Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Sawa mkuuWewe usizungumze kama unaweweseka,kunachangamoto za maisha pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuWewe usizungumze kama unaweweseka,kunachangamoto za maisha pia.
Am serious. Kwa hiyo unaoa mke akutafutie chakula, akupikie, akutengee ule ulale. Kesho hivyo hivyoAiseee......!!??
Mie unambia usijali hicho ni kitu rahisi sana muda ukifika utapata,namshukuru sana.Stephen King ,mtu maarufu kwa uandishi wa Vitabu duniani aliwahi kukataliwa Kazi zake Mara nyingi.
Aliwahi kwenda kwa wachapishaji (Publishers) wa Vitabu 30 wakikataa Kazi zake kwamba hazikuwa na ubora .
Hali hii ilimfanya aanze kukata tamaa na mafanikio.
Akiwa katika hali ya kukata tamaa aliambiwa neno kubwa na mke wake " *Mume wangu ,tusikate tamaa tuendelee kutafuta wachapishaji wengi ipo Siku tutafanikiwa tu* "
Kutokana na hilo neno la mke wake lililomtia nguvu na ujasiri aliendelea kutafuta hatimaye akapata.
Stephen King ameandika vitabu 58 na stori fupi zaidi ya 200 .
Stephen King ameshauza nakala za vitabu milioni 350 duniani mpaka sasa .
Tafiti zinaonesha kwamba Stephen King ni tajiri wa 5 katika waandishi wa vitabu duniani mwaka 2019 , akiwa na dolla million 400.
Hakika hakuna safari isiyo na changamoto katika maisha isipokuwa lazima uangalie aina ya mtu unayesafiri naye.
Mke wa Stephen King alimwambia mume wake hivi akafanikiwa
[emoji1377]
*Mume wangu ,tusikate tamaa tuendelee kutafuta wachapishaji wengi ipo siku tutafanikiwa tu*
Je, mke wako anakwambiaje unapokwama , mume wako anakwambiaje ukikwama ? Ndugu, jamaa na rafiki zako wanakwambiaje ukikwama?
Hakikisha unasafiri na mtu anayeona matatizo kwa jicho la mafanikio.
*You're the Sperm that won the race*
#Nanauka
kiingereza gani hicho? huyo demu wako au wewe hamfahamu uandishi"J your a genius I believe in you " my girl says.
Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.
Nampenda mrembo wangu.
Ujue hapo unamhonga sana. Kwa kauli hizo ujue hela ipo"J your a genius I believe in you " my girl says.
Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.
Nampenda mrembo wangu.
Acha kukalilikiingereza gani hicho? huyo demu wako au wewe hamfahamu uandishi
Akipata, nikipata tunatumia. Simuongi.Ujue hapo unamhonga sana. Kwa kauli hizo ujue hela ipo
FactMuangalie fulani ana biashara nzuri, yule binti amewajengea wazazi wake nyumba, yule mliyesoma nae ana watoto wawili, kijana yule kawawekea wazazi wake mashine ya kusaga, wewe unakwama wapi? Hayo ndio maneno tunaambiana
et "mpo" ... nyie wanawake wa jamiiforum ambao kila muda tunawasoma humu na mentality zenu za ovyoo sijui mambo yakienda mrama ndani ya familia mume ndio chanzo!! kuwa na aibu hata kama tunatumia fake idsTupo
et "mpo" ... nyie wanawake wa jamiiforum ambao kila muda tunawasoma humu na mentality zenu za ovyoo sijui mambo yakienda mrama ndani ya familia mume ndio chanzo!! kuwa na aibu hata kama tunatumia fake ids
Idea ya alichomaanisha umeipata lakin?kiingereza gani hicho? huyo demu wako au wewe hamfahamu uandishi
Hayo umeyasema wewe mkuu.Am serious. Kwa hiyo unaoa mke akutafutie chakula, akupikie, akutengee ule ulale. Kesho hivyo hivyo
et "mpo" ... nyie wanawake wa jamiiforum ambao kila muda tunawasoma humu na mentality zenu za ovyoo sijui mambo yakienda mrama ndani ya familia mume ndio chanzo!! kuwa na aibu hata kama tunatumia fake ids
ahahahaha.... nimecheka sana bro!Mkuu naona umeamua kuwatolea uvivu siku hizi