Mtuhumiwa mauaji ya mke amtumia sms mama mkwe

Mtuhumiwa mauaji ya mke amtumia sms mama mkwe

Hasira za kuua zinatokana na Sheria ya Ndoa kutoa unafuu Mkubwa Kwa mgoni kuliko mwenye MKE.

Haki yoyote hukamilika panapokua na mifumo ya kumlipia kisasi aliyodhulumiwa na SIO kumbeba aliyedhulumu.
Bila Sheria inayolipa kisasi Haki haiwezi kusimama. Haki ikiwa hailingani na kosa lililotendeka Jamii inafanya Mob justice au vinginevyo. Kisasi hakiangalii kama kinamuathiri aliyekifanya au aliyefanya alimradi pawe na majuto makubwa.

Kama wezi wangekua wanaiba halafu hakuna Sheria ya kuwakamata na kuwafunga gerezani Bila shaka mauaji yangekua Mengi sana. Wahalifu wanapokamatwa kisheria na kupelekwa polisi Kisha kufungwa gerezani husababisha Jamii kuepuka kuchukua Sheria mkononi.

Hivi unaweza ukakamatwa nyumbani Kwa Mkuu Wa Majeshi Wa Venezuela au Jaji mkuu Wa Komoro au waziri mkuu Wa Madagascar ukiwa unafanya mapenzi na MKE wake halafu ubaki hai. ? Haiwezekani kabisa. Kama Kwa wakubwa haiwezekani na kamwe hawawezi kuvumilia basi Hata Kwa watu Wa chini haiwezekani.
Hata Mwanaume au Mwanamke awe Malaya vipi kamwe hapendi mume au MKE wake achukuliwe na MTU Mwingine Kisha amfumanie.
Akimfumania ni lazima patokee timbwili. Tofauti ya timbwili inatokana na Silaha aliyokuwa nayo wakati Wa kufumania . Kama ana bastola ataipiga MTU risasi na kama ana panga atakata MTU panga ,kama ni Maji ya moto atamwagiwa.

Hizi Sheria za Ndoa waliozitunga Wameweka mwanya Wa mweye nacho au mwenye uwezo au mjanja anaweza akafanya anachotaka Kwenye ndoa ya MTU alimradi tu awe na uwezo Wa kulipa fidia na wamekubaliana tu bila kujali upande Wa mwenza katika Ndoa na Ustawi na usalama Wa familia .

Sheria ya Ndoa ipitiwe upya Ili kuilinda Jamii ya Kiafrika. Wazungu walipuuza na Sasa kwao Kila kitu kimevurugika wamebaki na majumba na magari huku Jamii Yao imiwa inapukutika PAMOJA na kuwa na maisha ya Juu yaliyojaa anasa za Ulevi na mambo ya hovyo hovyo kutokana na kukosekana Kwa familia zinazofuata maadili mema KIROHO na kimwili.
Mtu hakutaki unamuacha tu hakuna mambo ya kuvujisha damu haisaidii,hukuzaliwa nae kilichowaunganisha ni ndoa tu kama sakramenti ,kama amekushindwa utaratibu mwingine ufuatwe,muache ingawa inauma ila epusha akili ya kuua maana wote hupoteza
 
Hasira za kuua zinatokana na Sheria ya Ndoa kutoa unafuu Mkubwa Kwa mgoni kuliko mwenye MKE.

Haki yoyote hukamilika panapokua na mifumo ya kumlipia kisasi aliyodhulumiwa na SIO kumbeba aliyedhulumu.
Bila Sheria inayolipa kisasi Haki haiwezi kusimama. Haki ikiwa hailingani na kosa lililotendeka Jamii inafanya Mob justice au vinginevyo. Kisasi hakiangalii kama kinamuathiri aliyekifanya au aliyefanya alimradi pawe na majuto makubwa.

Kama wezi wangekua wanaiba halafu hakuna Sheria ya kuwakamata na kuwafunga gerezani Bila shaka mauaji yangekua Mengi sana. Wahalifu wanapokamatwa kisheria na kupelekwa polisi Kisha kufungwa gerezani husababisha Jamii kuepuka kuchukua Sheria mkononi.

