masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Kengele ahahahahahahahahahah mimi nimekua mbwa, kama hautoacha kufuru tutakusaka popote ulipoNjoo kwa Yesu yuko Hai akufundishe kusoma [emoji106] kengele inàkuita kila asubuhi wajinga njoo wajinga njoooo..wee hutakj bakia na ujinga wako [emoji4]
Ahahahaahahahhaahahahha andaa koo vizuri mkaimbe na kuabudu peponi ahahhaaahhahaahaha nyie jiteseni tu huo ndio ujira wenuAthari za kutojua kusoma kama hujui ndio hizo [emoji38] [emoji24]
Ahahaahahaaahaahahhaah bado unataka mteremko tu, kila mtu atalipwa kwa alitendelo, wacha kumtia mwenzako laana kwa kupenda mteremko..Kwasababu Yesu Kristo ndio Sadaka iliyo Bora.
Ahahahahahahahahahahahah kama hawa wanafunzi wa YesuHujui kusoma [emoji38] [emoji38] [emoji38] hiloo [emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mbona unazunguka sana bila shetani Yesu asingesalitiwa , na kama asingesalitiwa (na yuda) asingekufa msalabani ( kama mnavyosema) , na kama asingekufa msingepata uokovu(bila aibu mwenzenu afe nyie muokolewe) , kwenye mlolongo huo toa shetani anzia kwa yuda uone kama kuna huo uokovu ahahahahahahahahahahaLabda nikueleze hivi:-
Mpango wa Yesu Kristo Kufa ni Wa Shetani.
Kama ilivyoandikwa,"Uadui kati ya Uzao wa Mwanamke na Shetani'(Genesis 3:15)
Lakini Yesu alikua Mwaminifu hata Kifo cha Msalaba.(wafilipi 2:8)
Ilitabiriwa na Manabii wa Mungu kua ni Lazima Yesu Kristo apitie Kifo na Kufufuka..ili Mbegu ili iote na kuzaa Matunda Ni Lazima Ife na Izikwe katika ardhi.
Hii ndio test ya Juu, Hata Leo.
Wakristo ambao ni mashahidi wanakufa kwa ajili ya kutetea Imani.
Sio kama ile ya Kishetwaini ambapo Unaua Mtu ili kueneza Imani.
Shetani hutafuta kuwaangamiza
Watu wema waliopo Duniani. Akitaka wamkane KRISTO.
Shetani Alijaribu kumfanya Yesu Kristo atende Dhambi ili ashindwe Jukumu la Kuukomboa Ulimwengu na dhambi zao. Lakini kwakua Yesu Kristo Ndiye Simba wa Yuda, Alimshinda na Kumnyang'anya Funguo za Mauti na Kuzimu.
In Christianity point of view:
Mwili si Kitu kama ilivyo Roho.
Warumi 8:14
Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu
Hivyo ni Heri Uokoe Roho yako kwenye Jehanam ya Moto kuliko Mwili.
Mithali 4:23
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Kwahiyo Kuu DEFEAT Mwili haimaanishi Roho IMESHINDWA
[emoji116] [emoji116]
Mathayo 10:28
Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
Hivyo, Yesu aliweza ku endure yote, Hata kufa Msalabani. Ndio Maana tunasema sio defeat bali Ni Triumph dhidi ya Mkuu wa Ulimwengu huu.
Yesu kwa kulifahamu hilo anasema:-
[emoji116] [emoji116]
Mathayo 26:41
... roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.
Warumi 8:8
Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
Ahahahahahaahahajahajjaajajajajaja ndio jibu hiloKashindwa baba kassim itakuwa wewe [emoji47] kusoma kwenyewe hujui [emoji12]
Ni sheri ipi ya hesabuKwa akili za misukule umepatia [emoji15] [emoji12] funguka upate DAAWA sawia [emoji53]
AhahahahahahahahahahahahahahahhaKwa akili za mtu ASIEJUA KUSOMA NA ANAE MSOMEA KAFA UMEPATIA [emoji12]
paya ndio nini wewe ? , mwaka huu maji utaita mma ahahahaaahahaahahahahahaUkisikia ubongo, mapupu na paya za kitimoto ndio hizo masudi [emoji38] [emoji38]
Unakurubuka ndio nini wewe? Ahahahahahahahahhahhaajajhahahahaja uliambiwa na nani binadamu mwenzako umfanye Mungu siujinga wako mwenyewe ahahahahaahahahahhajajajaunakurubuka as if umetoka kwenye miratul rasul ha kumuingilia maiti [emoji47] hilo jibu ulilo leta limewiana vipi na mazungumzo yangu na gavana [emoji53] [emoji47]
Ahahahhahahahaaahahahahaja adui mkubwa wa yesu ni jitu la Kufuru paulo ahahahhahahahahhahaa hivi baba yake Paulo ni nani ?Nimeweka mto usingizi mnonooo [emoji4] kumbe hujui ADUI MKUBWA UISILAMU NI VITABU VYA KISILAMU NA WAISILAMU WENYEWE [emoji4]
John 13:1Umesema damu haina hatia" si kila siku mnasema kusulubiwa kwa yesu ni jambo lililotabiriwa , yaani Yuda katimiza unabii mjomba yuda na shetani wamefanikisha ukombozi wenu ahahahahahahahah
