Mbona na Mimi nakbaliana na baba kassim kwamba hawakumsulubu ilaha alikusudiwa kukatwa kichwa na kumuua [emoji4] Ndipo baba kassim anapo wahadithia kwamba hawakumkata wala kumuua, alikimbiziwa Misri [emoji106] kwa herodi aliamuru watoto woote wachanga wakatwe vichwa! Kwa nini alitoa Amri hiyo? Baada ya kusikia mfalme wa kuchukua ufalme wake kazaliwa hivyo alikusudia kumkata! Alishindwa kumpata Yesu sababu watoto wadogo kushahabiana! Hivyo aliamuru watoto wadogo woote wakatwe vichwa Na si kusulubiwa Ndipo baba kasimu alipo sema walibabaishiwa na hawakuwa na hakika kama wamemuua Yesu.. kuthibitisha alicho simuliwa baba kasimu kwamba ni kisa cha UTOTONI, Dalili na ushahihidi ni ile aya inayoanza ya 156 na aya inayofuatia ya 157 kamalizia Kabisa na shaka [emoji106]
View attachment 866883View attachment 866884 maswali ninayo jiuliza aliyepokea ndivyo sivyo ni baba yake kasimu, au maisilamu...uwezekano wa baba kassim kupokea ndivyo sivyo uwezekano upo manake hata jiburilu kuna wakati alimkemea kwamba hili si agizo langu [emoji117]
View attachment 866921 hata allah naye alimkemea kwa uongo [emoji117]
View attachment 866986 au kiti akimvaa [emoji117]
View attachment 866993View attachment 866994 au Alipologwa na Yahudi Laabid
View attachment 866997 au Alipokuwa simulizi za vijiweni wakati Wakristo na Wayahudi wana simuliwa kisa cha UTOTONI cha Yesu yeye akajua wanaelezea UKUBWANI [emoji12] yoote hayo yoote kwa mtu asie jua kusoma yanawezekana [emoji117]