Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Kwa upande wangu zaidi ya kuambiwa "siwezi kuoa mwanamke maskini" sijawahi ambiwa neno zuri la faraja


Ila mungu yupo wallah naomba mungu amuweke yule kijana ashuhudie maajabu yake uuuwiiii
Huku kuapizana huku duh!!!

Anyway maneno ya faraja ndio yapi? Sema hapa hapa na mie ntakwambia ili uache kusononeka
 
kwa nini imeandikwa mwanamke mpumbavu huvunja ndoa kwa mikono yake na sio mwanaume??
 
kwa nini imeandikwa mwanamke mpumbavu huvunja ndoa kwa mikono yake na sio mwanaume??
Kwahiyo katika yote hayo aliyoandika umeona hilo ndo swali la kumuuliza? Hayo maandiko hayamaanishi kwamba ndo umtese mkeo unavyojisikia huku ukitegemea uvumilivu wake tu
 
Daaah!! Ulivyoniquote sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Wanaume wa sasa wanapenda huruma huruma 🤣🤣🤣
 
Muangalie fulani ana biashara nzuri, yule binti amewajengea wazazi wake nyumba, yule mliyesoma nae ana watoto wawili, kijana yule kawawekea wazazi wake mashine ya kusaga, wewe unakwama wapi? Hayo ndio maneno tunaambiana
Niliwahi kuambiwa kuwa ulofa ni Mali yako na ukoo wangu mke haumuhusu ulofa wangu na maneno hayo aliyatamka mbele ya hao jamaa zangu wa damu .Wakati huo nilikuwa nimepewa kitu kinaitwa abscondment kazini kwangu sina mbele wala nyuma nashukuru nilikuja lipwa stahiki zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…