Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Saaafi wanapiga kelele nchi ya AHADI bila kujua damu zimemwagika pale ndio kupatikana , wamebaki kukaririshana tu uislamu umepatikana kwa panga ahahahhahaahaqhhqhq

sawa Hata Mwenyezi Alisema [emoji117] na Ushahidi kwamba uisilamu ni deen ya shetani [emoji106] TUNASHUHUDIA Leo toka uisilamu uingie ulaya kwa sana UOVU umeongezeka kwa kasi ya ajabu as if kaumu luti...watu wanafanyia kazi kwa VITENDO [emoji117] wana fumuana mikunjo kwa kulana mivutu kuliko Umma Wa luti, wanauana kama wanyama, wanaovutuana na wanyama kama ilivyo elekezwa ktk Ilimu islam [emoji117] ........najua mlivyo mapofu mtabishia [emoji4]
 
Una ulaumu uislamu kwa madhambi ya ulaya ahahahaahhahaha PAPA katoka juzi kwenye nchi ya ireland yenye wakatoliki wengi zaidi ya 70% na wameruhusu ushoga? bila aibu unasingizia waislamu kwa uovu wa ulaya ahahhahaahhaa kweli umeishiwa cha kusema
 
Hiyo hadith unayosema ya mtume umeitoa kitabu gani au nihadithi mliochorea dr nakir ahahaaahaahahaha leta jina la kitabu ulipotoa hadithi hiyo na namba ya hadithi hiyo ahahahahaahahah bureee kabisa ww
 
Ahahahahahahahahah mjomba Quran 53:2. Ni ufunuo utokao kwa Mungu, kilichomo humo katika Quran hakuna neno la Mohammad hata moja hicho unachotumia kujipa moyo unajidanganya Mungu anaposema HAWAKUMSULUBU wala AWAKUMUUA ujue hivyo 4:157-158 ndio mwiba mchungu huyo ni Mungu sio Mohammad ahahahahqqhhahh eti Mohammad alikuwa na shetani unaleta hadith za Vatican hapa , mjomba bingwa la KUKUFURU ni Paulo uliemkumbatia
 
Umeambiwa hata joshua alipigana vita sasa ajabu ya vita hiko wapi?
 
John 14:6-7,13
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Taratibu unaanza kuelewa kuwa Baba ndio boss , na mtaelewa wote , kuwa baba ni mkuu kuliko yesu na haya ndio mafundisho ya yesu , kuwa ametumwa na baba, siku zote mtumwa awezi kuwa sawa na mtumaji
 
John 14:13
Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe NDANI YA MWANA.[emoji123]
Ahahahahhabahahhahaha ndio unataka kuongea kitu gani, ndio maana Baba ameificha siku ya mwisho hata yesu aijui ili kukuonyesha nani ni boss, lakini hamuelewi kabisaa Mungu gani haijui siku ya mwisho ni lini?
 
Taratibu unaanza kuelewa kuwa Baba ndio boss , na mtaelewa wote , kuwa baba ni mkuu kuliko yesu na haya ndio mafundisho ya yesu , kuwa ametumwa na baba, siku zote mtumwa awezi kuwa sawa na mtumaji
Nilitegemea Uelewe kua Bila Yesu Kristo hutaiona Mbingu.

Na hapa ujue Mohammad ameangamia tayari. Kwakua hakumkubali Yesu ili aokolewe.

Akajifanya na yeye Nabii kwasababu ya Tamaa ya Mali na wanawake.

Akawadanganya watu wake kua wapigane kwa ujasiri hadi wafe. Eti kuna mabikira kule mbinguni.
So Bad!.
How Melancholic is this?.
 
Umejifanya mwamba wa hesabu ukaleta simultaneous equation sasa 1+1+1=1 imekushinda unajua wazi ata mwanao atakwambia baba huu ni uongo, umeamia kwa baba , umetoa maelezo Wewe lakini Yesu alishakwambia baba ni mkuu kuliko mimi(yohana 14:28) , hii yote unaangaika kwasababu icho cha kumlazimisha Yesu uungu ajawai kukufundisha
 
Mbona iko wazi yesu kwa wana wa Israel nyie wengine ni kiherehere pamoja na kuitwa mbwa bado mnajipendekeza? , kwa hiyo amri mbona iko wazi kwa wana wa Israel
 
Allah anasema kila Nafsi itaonja Mauti. Halafu wafuasi wake wanasema Issa hakufa..
Ahahahhahahahhahaha ndio kila nafsi itaonja umauti , na isa atakufa mbona lakini mpaka aje amalizie kiporo chake, aje avunje misalaba na kuondoa uzushi(kuwa yeye ni Mungu).
 
Huku ndio tunaita kujitoa akili , kama yuda amefanya jambo baya kumsaliti yesu iweje matokeo ya jambo lile la kumsaliti yesu nyie mnalifurahi kuwa mmeokolewa nalo?ahahahahahahahahahahahhahahahahah mnatakiwa mumshukuru na kumpongeza Yuda na shetani , bila hao wawili wewe mkristo hauna uokovu
 
Hii simulateneous equation nilipatia. Ni wewe tu hauelewi.


Data Given;-

-Baba
-Mwana
-Roho Mtakatifu

Formular;
MUNGU = 1

Turudi kwenye Swali.

If
Baba=1
Mwana=1
Roho Mtakatifu=1

If
Baba = MUNGU =1.



Na apply formular
[emoji116] [emoji116]

Then
1+1+1=1[emoji736]

John 1:1-2
[1]
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
[2]
Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
 
Paulo Yupo tu. Hata Ukimkataa. Amejaa ndani ya Bibilia.
Ahahahahahahahahahahhahah mtu aliekuja miaka 100 baada ya yesu nae anakuwa sehemu ya biblia , haya ni matatizo yenu , sisi tunatajiwa Injili kama kitabu alichopewa masihi , hayo mambo ya waraka kwa wagalatia , sijui wakorintho mtamueleza Mungu mmeyatoa wap?
 
Umetumia Elimination au substitution method, halafu equation ni ipi? nakusubir
 
Umetumia Elimination au substitution method, halafu equation ni ipi? nakusubir
Mambo ambayo Quran na allah
Wameekua Ikiwadanganya waumini wake kuhusu Ukristo:-

1. Wakristo wanaamini katika Miungu 3.[emoji777]
2. Utatu una composed Bikira Maria[emoji777] .

[emoji115] [emoji115] Na bado wanasema Quran imeshushwa.


Lakini Bibilia inasema wazi kua[emoji116] [emoji116]

John 1:14
Naye NENO alifanyika MWILI, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu KAMA wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[emoji115] hili ndio Jambo pekee ambalo Quran inakubaliana nalo100%
 
A haahahhaahahahahahaahahh kule kwenye mahesabu ni pagumu sana hata siku moja hakuna sheria ya hesabu itakayo tetea 1+1+1=1 simultaneous equation inakukataa kweupeeeeeee tena bila kukuonea aibu, ata mwanao nyumban ukimpelekea hiyo hesabu atakwambia baba wew ni muongo,
Hiyo YOHANA 1:14 ni mafundisho ya nani? Yesu kasema mjifunze kwake kuna mahali popote alikufundisha huo uzushi?
 
Una ulaumu uislamu kwa madhambi ya ulaya ahahahaahhahaha PAPA katoka juzi kwenye nchi ya ireland yenye wakatoliki wengi zaidi ya 70% na wameruhusu ushoga? bila aibu unasingizia waislamu kwa uovu wa ulaya ahahhahaahhaa kweli umeishiwa cha kusema
Kwani Mimi [emoji15] [emoji47] nyinyi ndio mliosema ulaya wanasilimu na kuupokea uislamu kwa sana [emoji4] sijawakatalia ni kweli [emoji106] na Dalili ya kuingia uislamu kwa WINGI ulaya ni uovu kuongezeka yaani wengi wameivua Roho ya Yesu na kuivaa roho ya uovu ya baba fatuūū [emoji106] au daudi huoni [emoji47] [emoji4]
 
Unashangaa alikuja miaka.100 huyu Wa miaka.500 hushangai [emoji12] mkiambiwa mwalimu wenu pofu na wewe pofu sawa Kabisa [emoji4] uwe unaangalia mando lako kabla ya ku-comment daudi [emoji38] [emoji38]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…