Hivi unaweza ukakamatwa nyumbani Kwa Mkuu Wa Majeshi Wa Venezuela au Jaji mkuu Wa Komoro au waziri mkuu Wa Madagascar ukiwa unafanya mapenzi na MKE wake halafu ubaki hai. ? Haiwezekani kabisa. Kama Kwa wakubwa haiwezekani na kamwe hawawezi kuvumilia basi Hata Kwa watu Wa chini haiwezekani.
Hata Mwanaume au Mwanamke awe Malaya vipi kamwe hapendi mume au MKE wake achukuliwe na MTU Mwingine Kisha amfumanie.
Akimfumania ni lazima patokee timbwili. Tofauti ya timbwili inatokana na Silaha aliyokuwa nayo wakati Wa kufumania . Kama ana bastola ataipiga MTU risasi na kama ana panga atakata MTU panga ,kama ni Maji ya moto atamwagiwa.

Hizi Sheria za Ndoa waliozitunga Wameweka mwanya Wa mweye nacho au mwenye uwezo au mjanja anaweza akafanya anachotaka Kwenye ndoa ya MTU alimradi tu awe na uwezo Wa kulipa fidia na wamekubaliana tu bila kujali upande Wa mwenza katika Ndoa na Ustawi na usalama Wa familia .

Sheria ya Ndoa ipitiwe upya Ili kuilinda Jamii ya Kiafrika. Wazungu walipuuza na Sasa kwao Kila kitu kimevurugika wamebaki na majumba na magari huku Jamii Yao imiwa inapukutika PAMOJA na kuwa na maisha ya Juu yaliyojaa anasa za Ulevi na mambo ya hovyo hovyo kutokana na kukosekana Kwa familia zinazofuata maadili mema KIROHO na kimwili.
umenena vyema sana.
 
Ili uishi na mwanamke inahitaji akili iliyotulia sana,vinginevyo jiandaye kwa lolote lile...
 
Mbona kama haiingii akilini, mtu amuue mkeo/mpenzio halafu akupe nauli ukimbie kwa ahadi ya yeye kulimaliza hilo tukio. kuna mengi nyuma ya hili tukio la mauaji huu ni mwanzo tu.
Jamaa kachanganyikiwa tayari 😅😅😅
 
Hasira za kuua zinatokana na Sheria ya Ndoa kutoa unafuu Mkubwa Kwa mgoni kuliko mwenye MKE.

Haki yoyote hukamilika panapokua na mifumo ya kumlipia kisasi aliyodhulumiwa na SIO kumbeba aliyedhulumu.
Bila Sheria inayolipa kisasi Haki haiwezi kusimama. Haki ikiwa hailingani na kosa lililotendeka Jamii inafanya Mob justice au vinginevyo. Kisasi hakiangalii kama kinamuathiri aliyekifanya au aliyefanya alimradi pawe na majuto makubwa.

Kama wezi wangekua wanaiba halafu hakuna Sheria ya kuwakamata na kuwafunga gerezani Bila shaka mauaji yangekua Mengi sana. Wahalifu wanapokamatwa kisheria na kupelekwa polisi Kisha kufungwa gerezani husababisha Jamii kuepuka kuchukua Sheria mkononi.

Hivi unaweza ukakamatwa nyumbani Kwa Mkuu Wa Majeshi Wa Venezuela au Jaji mkuu Wa Komoro au waziri mkuu Wa Madagascar ukiwa unafanya mapenzi na MKE wake halafu ubaki hai. ? Haiwezekani kabisa. Kama Kwa wakubwa haiwezekani na kamwe hawawezi kuvumilia basi Hata Kwa watu Wa chini haiwezekani.
Hata Mwanaume au Mwanamke awe Malaya vipi kamwe hapendi mume au MKE wake achukuliwe na MTU Mwingine Kisha amfumanie.
Akimfumania ni lazima patokee timbwili. Tofauti ya timbwili inatokana na Silaha aliyokuwa nayo wakati Wa kufumania . Kama ana bastola ataipiga MTU risasi na kama ana panga atakata MTU panga ,kama ni Maji ya moto atamwagiwa.

