Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Vitabu vya hadithi vinajulikana kwahiyo mimi nikitunga kitabu nikaandika Hadithi ndio inakua kweli? ni lazima useme umetoa kitabu gani cha Hadithi wacha blah blah

Kitabu nimeshakuwekea [emoji117] unasema hukitambui [emoji12]
 
Asante sana mkuu.
Kwakweli kwenye Qurani, ile Sura ya Majini inatisha sana.
Majini yanasema wazi kabisa kuwa.
Yanaisoma kurani kila siku na kuzingatia mafundisho yake.
Majini yanasema Yamesilimu na kuwa Maislamu.
Hivyo yanashika nguzo zote za dini ya Kiislamu kama,
Yanaadhini,
Yanatoa zaka,
Yanaswali msikitini kuanzia ile alfajili alasili na adhuhuri,
Yanafunga ramadhani,
Yanahiji Maka,
Zile adhana za asubuhi ukizisikiliza kwa umakini nyingine zinaimbwa na Majini kabisa jaribu kuzisikiliza kwa umakini utaona kuna wakati unasikia sauti za ajabu ajabu kabisa.
Hata ukijidamka ile inamaana alfajiri unakutana na baadhi ya majini yanawahi swala ya alfajiri.
Qurani inatamka wazi kabisa kuwa ninyi waislamu mna ndugu zenu wa Kijini..!
Eti kuna majini mema...!
Wakati Majini ni utawala wa Giza tokea zama za Adam hadi Yesu, na hatuoni popote Mungu akiyasamehe baada ya kutupwa Kuzimu baada ya kulaaniwa na Mungu.
Kama kuna Muislamu makini hebu aisome surat Jinn kwa utulivu na umakini atagundua kuna siri nzito katika sura hiyo ya kwenye Qurani.
Majini hayahaya tanayoyajua leo tunaambiwa ni Maislamu halafu na mimi niwe Muislamu, Jinni awe jamaa yangu.
Siwezi kusilimu kwa hali yoyote ile iwayo hata kama kwa kutishwa kuchinjwa na ISS niko tayari kukatwa kichwa.
Surat Jinn ni Sura ya Kuzimu kabisa, Sura ya Majini ambayo Qurani inakiri kuwa Shetani yaani Ibirisi, ni miongoni mwa hayo Majini, hivyo kwa mujibu wa Qurani yenyewe unapoema Surat Jinn, maana yake Sura ya Ibirisi Shetani.
Nabaki Nalia kwa uchungu sana.
 
Baba
msitoe tafsiri ya vichochoroni na kuitupia hapa

Ipige Picha hiyo Hadithi uliyoinukuu,kisha tupia Hapa


maana nyie majamaa ni waongo kupitiliza
 
Alete Matini ya Hadithi,na si tafsiri

Jamaaa huwa hawaogopi kabisa kusema uongo

nimekutana nao jamaa zaidi ya mmoja,anatoa andiko ndani ya Quraan au Hadithi,
lkn ukienda kufuatilia,unakuta HOLAAAAA

uongo uliopitiliza
wanalazimisha ushindi wa hoja,kupitia mgongo wa uongo

njia ya mwizi ni fupi sana
 
Uongo uliokubuhu


Nasema kwa mdomo mpana kabisa

Hadithi mumeitengeneza nyinyi kwa lengo la kupotosha watu
 
Ndg

Kama hutojali

Piga picha hiyo page nzima ya Hadithi hiyo,kisha tuma

Ubarikiwe sana
 
Uongo uliokubuhu


Nasema kwa mdomo mpana kabisa

Hadithi mumeitengeneza nyinyi kwa lengo la kupotosha watu
Jambo hili nilishalieleza huko nyuma kwa kina sana na kuweka maelezo yenye references. Tatizo wengi wenu hamsomi kwasababu mna hofia kua zitayumbisha Imani zenu kwa Mohammad na Allah. Nanyi mnataka Imani yenu izidi kua Imara ili muendelee kupeana matumaini hewa. Ukweli ni kua Hadithi za Mohammad ni nyingi sana(Voluminous). Na hii ndio imepelekea taarifa zake kufanywa kua siri sana na viongozi wake. Zisijulikane na waumini wake ikiwemo pia wale Non muslims/Kuffars.

Pia ibn Isham anakiri kuondoa Hadithi nyingi kwa makusudi kabisa akieleza sababu kua nyingi zingewafedhehesha sana waislamu kupitia matendo ya Mohammad.
Na baadhi ya hadithi hizo zilithibitishwa kuhifadhiwa na Tabari miaka ya 838-923.

Na ndipo Viongozi wa Uislamu ili kulinda Dini. Wakaja na dhana kua inabidi hadhithi iweze kukubalika na Quran kwanza. Bukhari ni mmoja wa waandishi wanaominika sana. Na utaona hapa nzi anaaminishwa kua ni dawa. Sitaki kwenda In details ila unaweza kuona mwenyewe hali ilivyokua.

