Vipi boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aseee
Mambo Saint Anne?Vipi boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I smell iota of truth hereHuyu Edelyn inaonekana bwana wake wa kwanza alimtesa sana kama sio hivyo basi alishuhudia mambo ya ajabu kutoka kwenye familia yao aidha mama yake or dada yake aliyopitia.
Yaani inaonekana ameshaharibika kutokana na manyanyaso na maonevu. Hata psychologically anaonekana hayupo sawa kabisaaa. Yaani ana dady issues zile nzito nzito. Nakuonea huruma sana. Pole.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmhhhhh kiddo
Safi brother,Mambo Saint Anne?
Brother sometimes tunanogesha genge tu[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Edelyn inaonekana bwana wake wa kwanza alimtesa sana kama sio hivyo basi alishuhudia mambo ya ajabu kutoka kwenye familia yao aidha mama yake or dada yake aliyopitia.
Yaani inaonekana ameshaharibika kutokana na manyanyaso na maonevu. Hata psychologically anaonekana hayupo sawa kabisaaa. Yaani ana dady issues zile nzito nzito. Nakuonea huruma sana. Pole.
ushaanza sasa.Kwahiyo kumbe unakubali kuwa siku nyingine huwa unanikaziaga enh?
Ndiyo lazima kuna majukumu yake mengine niyabague kama ambavyo yeye kuna mengine hayawezi kama kubeba mimba, kuzaa na kunyonyesha.Ni kujibu kwa kuzingatia aya zako mbili za kwanza maana ndio zimebeba kile unachokihubiri kila siku humu.
kama kweli wewe mwanamke umeamua kubeba masculine duties wakati huo ukitaka na mume wako nae abebe zile feminine duties kwa minajiri ya kuleta mgawanyo wa majuku kwenye mzani wa fifty-fifty, basi hakikisha hizo masculine duties unazifanya bila kuchagua. Yaani kama ni kukimbiza mwizi aliyekuja kuwavamia usiku basi fanya hata wewe bila kumshirikisha mume...kama ni kudeal na choo kibovu kilichoziba fanya hata wewe bila kumshirikisha mume.
Alikadharika mwanaume naye atafanya majukumu yote pasipo kuangalia kuwa haya ni ya kike au ya kiume ili kuleta exact fifty -fifty. Lakini kama wewe mwanamke utachagua majukumu fulani ya kiume ndio ufanye mengine usijuhusishe nayo, basi hata mwanaume naye anaweza akaamua ni jukumu lipi la kike anaweza akafanya na lipi asifanye. Na mpaka hapa tunakuwa hatupo tena kwenye 50 50 na hii ndio hasa unayoilengaga wewe kwenye maelezo yako.
Shukrani mzee babaHongera kwa kuwa wife material mzee mama
Kama namrekebisha na harekebishiki nitamuacha mapema siwezi tu kumsubiri hadi hadi apate majangaYaani Edelyn bwana kwa hiyo wewe unaona kuliko kumuacha mume mnyanyasaji uliyejaribu kumrekebisha lakini harekibishiki ni heri uendelee kuvumilia tu manyanyaso yake huku ukimuombea dua mbaya hili upate haueni kupitia matatizo yake si ndio?
Sawa sijakataa kwamba hata sisi wanawake siyo malaika sasa mbona na kwenye kuchagua au kutafuta wake wa kuoa huwa mnaassume kwamba sisi ni malaika hivyo hatutakiwi kuwa na mapungufu?Comments zingine zinajibiwa kulingana na content iliyomo kwenye comment yenyewe. Mtu anasema wanawake hawana matatizo kabisa wakati huo reports zinasema 80% of divorces zinakuwa initiated na wanawake, sasa huko si kujitia upofu tu ama kwa kujua au kutokujua mradi tu ujifurahishe na gender bias
Hahahaha mimi simo usije ukanichonganisha bureHahaha.... hapa hata mimi umenifurahisha mashabiki wa man u ni kweli wako kama ulivyowaelezea
Na kwa upande wenu wanaume kuna ambaye au ambao hawachepuki? Kama yupo au wapo basi hao ndo wanastahili kutiwa moyoKabisa hakuna mwanamke wa kukutia moyo tz.sanasana atakukimbia kutafta wenzako walio fanikiwa.
Rashford, Lingard, Martial na PogbaKama nani vile unamkubali?
Ndo unalazimisha msamaha sasa. Forgiveness is earned; not given. Possibly utasemehewa; ila ndo uwe mpole katika muda huo wa mpito. Wewe hukuona umuhimu wake; leo yamekukuta huko (eeh possibly bila kupata majanga usingerudi kwa mkeo); ndo umeona umuhimu. Just like in the same way hakukulazimisha umthamini; usimlazimishe akusamehe instantly. Hata akikumalizia hasira; muache tu; endelea kuwa mtiifu ili uuvune msamaha wake.
Afu msamaha wa mtu anayerudi after kupatwa na majanga; unakuwa haujulikani kama ni genuine au ndo kisa umepatwa: mambo yakiwa poa tena you are back to your old safe. Mpe time; mpe sababu ya kukusamehe: vumilia tu vimbwanga vyote kama ambavyo yeye alikuvumilia. Sio kila mtu ni strong kusamehe mapema; wengine wanasamehe taratibu
Kiukweli umesema vema sana, uliyo yasema ni kweli kabisa na ndivo wengi wanavyofanyiwa.
Silazimishi msamaha, lakini kuna njia nyingine ya kurekebisha hilo, zaidi ya kusamehe?
Unadhani ukiutumia wakati wa hali ngumu kujipoza hayo machungu kwa kumdharau mumeo, kumdhihaki na kumkatisha tamaa na kumkomoa ndio itakuwa njia nzuri ya kumfunza na kumaliza machungu ulio nayo?? akiweka chuki zaidi kwasababu ya hayo unayo yafanya unadhani kutakuwa na suluhu tena hapo??
Tatizo linamalizwa kwa kutengeneza tatizo lingine?? au na wewe umeamua kukubaliana naye kwa kuunga mkono ujinga wake kwa njia ya wewe kuanzisha visasi??
Moyo we furaha ni dawa nzuri maandiko ni kweli yamesema, lakini nadhani umesahau kuwa njia pekee ya kurudisha furaha ya moyo ni kusamehe.
Kusamehe sio lazima ila ni lazima kama unania ya kujenga upya uhusiano ulio yumba, ila kama huna lengo hilo basi lipiza visasi na mwisho wa visasi nadhani unauja.
[/QUOTE
Na ndo sasa kwa sababu tunaongozwa na kichwa hatujiongozi wenyewe basi ndo mjue kwamba mambo yakienda kombo kiwiliwili hakihusiki tena bali ni kichwa maana kiwiliwili kilikuwa kinafuata kichwa tu sasa kinaingizwaje kwenye lawama tena?Hongereni sana kwa kuwa perfect
That is not our general idea but the naked truthSo just because we refuse to align with your general idea... huh?
Hapana huyo simkubali nimeshakutajia kule juu ninaowakubaliSawa Lukaku
Masikini umejaribu kutaka kuotea maisha yangu yaliyopita na ya sasa lakini naona kama umeyumba hivi endelea kuotea labda ipo siku utapatia mimi ni mtu wa aina gani nakutakia kila la kheri katika uchunguzi wakoHuyu Edelyn inaonekana bwana wake wa kwanza alimtesa sana kama sio hivyo basi alishuhudia mambo ya ajabu kutoka kwenye familia yao aidha mama yake or dada yake aliyopitia.
Yaani inaonekana ameshaharibika kutokana na manyanyaso na maonevu. Hata psychologically anaonekana hayupo sawa kabisaaa. Yaani ana dady issues zile nzito nzito. Nakuonea huruma sana. Pole.