Mtumbwi alimojificha mtuhumiwa #2 kulipua bomu Boston

Status
Not open for further replies.
Mwenye mada katujuza kiuhakika sisi tusio na taarifa za kutosha za huko mamtoni,sasa wewe "R sweety" mbona unatuharibia?Anzisha thread yako kivyako ili tupate kuijadili na si kuingilia ya mwenzako.unatuharibia.

Mnataka mbakie wenyewe mjitekenye alafu mcheke wenyewe? Eeenh?
 

Haya mapyaaaa sasa!!!
 
We kweli zali la mentali;ugomvi wa nini?Ni kuhusu taarifa za Boston si zaidi ya hapo.

Hapa hakuna ugomvi. Kuna mtu anatema hoja (Zali la Mentali) na wengine wanatema vinyesi kwa sababu wamefilisika kichwani. Mimi huwa na enjoy sana kujadiliana na mambulula kama hawa. Hawanipi taabu hata kidogo.
 
It doesn't hold water boss. Kajipange upya.

Soma kitabu kilichoandikwa na Jan P. van Bergen (1981) wa Uholanzi utapata majibu ya ninayoyazungumza kuhusu ahadi Nyerere alizozitoa kuhakikisha anaupendelea na kuukuza Ukatoliki hapa Tanzania.
 
" RELIGION IS THE OPIUM OF THE POOR" - "DINI NI BANGI YA WATU FUKARA" hasa waliofilisika kifikra.

Kama ni Bangi basi nyie mnaoanzisha mada za kijinga halafu mkibanwa mnakimbilia utetezi kama huu wa kipuuzi ndio haaswaaaaaaaaaa mnaolitandika kama hamna akili nzuri.
 
Huwezi ona mkristo anajilipua au anatega bomu alipue watu wasio na hatia michezo hii inachezwa na waislam.
umemsahau kibwetere,alice lakwena,joseph konyi,david koreshi,umesahau adamu lanza wa juzi kati hapo marekani alieua vitoto vya chekechea kibao.umesahau yule jamaa wa denimark alievishindilia risasi vitoto kibao. Unasahau drone zinavyoua daily.kwako wewe anaeua kwa kujitoa mhanga ndo unamshikia bango ,na sababu ni uwazi uko na udini mbaya sana.

Hao wanaochuna ngozi na kunyofoa viungo alibino unawaona safi tu kulinganisha na hao wa kujitoa mhanga.
Wakati samson anaporomosha jengo afe nao wale wafilisti ndo alikua kiumbe wa kwanza kucommit suicide mission na mungu wake alikua ameapprove,kwahiyo suicide mission is nothing new.
 
Conspiracy theory will never end.
 
Nawona makamanda hapo chini mko kwenye kikao sasa hivi mnajadiliana nani aingie kujibu mapigo. Mtakoma na mimi mchimba chumvi.
 
Na hapa bado wanaume wapo kazini wanatafuta waliosalia.... watasalimika kweli??
 

I completely agree with you in the initial two sentences. But the last part about Obama setting up the bombing and killing his own people to make a point - it is rather hard to swallow!
 
silaha marekani zinauzwa kama jungu wanategemea nini?acha ziwamalize wao wenyewe kwanza
 
I completely agree with you in the initial two sentences. But the last part about Obama setting up the bombing and killing his own people to make a point - it is rather hard to swallow!
obama hakutoa ok ya kumdrone Anwary al lawk na sameer kule yemen wakati walikua ni raia wa marekani na huyohuyo anwary aliwahi kuwa mgeni wao pale pentangon baada ya spetember 11.unadhani anashindwa kutoa ok ya kuuliwa wamerekani wenzie kama anakidhi agenda zao.
 
hao ndio wakatoliki wao hufata mkumbo tu , mkil anachofanya marekani kwao ni sawa tu na wanadhani israel ni mwenzao kumbe myahudi hana mpango nao, nyinyi subirini kiama chenu ndio kimefika
 

Kulikuwa Gaidi mmoja la Kikiristu likiitwa George Habbash (Mlebanon) bingwa wa kusambaza silaha kimagendo duniani !
 
hao ndio wakatoliki wao hufata mkumbo tu , mkil anachofanya marekani kwao ni sawa tu na wanadhani israel ni mwenzao kumbe myahudi hana mpango nao, nyinyi subirini kiama chenu ndio kimefika
na huko israel ni marufuku kwa mkristo kuhubiri injili na akikamatwa anagawa bible kwa watoto wa kiyahudi anakwenda jela,hiyo ni sheria kabisa iliyopitishwa na bunge la israel kneset.ndo maana huwezi ona wahubiri wa kikristo wakienda kuhubiri israel.

Na ukisoma Talmud ambacho ndo kitabu wanachofuata wayahudi hawamsemi vizuri jesus.
Hata population ya israel kiimani wayahudi yaani jew ni wengi,wanafuata waislamu na kisha kidogo christian.
Hata bethlehem mji aliozaliwa jesus waisrael waliwaachia wapalestina uko chini ya mamlaka ya west bank.
Hata siku ya mkesha wa xmass au pasaka hutaona kiongozi wa israel akijumuika kwenye mkesha bali miaka yote arafat alijumuika na sasa Abu mazen amekua akijumuika.
Kwa ufupi waisrael hawana time na jesus.
 
Nawaza tukio la huku kwetu kukamatwa Lwakatare kwa Ugaidi na Tukio la hawa jamaa huko Boston, tukilinganisha hapa sifa za Gaidi zinaonekana huku kwetu Mh!!!.
 
Candid Scope hivi tz au nchi zetu za eadt africa tuna SWAT (Special Weapons And Tactics) squads au FFU na GSU kwa kwenda mbele?? Maana hii mahunt ya wamarekani ingekuwa huku kwetu wangekufa polisi wengi sana...

Ndio maana unaona wakisikia kuna kashkash mahala hawaendi mpaka kumetulia.

Kwanza tu huyu mwenye mji ambaye mtumwi wake ulikuwa maficho ya jasusi polisi wa Tanzania wangetia hatiani wakati ni raia mwema aliyewasaidia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…