Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Nitakuomba tena katika Hadithi hii ya Pili

naomba uilete kwa uasilia wake,na si tafsiri hiyo mliokuja nayo

Kama unakitabu,Basi piga Picha hiyo page yenye hadithi husika
 
Ileteni Hadithi kwa asili yake(Kwa lugha yake ya Kiarabu)

kisha ndio mje na hiyo Tafsiri mnayotaka nyie
 
KWASISI WAISLAM WENYE DINI YETU HATUWEZ KUMUONA MUNGU MUONGO, HATUWEZ KUMUONA MUHAMMAD MUONGO

PIA HATUJAWAHI KUWAAMINI WANASAYANSI, ILA TUNAIAMINI SAYANSI ILIYONDANI YA QUR-AN, QUR-AN NI SAYANSI TOSHA KABISA, MUNGU ANAJUA VITU AMBAVYO SISI HATUVIJUI.
WANASAYANS NI WATU WALIO UMBWA NA MUNGU NA HIZO AKILI WAMEPEWA NA MUNGU PIA. USIWATUKUZE UKAMUWEKA MUNGU NYUMA.

MUNGU HUWA ANAWAONYESHA WANASAYANSI KUWA YEYE NI MKUBWA ZAIDI YAKE. Hiv hamjawah kuwaona wanawake wanaopata mimba siku ambazo ni salama kwao kwa mujibu wa sayansi ?
 
Quraan imeitangulia Sayansi
Na hili halina ubishani

Kubwa zaidi

Quraan haipitwi na wakati hata sekunde,ina kwenda na wakati/zama bila ya kuachwa kwa hatua hata moja


Apinge mpingaji,lkn hawezi kuugeuza mchana kuwa usiku

Usiku utabaki kuwa usiku,na mchana utabaki kuwa mchana

Quraan ni mfano wa mchana,tena ni zaidi
 
Nasaha kwa wapinga ukweli


Ndg zangu,usibishane na ukweli au uhalisia ulio sahihi,
Fursa bado mnayo,bado mnapumua,na Allah bado hajawa bakhili kwenu,na hana sifa ya ubakhili kwa waja wake

Tunawaita katika Uislam ndg zangu

Uislam ni Dini ya Haki
Uislam ni Dini ya Amani

Uislam ni Dini ya kweli

Uislam ni Dini ya iliyojaa Ustaarabu
 
Nimeshakujibu hili swali lako mara nyingi mtume alisoma kila kitu akamaliza akakamilisha dini , kwahiyo hata akifa kazi yake alishakamilisha ya kufundisha Uislamu

QURAN 5:3(Leo nimekukamilishieni Dini yenu ,na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo dini).
kwahiyo hata mtume afe kazi yake aliimaliza ya kusoma na kufundisha watu hoja ya ni nyepesi
 
unampigia mbuzi Gitaa
 
Yesu kaja kwa Israel mbona unaangaika kuunga unga visivyokuwepo , tukio la kusulubiwa Yesu ni uongo mtupu ndio maana ww mpaka leo unashindwa kusema ni saa ngapi Yesu alisulubiwa kwasababu tukio ni la uongo mtupu
 
Wameleta Hadithi hapa,na kumnasibishia Swahaba Anas Allah amridhie,kwamba amesikia kutoka kwa Mtume wa Allah ﷺ,ilihali ni uongo wa wazi

mbaya zaidi,Wanatoa kabisa na marejeo ya Uongo

Hawa majamaa,hawamuogopi hata Mungu wao!!!!!!!
 
Kuna kweli na kweli ya kweli!
 
Wameleta Hadithi hapa,na kumnasibishia Swahaba Anas Allah amridhie,kwamba amesikia kutoka kwa Mtume wa Allah ﷺ,ilihali ni uongo wa wazi

mbaya zaidi,Wanatoa kabisa na marejeo ya Uongo

Hawa majamaa,hawamuogopi hata Mungu wao!!!!!!!
Asikusumbue akili nimeshamwambia hata mimi masoud naweza kutunga kitabu nikaandika mambo yangu lakini linapokuja suala la hadithi au aya ya Quran lazima uonyeshe umetoa kitabu cha Hadithi au sura gani , sasa huyo anakuja anakwambia Umda sasa si bangi hizo
 
Katika kusoma
moja ya vitu vya msingi sana,ni kusoma vitu kwa asili yake
hapo mwanzo,niliwaambia hawa wandg,Someni Lugha ya Kiarabu,Jifunzeni Quraan kuisoma,kisha,zameni katika kuchambua na kutafuta haki ndani ya Quraan,lkn kwa sharti moja,ni kutafuta ukweli usiopingika

Wao wakaja na maneno ya kebehi katika jukwaa hili

Mbaya zaidi kwao,ni kutegemea tafsiri ya Quraan,imma waliotengeneza wao,au iliotengenezwa na Baadhi ya Masheikh,kisha hutumia kama fimbo dhidi yetu

Hili si sahihi
Sahihi ww kama Mkristo au Myahudi,ni kuisoma Quraan mwenyewe na kuijua undani wake,kisha lete hoja ukiwa mtambuzi wa mambo
 
Wanachekesha sana

Hata Maudhui Halisi ya Kitabu cha Umdah,wao hawakijui

Wanatunga Hadithi,kisha wanainasibisha na Kitabu tofauti kabisa na uhalisia

Kisha

Lugha ya Hadithi yenyewe,si Lugha fasaha,ni Lugha iliyoandikwa na Mtoto mdogo kabisa

Bila aibu
wanasema,ni Hadithi ya Mtume!!!!

Bila Aibu
Bila Haya
Bila Soni

Dah
Muogopeni aliewaumba wandugu
 
Unachekesha sana mkuu hivi huwa unasoma maandiko aliyethibitisha kuacha maandiko kwasababu anazozijua yeye ni YOHANA, wacha kutulilia sisi muulize YOHANA kwanini aliacha kuandika baadhi ya maandiko
YOHANA20:30
"Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya yesu mbele ya wanafunzi wake, ZISIZOANDIKWA katika kitabu hiki;"

sasa kama mambo ya yesu mliacha kuandika hayo mengine si ndio mliyatupa jalalani , kwahiyo lia na kitabu chako sio sisi
 
Hoja zao ni muflisi
 
Bro
huyo unaemjibu 2013
Hajui alichokikopi,je ni sahihi kweli kinapatikana katika Sahihi Bukhari na Sahihi Muslim,au ni uzushi tu?!!!

wanakuwa na ushujaa sana,kunukuu tafsir za watu waongo,waliotia nia madhubuti katika kuupotosha Uislam,kwa kutumia ndimi zao,au kalamu zao,au nguvu zao

kisha Mbongo anakuja,na kuchukua yaliyomo katika kitabu cha huyu mzandiki na fisadi wa makusudi!!!!


Tuwe na ustaarabu wa kusoma wenyewe,na kutafuta ukweli bila kubagua au ubishi/uvivu
 
Nawapa nasaha

Kabla ya kurusha tafsiri ya Aya au Hadithi humu
kwanza fanya uhakiki,je ni sahihi tafsiri hii au la?!!

ukiona ni sahihi,Basi rusha,huku ukiwa na ubavu wa kujibu hoja za upande wa pili
 
Tunawasubiri
 
wee unachekesha sana..deen kakamilisha lini [emoji47] ingekamilika mngegeuzana kibla mnyewe kwa mnyewe [emoji47] [emoji15] [emoji12] halafu hiyo aya uliyo tupia ni maneno ya baba kassim au allah [emoji47]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…