Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

huku bongo ukikwama janamke linakwambia umeshidwa kusimamia nafasi yako. Yaani hakuna cha faraja wala kutiana moyo..!! pumbafuuu sana

Tatizo wanaume hamuangaliagi mambo mnayowafanyia wake zenu kipindi mna pesa ila kipindi hamna pesa ndo mnaanza kuangalia mambo wanayowafanyia wake zenu hakuna mwanamke ambaye ulikuwa unamsaidia na haumsaliti halafu yeye akaja kukuvunja moyo ukija kupata shida labda awe na roho mbaya tu ila kama wakati una pesa ulikuwa haumsaidii na unamsaliti kwanini na wewe utake akutie moyo kipindi ukiwa hauna pesa?
 
Mkuki kwa nguruwe.......
Tatizo wanaume hamuangaliagi mambo mnayowafanyia wake zenu kipindi mna pesa ila kipindi hamna pesa ndo mnaanza kuangalia mambo wanayowafanyia wake zenu hakuna mwanamke ambaye ulikuwa unamsaidia na haumsaliti halafu yeye akaja kukuvunja moyo ukija kupata shida labda awe na roho mbaya tu ila kama wakati una pesa ulikuwa haumsaidii na unamsaliti kwanini na wewe utake akutie moyo kipindi ukiwa hauna pesa?
Hawa watu hawa sijui huwa wanawaza kwa kutumia Akili za wapi.
Wanamuona mwanamke km zuzu hivi, Nani akakutie moyo km wewe mwenyewe hukuwa na muda nae
 
Tatizo wanaume hamuangaliagi mambo mnayowafanyia wake zenu kipindi mna pesa ila kipindi hamna pesa ndo mnaanza kuangalia mambo wanayowafanyia wake zenu hakuna mwanamke ambaye ulikuwa unamsaidia na haumsaliti halafu yeye akaja kukuvunja moyo ukija kupata shida labda awe na roho mbaya tu ila kama wakati una pesa ulikuwa haumsaidii na unamsaliti kwanini na wewe utake akutie moyo kipindi ukiwa hauna pesa?
Kwa hiyo kumbe mwanaume anayekunyanyasa kipindi akiwa na hela, siku akiporomoka kiuchumi hakuna sababu ya kumsaidia kivyovyote vile bali huo ndio muda wako na wewe wa kumpanda kichwani..? halafu siku akirudi kwenye hali nzuri ya awali na wewe unarudi kwenye unyenyekevu na uvumilivu kama mwanzo tu sio?
 
bila shaka umelelewa kwenye malezi mazuri ya kiislamu na walezi wako waliishi kama mfano wa kuigwa na wewe. Niombe radhi kwa kuku group pamoja na wenzako wengi humu ambao wanafanana kimtazamo kutokana na comments zao ninazozionaga mara kwa mara humu inapokuja mada kama hii.

Kama kweli unafanya haya uliyoyaandika hapa katika maisha halisi basi big up sana kwa huyo kidume uliyenaye, ameokota dodo chini ya mkaratusi.

Maisha hayako uniform hata kidogo lazima kuna kukwama mahali, sasa kwenye kukwama ndio tunaona maana ya vile viapo vya siku ya ndoa. Bahati mbaya sana wenzako wengi ukicheki mitazamo yao unagundua kuwa hivi viapo hawawezi kuviishi. Ila kwako wewe unaonekana unajua maana halisi ya companionship kwa mujibu ya maelezo yako.

Endelea hivyo hivyo kutofungamana na upande wowote usiokuwa sahihi nimekupenda ghafla.
Kama vile mnavotuweka kwenye mkumbo mmoja na sie

Kwanza uelewe wengine humu hatufungamani na upande wowote na hua tunachangia vile kutokana na mada husika na si kila mada utachangia uonekane umechangia

Pili elewa kua binadamu hatufanani kama vidole usikandamize wala kulazimisha kutuweka kwenye mzani sawa ili tu kile ulichojiwekea akili kiwe ndicho badili mfumo wa fikra akilini mwako tupo wanawake tuna ndoa zetutunajielewa na wapo wasokua na ndoa zao na wanajielewa vile vile

Samahani sana na nikuambie tu mimi mume wangu naamini ndio mtu ambae anaweza tukashare mambo bila kificho sitaki kujua ananificha au la lakini ile tu mke wangu kuna kadha wa kadha nisaidie ushauri au unashauri vipi kwangu me naona nimethaminika na natoa ushauri wangu kama inavyopaswa

Halaf si kua mtaishi kwenye ndoa au mahusiano kila siku mtapata fedha, au kila siku mahela yanaingia kuna leo na kesho maisha ni kupanda na kushuka, akikosa bas sitaacha kumfariji sababu najua anatafta japo na mie natafta tusaidiane lakini naelewa ye kama baba ndio kichwa cha nyumba nikianza kumkatisha tamaa tutaishi vipi?? Lazima nimpe moyo kwanza nilivyo sipendi kumuona ana sononeka et kisa mambo hayaendi sawa wakat mimi ndio mkewe naweza mpa moyo nikamfariji hivo elewa tu kama wema upo na ubaya upo bas wanawake wenye sifa nzuri wapo vile vile
 
huku bongo ukikwama janamke linakwambia umeshidwa kusimamia nafasi yako. Yaani hakuna cha faraja wala kutiana moyo..!! pumbafuuu sana
😂😂😂😂😂😂😂 kmmmae yani balaa sana. Wanawake wa kibongo wameumbwa kuhudumiwa tu. Wakikosa huduma ni vita kali ya taarabu!
 
"Hivi wewe mwenzetu hela zako huwa unazipelekaga wapi, mbona sioni la maana linalosimama humu ndani 🙄😳"
😂😂😂😂😂😅😅😅😅 maneno ya shombo hayo,,,Hapo unakuta juzi tu kachukua elfu 50 ya kusuka wako.
 
Kama vile mnavotuweka kwenye mkumbo mmoja na sie

Kwanza uelewe wengine humu hatufungamani na upande wowote na hua tunachangia vile kutokana na mada husika na si kila mada utachangia uonekane umechangia

Pili elewa kua binadamu hatufanani kama vidole usikandamize wala kulazimisha kutuweka kwenye mzani sawa ili tu kile ulichojiwekea akili kiwe ndicho badili mfumo wa fikra akilini mwako tupo wanawake tuna ndoa zetutunajielewa na wapo wasokua na ndoa zao na wanajielewa vile vile

Samahani sana na nikuambie tu mimi mume wangu naamini ndio mtu ambae anaweza tukashare mambo bila kificho sitaki kujua ananificha au la lakini ile tu mke wangu kuna kadha wa kadha nisaidie ushauri au unashauri vipi kwangu me naona nimethaminika na natoa ushauri wangu kama inavyopaswa

Halaf si kua mtaishi kwenye ndoa au mahusiano kila siku mtapata fedha, au kila siku mahela yanaingia kuna leo na kesho maisha ni kupanda na kushuka, akikosa bas sitaacha kumfariji sababu najua anatafta japo na mie natafta tusaidiane lakini naelewa ye kama baba ndio kichwa cha nyumba nikianza kumkatisha tamaa tutaishi vipi?? Lazima nimpe moyo kwanza nilivyo sipendi kumuona ana sononeka et kisa mambo hayaendi sawa wakat mimi ndio mkewe naweza mpa moyo nikamfariji hivo elewa tu kama wema upo na ubaya upo bas wanawake wenye sifa nzuri wapo vile vile
Madame S wa tofauti sana, nilishakuona toka kitambo uko njema sana.
 
Back
Top Bottom