Paulo Yupo tu. Hata Ukimkataa. Amejaa ndani ya Bibilia.Huyo ni Paulo amekushika akili unaamini mambo ambayo Yesu ajawai kukufundisha wapi Yesu alikwambia kuna " Fumbo la imani" wewe unatuletea maneno ya bingwa wa KUKUFURU , yesu amesema amefundisha waziwazi wala sio kwa kificho , miaka 100 baada ya yesu ndio mtu aje alete msamiati mpya tena amsingizie Yesu kama mwalimu wake , angalia Paulo anakupoteza
Allah anasema kila Nafsi itaonja Mauti. Halafu wafuasi wake wanasema Issa hakufa..Ahahaahahaaahaahahhaah bado unataka mteremko tu, kila mtu atalipwa kwa alitendelo, wacha kumtia mwenzako laana kwa kupenda mteremko
Matthew 11:27Ni sheri ipi ya hesabu
1+1+1=1 ahahahahahahahahahhah unaamini hata kisichokuwepo hii hesabu ata mwanao atakwambia baba huo ni uongo ila kwa vile umeamua kuamini umekubali 1+1+1=3 ahahahahahahahhahahahah imani hizi jamani
John 14:13Unakurubuka ndio nini wewe? Ahahahahahahahahhahhaajajhahahahaja uliambiwa na nani binadamu mwenzako umfanye Mungu siujinga wako mwenyewe ahahahahaahahahahhajajaja
Yesu ni Elimu Tosha. Mtaalamu wa filosofia.[emoji23] [emoji23] [emoji123]Ahahahahahahahahahahahah kama hawa wanafunzi wa Yesu
MATENDO YA MITUME 4:13
";Basi walipoona ujasiri wa petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na ELIMU, wasio na MAARIFA , wakastaajabu , wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na yesu";
ahahahhaahahhaha njoo utangaze na hili ,yaani wewe lazima uache kumfanya Yesu(kiumbe kama Wewe) eti Mungu , huu ni uhuni uliovuka mipaka
John 14:6-7,13Ahahahaahahahhaahahahha andaa koo vizuri mkaimbe na kuabudu peponi ahahhaaahhahaahaha nyie jiteseni tu huo ndio ujira wenu
Sasa ndio umedhihirisha kuwa hujui kitu. Kwa taarifa yako hizo nchi zote ulizotaja zilisilimishwa kwa mapanga baada ya kutekwa na kuwekwa chini ya utawala wa waislam na sio hizo tuu hata Iraq,Iran,Pakistan nk.Ndio unaimbie wewe? Na leo uislam ndio dini inayisambaa kwa kasi amarica na ulaya na kule wanatumia nini? Hadith zenu za historia et uislam ulinea kwa upanga hazinaga mashiko mtume alipigana vita dhid ya makafari kama alivyopigana Daud,joshua na wengine wengi na baada ya hapo hamna kilichoendelea ila nafahamu kwenye historia hata Pope aliomba radhi kuhusu vita vya msalaba Crusade waliuwawa watu kisa sio wakristo...lakin tafute mahali uislam ukiingia kwa upanga julazikisha watu wawe waislam , uturuki,egypt,tunisia na morroco zote zilikuwa nchi za kikristo je zilibadilishwa kwa upanga
Sura ya 5:101 mbona iko wazi ";na mkiyauliza inapoteremshwa Quran MTABAINISHIWA"" sasa hapo kipi ujaelewa wakati Mungu amesema msiulize kwasababu Quran ikishuka itabainisha kipi halali kipi haramu kwanini tuangaike kuuliza, kiufupi hoja yako hakuna hapo,
Kuhusu al an'aam :68 mbona ipo wazi hiyo ni tahadhari anayopewa mtume kuhusu watu kama ww mnaoingilia aya Mungu anasema Yesu HAWAKUMSULUBU wewe umekomaa wamemsulubu ukiambiwa ni mayesu wangapi walisulubiwa unasema mmoja, ukiulizwa ni yesu yupi alisulubiwa saa tatu nani yesu yupi alisulubiwa saa sita , unabaki kupuyanga ahhahahaahahah
Sura ya 5:101 mbona iko wazi ";na mkiyauliza inapoteremshwa Quran MTABAINISHIWA"" sasa hapo kipi ujaelewa wakati Mungu amesema msiulize kwasababu Quran ikishuka itabainisha kipi halali kipi haramu kwanini tuangaike kuuliza, kiufupi hoja yako hakuna hapo,
AYA INAANZA NA KUWAONYA WAISILAMU [emoji117] MSIULIZE MSIULIZE MSIULIZE...MAMBO AMBAYO MKIDHIHIRISHIWA "YATAKYCHUKIZENI" KWA HIYO HAYA YOOTE MNAYOULIZA KOLOANI HAIKUSHUKA [emoji47] [emoji12] SI NDIO [emoji15] [emoji47]
Kuhusu al an'aam :68 mbona ipo wazi hiyo ni tahadhari anayopewa mtume kuhusu watu kama ww mnaoingilia aya Mungu anasema Yesu HAWAKUMSULUBU wewe umekomaa wamemsulubu ukiambiwa ni mayesu wangapi walisulubiwa unasema mmoja, ukiulizwa ni yesu yupi alisulubiwa saa tatu nani yesu yupi alisulubiwa saa sita , unabaki kupuyanga ahhahahaahahah