Mtumbwi alimojificha mtuhumiwa #2 kulipua bomu Boston

Mtumbwi alimojificha mtuhumiwa #2 kulipua bomu Boston

Status
Not open for further replies.
What is the newsiness of this news in the first place? It's shameful people pay a lot of attention to the death of just three people while no one is there to report stories of hundreds of people killed in American drone strikes in Afghanistan. After all, the whole thing of Boston bombing is a mere set up by Obama and his security team aimed at undermining Republicans opposed to immigration reforms.

RADHIA SWEETY, magadhabu ya nini. allow us to hear or read whatever Gt bringth us, tell us what happened or what is happenining and we shall listen and probably sympathize. pole zako
 
B2K was a devoted christian , he ended up killing many women in his small town lakini matendo yake hayakuhusishwa na dini yake. Tofauti yake yeye na hawa , hawa wametumia mabomu yeye B2K alikuwa anatumia kamba na kisu.
 
suspect-1-and-suspect-2-high-res-jpg_213642.jpg

PIcha hii ilyonaswa katika camera ya usalama imewaumbua kwani katika Camera hii
wanaonekana wakiwa na mikoba mizito mabegani

a46aaae64700880d2f0f6a706700bd27.jpg


Baada ya kutega bomu like hawakuondoka wakabaki eneo la tukio lakini mbali kidogo na sehemu waliyotega bomu ili washuhudie na katika picha hii ambayo ilipigwa na Bob Leonard imekuja kuwa kinasibu maalum kwa kubaini wahusika hao baada ya kuona picha ya tangazo la FBI, hivyo akaanza kucheki picha za matukio aliyopiga na kukuta picha za hawa vijana wawili ambao awali walionekana wakipita na mikoba migongoni na kisha baadaye kuonekana eneo hilo kwenye picha bila mikoba migongoni.

Siku za mwizi ni arubaini.

Wenzetu upigaji wa picha kila tukio na hatua ni muhimu na katika nafasi kama hii tunaweza kujifunza Bob Leonard alivyoasaidia kuwanasa hawa maharamia wasio na utu.

cc;
Tai Ngwilizi, Zali la Mentali, Kiranga, mahoza, Elungata, ​uzeebusara
sure tujenge tabia ya kupiga picha na tunamshukuru mwasisi wetu ludovick kwa kuanzisha utamaduni huu mzuri.
 
The boston bomber wont be treated as enemy combartant and he is likely to be treated as criminal,which means he may not face the electric chair.because he is a naturalized american citizen.American citizen cant be treated as enemy combartant.
 
Kama hoja ni "ushahidi"ulioandikwa na mtu mmoja basi na mimi nakupa hoja uijibu (ipo kwenye maandishi ya M-denish mnaetaka kumuua) kuwa mtume wenu Mohamed alikuwa gaidi. Na alimchora akiwa na amevaa mabomu, USHAHIDI HUO NINAO na ukitaka hata sasa nakupa. Can you explain that?

Unapokosa hoja huwa unakua kama mtoto mdogo. Hoja zako ni za kitoto mno kiasi kwamba hata mtoto wa miaka 7 ataona kabisa kwamba umefilisika kichwani. Kwanza hiyo post yangu uliyoi quote inaonyesha ushahidi wa zaidi ya mtu mmoja na ni Wakristo ndio wanaotoa huo ushuhuda hivyo ni ushuhuda wa kuaminika kwani umetolewa na mtuhumiwa. Pili huyo Mdenish alichofanya ni kutukana matusi kama kawaida yenu mnapoishiwa hoja. Kitendo cha kumchora tu Mtume Muhammad S.A.W. peke yake achilia mbali kuvaa mabomu kinaonyesha kwamba yeye alikuwa comedy kama vile Jyoti au Masanja Mkandamizaji. Ukija kwenye mabomu, enzi alizoishi Mtume Muhammad S.A.W. kulikuwa hakuna silaha za mabomu hivyo watu wanaoshabikia picha za kijinga kama hizo na wanaomini Mtume Muhammad S.A.W. alikuwa gaidi kwa ushahidi wa kijinga kama huo lazima vichwani mwao wawe hamnazo.

