa Kazi zake Mara nyingi.

Aliwahi kwenda kwa wachapishaji (Publishers) wa Vitabu 30 wakikataa Kazi zake kwamba hazikuwa na ubora .

Hali hii ilimfanya aanze kukata tamaa na mafanikio.

Akiwa katika hali ya kukata tamaa aliambiwa neno kubwa na mke wake " *Mume wangu ,tusikate tamaa tuendelee kutafuta wachapishaji wengi ipo Siku tutafanikiwa tu* "

Kutokana na hilo neno la mke wake lililomtia nguvu na ujasiri aliendelea kutafuta hatimaye akapata.

Stephen King ameandika vitabu 58 na stori fupi zaidi ya 200 .

Stephen King ameshauza nakala za vitabu milioni 350 duniani mpaka sasa .

Tafiti zinaonesha kwamba Stephen King ni tajiri wa 5 katika waandishi wa vitabu duniani mwaka 2019 , akiwa na dolla million 400.


Hakika hakuna safari isiyo na changamoto katika maisha isipokuwa lazima uangalie aina ya mtu unayesafiri naye.

Mke wa Stephen King alimwambia mume wake hivi akafanikiwa

[emoji1377]
*Mume wangu ,tusikate tamaa tuendelee kutafuta wachapishaji wengi ipo siku tutafanikiwa tu*

Je, mke wako anakwambiaje unapokwama , mume wako anakwambiaje ukikwama ? Ndugu, jamaa na rafiki zako wanakwambiaje ukikwama?

Hakikisha unasafiri na mtu anayeona matatizo kwa jicho la mafanikio.

*You're the Sperm that won the race*

#Nanauka
Mume wangu ipake Mate kama haiingii
 
Najitahidi sana mwenzangu ajue changamoto ya leo haimaanishi mambo yatakua hivyo hivyo siku zijazo. And together we can get through anything.
 
Back
Top Bottom