Hivi ni vyanzo vikuu vya kumuelezea Mohammad:-
1.The Sira of Ibn Ishaq
2. The History of Tabari
3. The Book of Raids of al Waqidi and 4.the Books of Classifications (Tabaqat) of Ibn Sa’d

Sasa kusema ni Kuffars wanatengeneza Hadithi haitakua kweli. Ni kweli kua kutokana na maudhui yake, imekua vigumu kuzieleza hadharani. Lakini waumini wamebuni njia mbalimbali za kuzipaka marashi na ubani ziweze kupunguza ukali wake. Ikiwemo.mbinu zs Taqiyah tawiriya, kitman, muruna nk


Zipo hadi zinazoeleza kua Quran imetiwa mikono. Nakala kuchomwa na nyingine kuliwa na mbuzi. Kwa kifupi swala hili ni refu sana. Haiingii akilini kuwahusisha kuffars na hizi hadithi. Hizi hadithi ndizo zinazo wafanya walioamini wawe tofauti na kuffars kwa jinsi wanavyo chinjana pale mashariki ya kati hii leo.
 
ucha uongo ndg

Acha uongo


Mfano wako ww

ni sawa na msanya kuni usiku


Uislam,ni mweupe kabisa na kila aina ya doa
Nyie Watu msioupendelea Uislam Kheri,ndio mnakuja na yenu na kuyatia katika Uislam

Shia ni mfano mzuri wa watu waovu katika Dunia hii,ambao wanaunadi Uislam,ilihali wao wapo mbali mno na Uislam


Muhimu tu Bro
tusitoke nje ya Mada


Tunaomba hiyo Hadithi hapa
Pigeni picha hiyo page nzima,kisha tumeni hapa


Hatupendi Blaa Blaa nyingi


Likiisha hili in sha Allah

tutakuja kwako ww Muongo Mkuu
 



Hukujibu swali langu. Soma tena vizuri hilo swali kisha lijibu kama linavyouliza. Usi copy na ku paste tu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukujibu swali langu. Soma tena vizuri hilo swali kisha lijibu kama linavyouliza. Usi copy na ku paste tu.





Sent using Jamii Forums mobile app


Hukujibu swali langu. Soma tena vizuri hilo swali kisha lijibu kama linavyouliza. Usi copy na ku paste tu.





Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna contradiction, Ni Kweli kua Yesu alikuja kwa ajili ya Wana wa Israeli. Kwa maana ya kuzaliwa na kuinjilisha. Injili ambayo hapo baadaye ilitakiwa iwafikie mataifa yote ulimwenguni.

Fahamu kua Zamani zile wana wa Israeli walikua wanatawaliwa moja kwa moja chini ya Utawala wa Mfalme herode ambaye hakua mwisraeli bali Mgiriki. Na pia wote wakilipa kodi kwa utawala Mkubwa wa Roma ya Caesari(Siza/kaisari)..kwasababu Utawala wa Wagiriki ulikua chini ya utawala wa Rumi(Roman Empire).

Mfalme Herode pamoja na kua ni Mgiriki aliwasaidia waisraeli kuwajengea Hekalu la Yerusalemu lililokua limebomolewa na wakaldayo.

Lakini wana wa Israeli waliamini akija Masiha, atakua Mfalme wao. kwa mfano wa akina Mfalme Daudi atatawala kama ilivyo watawala wa Dunia.

Imani hii ilimgusa hadi MFALME Herode ambaye alijaribu kufanya upelelezi Ili amuue Mtoto Yesu Kristo ili kulinda milki yake.

[emoji116] [emoji116]
Mathayo 2:3-4
Basi mfalme Herode aliposikia hayo, ALIFADHAIKA, na Yerusalemu pia pamoja naye. [4]Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?

ALIPOMKOSA YESU, MAANDIKO YANAELEZA ALIUWA WATOTO WOTE WA KIUME WALIOZALIWA ENEO HILO wa umri wa kufikia hadi miaka miwili, ili kama kuna mtoto ambaye yuko destiny kua mfalme akatize ndoto hizo (Mathayo 2:16).


Waisrseli walishathubutu kumfanya Mfalme vile wanavyoona.
[emoji116] [emoji116]
Yohana 6:1
Kisha Yesu, hali akitambua ya kuwa walitaka kuja kumshika ili wamfanye MFALME, akajitenga, akaenda tena mlimani yeye peke yake.


Madai haya yalikwenda hadi wakati akikaribia kusulubiwa.
[emoji116] [emoji116]
Yohana 18:36
Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.

Mtume Petro ni mmoja ya watu waliotaka kupigana vita kumlinda Yesu asikamatwe na wayahudi( Mathayo16:23; 26:52 )
[emoji116] [emoji116]


Na baada ya kusulibiwa
[emoji116] [emoji116]
Mathayo 27:37
Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI. Madai haya yaliendelea hata alipofufuka.
[emoji116] [emoji116]

Matendo ya Mitume 1:6
Basi walipokutanika, wakamwuliza, wakisema, Je! Bwana, wakati huu ndipo unapowarudishia Israeli ufalme?



Lakini maandiko yanaweka wazi nafasi ya Yesu kwa ulimwengu.

[emoji116] [emoji116]
Luka 2:32
Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako Israeli.

Matendo ya Mitume 13:47
Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
[emoji115] [emoji115]


Yohana 1:11-13
[11]Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.
[12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
[13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.
 
Unapomtaja au kuandika Mtume Muhamad ongeza Salla Allahu Alehy Wasalam (SAW)
 

Kumbe wee ni mtu wa khutba..[emoji12] Mungu Aliiratibu Huduma ya Yesu duniani [emoji117] baada ya KUFUFUKA [emoji117] aliye mtume wa waarabu ni baba kassim [emoji117] bado tatizo lile lile kwamba hujui kusoma na aliye pewa jukumu la kukusomea [emoji117] ndio kafa tena umebakia kuokota okota hata kweñye kitabu kinacho kuona wewe ni kafir, una wazimu, Mpinga Kristo, mtu wa motoni umeziba maskio ili ubishie [emoji15] [emoji12]
 
Tatizo,mnanywishwa matango Pori kwa kutumia vitabu ambayo,hamjui ukweli wake juu ya uongo wake
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…