Mtuhumiwa wa mauaji ya Kware akamatwa, akiri kuua wanawake wasiopungua 42 ikiwemo mkewe

Ngoja nitunge story
Utakuta alikuwa jela kwa mauwaji ila katolewa ajifanye ndio muuwaji ili kutuliza vurugu

Ndio maana zikaitwa SiriKali
 
NAWAPA PONGEZI POLISI INTELEGENT KENYA KWA KUMPATA MUHALIFU WITHIN SHORT TIME, NA VITIBITISHO LUKUKI VYA UTHIBITISHO USIO NA SHAKA, HONGERA!
 

Abra kadabra.
 


Kwani wale
Wanajeshi ambao walimwagwa mtaani waliondolewa na polisi kurejeshwa?
 


Jomaisi Khalisi (33) amekiri kuwaua wanawake 42, ikiwa ni pamoja na mke wake mwaka 2022 kisha kwenda kuitupa miili hiyo kwenye dampo la Kware- Mukuru jijini Nairobi.​

Julai 13, 2024 ilipatikana miili 9 ya wanawake kati ya umumri 18-30 waliokuwa wameuliwa kwa kukatwa vipande na kisha uwekwa kwenye magunia katika dampo hilo

Baadhi ya vitu vilivyosemekana kupatikana nyumbani kwa mtuhumiwa ni pamoja na simu 10, line 24 za simu, vitambulisho 8 na nguo za wanawake. Pamoja na panga na magunia kadhaa ambayo linashukiwa kutumika kwa ajili ya mauaji hayo

Tukio hili limegundulika baada ya Polisi nchini Kenya kuanza uchunguzi wa watu waliotekwa na kuuliwa wakati wa maandamano yaliyokuwa yakiendelea nchini humo Julai 2024
 
Uyo jamaa amekaa kama mtu ambaye yupo kwenye protocol serikalini 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…