Lakini ugaidi wa Wakristo uko wazi. Hauhitaji kutafuta simulizi za wavuta bangi kama huyo Mdenish unayemtaja ili ujue bila shaka kwamba Wakristo ni magaidi wa damu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba dini yao haiuziki kwa mtu mwenye akili timamu bila kutumia mabavu. Ushuhuda niliouweka wa Nyerere kuwa GAIDI kubwa lililoua watu wengi kuliko yoyote yule ambaye ni mzawa ndani ya bara la Africa unathibitisha hili. Ushuhuda wa Wakristo wa nchi za Magharibi kuua watu wengi duniani kwa ajili ya crusade yao ya kueneza ukristo kwa mabavu ambao unaendelea hadi leo nao unadhihirisha ukweli kwamba Wakristo ni magaidi No. 1 hapa duniani.
 
Tsarnaev's condition improves; brothers reportedly motivated by U.S. wars

Boston Marathon bombing suspect Dzhokhar Tsarnaev informed investigators that he and his brother were not directed by a foreign terrorist organization. Instead, they were "self-radicalized" and motivated to kill, in part, by U.S. wars in Iraq and Afghanistan, the Washington Post reported.The 19-year-old also acknowledged his role in the attack while being questioned by investigators in his hospital bed, the report said.

Tsarnaev, who has a gunshot wound to the throat and was sedated, responded in writing. He also suffered gunshot wounds in the head, neck, legs and hand during a late-night shootout in Watertown, Mass.
Meanwhile, Tsarnaev's condition is improving, the FBI said on Tuesday. The college student, who had been listed in serious condition at Beth Israel Deaconess Medical Center since his capture on Friday, is now in fair condition, the bureau said.

The update comes a day after Tsarnaev was charged with two federal counts of using a weapon of mass destruction to kill, injure and cause widespread damage at the marathon. Tsarnaev was informed of the charges and read his rights in his hospital room on Monday morning, and placed in the custody the U.S. Marshal Service. If convicted, he could face the death penalty.
 
Unapokosa hoja huwa unakua kama mtoto mdogo. Hoja zako ni za kitoto mno kiasi kwamba hata mtoto wa miaka 7 ataona kabisa kwamba umefilisika kichwani. Kwanza hiyo post yangu uliyoi quote inaonyesha ushahidi wa zaidi ya mtu mmoja na ni Wakristo ndio wanaotoa huo ushuhuda hivyo ni ushuhuda wa kuaminika kwani umetolewa na mtuhumiwa. Pili huyo Mdenish alichofanya ni kutukana matusi kama kawaida yenu mnapoishiwa hoja. Kitendo cha kumchora tu Mtume Muhammad S.A.W. peke yake achilia mbali kuvaa mabomu kinaonyesha kwamba yeye alikuwa comedy kama vile Jyoti au Masanja Mkandamizaji. Ukija kwenye mabomu, enzi alizoishi Mtume Muhammad S.A.W. kulikuwa hakuna silaha za mabomu hivyo watu wanaoshabikia picha za kijinga kama hizo na wanaomini Mtume Muhammad S.A.W. alikuwa gaidi kwa ushahidi wa kijinga kama huo lazima vichwani mwao wawe hamnazo.

Lakini ugaidi wa Wakristo uko wazi. Hauhitaji kutafuta simulizi za wavuta bangi kama huyo Mdenish unayemtaja ili ujue bila shaka kwamba Wakristo ni magaidi wa damu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba dini yao haiuziki kwa mtu mwenye akili timamu bila kutumia mabavu. Ushuhuda niliouweka wa Nyerere kuwa GAIDI kubwa lililoua watu wengi kuliko yoyote yule ambaye ni mzawa ndani ya bara la Africa unathibitisha hili. Ushuhuda wa Wakristo wa nchi za Magharibi kuua watu wengi duniani kwa ajili ya crusade yao ya kueneza ukristo kwa mabavu ambao unaendelea hadi leo nao unadhihirisha ukweli kwamba Wakristo ni magaidi No. 1 hapa duniani.

Wengi walisema hawa vijana wameonewa, familia yao wazazi ambao wangali huko Urusi wamelalamika kwamba watoto wao ni angel wameonewa, shangazi yao alilalamika.

Leo mmoja wapo amekiri kuhusika kama mada hiyo hapo chini ambayo ni update ya maendeleo yakesi hiyo.


Tsarnaev's condition improves; brothers reportedly motivated by U.S. wars

Boston Marathon bombing suspect Dzhokhar Tsarnaev informed investigators that he and his brother were not directed by a foreign terrorist organization. Instead, they were "self-radicalized" and motivated to kill, in part, by U.S. wars in Iraq and Afghanistan, the Washington Post reported.The 19-year-old also acknowledged his role in the attack while being questioned by investigators in his hospital bed, the report said.

