Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Because you know me, I see.I smell iota of truth here
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Because you know me, I see.I smell iota of truth here
Hawajui hilo wao kila kitu wanachukulia serious aisee kazi ipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunanogesha genge tu.
Mwache aamini anachoamini tuBrother sometimes tunanogesha genge tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Usichukulie serious kila kitu.
Hahahaha basi yaishe mdogo wanguushaanza sasa.
umeamua kutanua soko sasa, haya bana 😆Hahahaha basi yaishe mdogo wangu
Soko lipi tena mkuu??umeamua kutanua soko sasa, haya bana [emoji38]
Hahah af unanichanganya ujue, umebadili ID mamii?Soko lipi tena mkuu??
[emoji23][emoji23]ndio mkuu kama nakuona ulivochanganyikiwa[emoji1787][emoji1787]Hahah af unanichanganya ujue, umebadili ID mamii?
Kama ni hivyo basi wanaume karibia wote wa jf mna matatizo uloyaeleza hapo juu.Huyu Edelyn inaonekana bwana wake wa kwanza alimtesa sana kama sio hivyo basi alishuhudia mambo ya ajabu kutoka kwenye familia yao aidha mama yake or dada yake aliyopitia.
Yaani inaonekana ameshaharibika kutokana na manyanyaso na maonevu. Hata psychologically anaonekana hayupo sawa kabisaaa. Yaani ana dady issues zile nzito nzito. Nakuonea huruma sana. Pole.
Sawatrust me ni vigumu sana,sio kidogo
Ndiohao wengine wakatiwe moyo na michepuko
Nimeshangaa nime qoute Edelyn anajibu Marianah 😆😆😆 you confused me.[emoji23][emoji23]ndio mkuu kama nakuona ulivochanganyikiwa[emoji1787][emoji1787]
Nimeshangaa nime qoute Edelyn anajibu Marianah 😆😆😆 you confused me.
sema na tabia za edelyn uziwache, umekuwa mtu mpya.😂😂😂😂izoee hii mkuu
sema na tabia za edelyn uziwache, umekuwa mtu mpya.
haitofaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana mimi ni yule yule mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshangaa nime qoute Edelyn anajibu Marianah [emoji38][emoji38][emoji38] you confused me.
Inafaa kabisahaitofaa
haiendani na huyo mlimbwende pichaniInafaa kabisa