Hizi Sheria za Ndoa waliozitunga Wameweka mwanya Wa mweye nacho au mwenye uwezo au mjanja anaweza akafanya anachotaka Kwenye ndoa ya MTU alimradi tu awe na uwezo Wa kulipa fidia na wamekubaliana tu bila kujali upande Wa mwenza katika Ndoa na Ustawi na usalama Wa familia .

Sheria ya Ndoa ipitiwe upya Ili kuilinda Jamii ya Kiafrika. Wazungu walipuuza na Sasa kwao Kila kitu kimevurugika wamebaki na majumba na magari huku Jamii Yao imiwa inapukutika PAMOJA na kuwa na maisha ya Juu yaliyojaa anasa za Ulevi na mambo ya hovyo hovyo kutokana na kukosekana Kwa familia zinazofuata maadili mema KIROHO na kimwili.

Mkuu sasa umeshagongewa unataka upewe haki gani tena? Mkeo amegongwa kwa ridhaa yake wewe unataka umlipe kisasi nani? mke kachepuka wewe piga chini maisha yaendelee kuanza kutilisha huruma kwa mwanmme ni kujizidishia aibu. Tatizo kubwa linaanzia pale ndani ya nafsi zetu na mind sate zetu tumekua na roho za kikatili sana ambazo hua zinatafuta sababu ya kufanya huo ukatili. Hujiulizi kwanini mambo kama hayo hutokea sana Africa na nchi nyengine za kishenzi kuliko nchi zilizokwisha staarabika? Watu weusi tuna khulka za kishenzi sana na ndio zinazotutesa.
 
Mtu hakutaki unamuacha tu hakuna mambo ya kuvujisha damu haisaidii,hukuzaliwa nae kilichowaunganisha ni ndoa tu kama sakramenti ,kama amekushindwa utaratibu mwingine ufuatwe,muache ingawa inauma ila epusha akili ya kuua maana wote hupoteza
Hata Wizi Kuna MTU ukamchomolea waleti yake anakaa kimya hapigi Hata kelele ya mwizi.

Nasema kama hakuna Sheria inayolipa kisasi Kwa yule anayeumizwa hakika mauaji ya Wanandoa kamwe hayawezi kuisha na yataongezeka mara dufu mana wakati huu Wa Mitandao Kila kitu kinajidhihirisha mapema.

Namesema Tena Hata MTU akavunja banda la MTU akaiba kuku Wa Sh.1500 Wa Kienyeji anaweza akauawa lakini pia Kuna Sheria ya kumwadhibu na Sio kusema KUWA aliyeibiwa anaweza akafungua kesi ya madai .

Mungu aliyeumba mbingu na nchi akitoa Sheria KUWA mzinifu auawe. Ukiangalia utagundua KUWA Katika jamii zote Duniani kabla ya kuja Dunia ya mashoga wengi kushika Dunia kosa la uzinifu lilikua ni kosa lenye adhabu KUBWA sana katika jamii zote bila kujali Dini zao.

Nikakupa Mfano nenda Kwa Mkuu Wa Majeshi ya Venezuela ukalale na mkewe akufumanie halafu umwambie Aah , kama hakutaki niachie mié mana Mimi Ndio ananipenda!!![emoji1787][emoji1787] Kama hautawekewa Bomu la kurusha makalioni basi utapigwa risasi za makalio.
Lakini ukiiba Hata gari utakamatwa na kupelekwa ukahukumiwe gerezani kama stahiki ya kosa lako .

Jamii inamtetea mzinifu bila kuangalia maumivu ya upande Wa pili. MTU amehangaika na MKE wake na Watoto Kisha anatokea MTU mwenye MKE wake na Watoto wake anaanzisha mahusiano kwenye familia ya MTU na kuharibu hisia na utulivu Wa MTU halafu asiuawe . No. Kifo ni kisasi Chema sana Kwa MTU asiye na kiasi . Wazinifu wanawawaua watu wenye fedha kupitia wake zao Ili wapate ubwerere Wa Mali . Kila MTU aheshimu Ndoa ya Mwingine Ili jamii itulie Sio watu wanaishi kama wanyama.

Anaonywa mara ya kwanza akikiuka basi anakutana na kitu kizito.
 
Back
Top Bottom