Tsarnaev, who has a gunshot wound to the throat and was sedated, responded in writing. He also suffered gunshot wounds in the head, neck, legs and hand during a late-night shootout in Watertown, Mass.
Meanwhile, Tsarnaev's condition is improving, the FBI said on Tuesday. The college student, who had been listed in serious condition at Beth Israel Deaconess Medical Center since his capture on Friday, is now in fair condition, the bureau said.

The update comes a day after Tsarnaev was charged with two federal counts of using a weapon of mass destruction to kill, injure and cause widespread damage at the marathon. Tsarnaev was informed of the charges and read his rights in his hospital room on Monday morning, and placed in the custody the U.S. Marshal Service. If convicted, he could face the death penalty.
 
Wengi walisema hawa vijana wameonewa, familia yao wazazi ambao wangali huko Urusi wamelalamika kwamba watoto wao ni angel wameonewa, shangazi yao alilalamika.

Leo mmoja wapo amekiri kuhusika kama mada hiyo hapo chini ambayo ni update ya maendeleo yakesi hiyo.


Tsarnaev's condition improves; brothers reportedly motivated by U.S. wars

Boston Marathon bombing suspect Dzhokhar Tsarnaev informed investigators that he and his brother were not directed by a foreign terrorist organization. Instead, they were "self-radicalized" and motivated to kill, in part, by U.S. wars in Iraq and Afghanistan, the Washington Post reported.The 19-year-old also acknowledged his role in the attack while being questioned by investigators in his hospital bed, the report said.

Tsarnaev, who has a gunshot wound to the throat and was sedated, responded in writing. He also suffered gunshot wounds in the head, neck, legs and hand during a late-night shootout in Watertown, Mass.
Meanwhile, Tsarnaev's condition is improving, the FBI said on Tuesday. The college student, who had been listed in serious condition at Beth Israel Deaconess Medical Center since his capture on Friday, is now in fair condition, the bureau said.

The update comes a day after Tsarnaev was charged with two federal counts of using a weapon of mass destruction to kill, injure and cause widespread damage at the marathon. Tsarnaev was informed of the charges and read his rights in his hospital room on Monday morning, and placed in the custody the U.S. Marshal Service. If convicted, he could face the death penalty.

Ntakusamehe kwa sababu unaonekana umekurupuka tu kurukia hii mada na kwa hiyo ukadhani kwamba mimi nawaunga mkono hao vijana. Nachukia ugaidi kuliko pengine wewe unavyouchukia. Ndio maana matukio kama haya yanayoashiria ugaidi inabidi tukumbushane kwamba gaidi wa kuogopwa na hivyo kuwekewa mikakati ya kitaifa hapa kwetu ni nani? Huo mnaouita ugaidi uliotokea kule Boston umeua watu wangapi ukilinganisha na Wa Tanzania waliokufa kwa ajili ya ugaidi uliorutubishwa na Nyerere kama nilivyoelezea kote kwenye thread hii? Kwa nini mnadhani mna haki ya kuwaita wale vijana magaidi simply kwa sababu wameua watu ambao hawajai hata vidole vya mkono huko Marekani? Hiyo ndiyo tafsiri ya ugaidi? Wale vijana ni Wachechnya. Wamarekani mpaka leo wanawasaidia Wachechnya kwa hali na mali na kuwaita Wapigania Uhuru wa Chechnya ili wawatumie kwa ajili ya kuwadhibiti Warusi. Wachechnya hawa hawawaui watu wengine kule Urusi kwa msaada wa Marekani bali Wakristo kwa sababu Warusi wengi ni Wakristo. Kwa nini nyie hamzungumzi lolote wakati Wachenya wanawaua Wakristo wenzenu kwa mamia kule Urusi kutokana na msaada wa Marekani ila wamerekani wawili watatu wakiuwawa na hao hao Wachechnya mnawaita magaidi?
Hakuna utumwa mmbaya kama kumruhusu mtu mwingine atumie kichwa chako kama condom. Badala ya kuanza kushabikia wale vijana ni Magaidi, inabidi mtulie mjiulize kwanza kwamba magaidi gani wa kuogopwa kutokana na maslahi ya nchi yenu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom