Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
KWA IDHINI "; unasema nimeweka mimi ahahhhahahha ngoja tukufundishe
QURAN 3:49
"; Na ni mtume kwa wana wa Israili kuwaambia; Mimi nimekujieni na ishara kutoka kwa Mola mlezi wenu,ya kwamba nakuundieni kwa udongo kama sura ya ndege, kisha nampuliza anakuwa ndege kwa IDHINI YA MWENYEZI MUNGU.

ahahahaahahahaahaa ukija hapa uwe una uhakika usibahatishe aya njoo kwenye biblia yako msikie Yesu anasemaje
YOHANA 5:30
"; Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe ; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka";

Mwenye macho na aone Yesu hatafuti mapenzi yake, bali anatafuta mapenzi ya baba ahahahaahhahhahahaha
 
Sijaona tatizo hapo. Pope Francis yupo vizuri sana.
 
NA HAWA PIA WAITE WAUNGU KWANI PIA WALIFUFUA


1. Elisha alifufua mtoto aliyefariki. (2 Wafalme 4:35).

(2) Maiti alifufuka kwa kuguswa na mifupa ya Elisha. (2 Wafalme 13:21).

3. Ezekiel alifufua jeshi kubwa. (Ezekiel 37:10).
Yesu aliumba Ndege.
Hivi Unajua maana ya Uumbaji wewe?.
 
Unaweka vitu havihusiani na Imani. Haya mambo hata kwa Mashekh yapo. Hata wasio na dini vilevile. Na Mange kimambi ni shahidi. So Acha ujuha.


WENGINE HAWAONGOZWI NA ROHO MTAKATIFU , MBONA UNASAHAU HARAKA
 
Lete aya kutoka biblia yesu aliumba ndege
In Bible, We don't have childish tales.

But i will give you this for you to ponder

John 11:25
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo UFUFUO, NA UZIMA . Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;
 
Unaweka vitu havihusiani na Imani. Haya mambo hata kwa Mashekh yapo. Hata wasio na dini vilevile. Na Mange kimambi ni shahidi. So Acha ujuha.

Lete aya kutoka biblia yesu aliumba ndege,

Unajifanya hukuona swali ????
 
In Bible, We don't have childish tales.

But i will give you this for you to ponder

John 11:25
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo UFUFUO, NA UZIMA . Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;


Kumbe kuumba ndege ulivyosema ulikuwa unadanganya ??
 
WENGINE HAWAONGOZWI NA ROHO MTAKATIFU , MBONA UNASAHAU HARAKA
Kwakua haujui..

UKRISTO NI ZAIDI YA KUA NA DINI ama DHEHEBU.

Matthew 7:21
SI KILA MTU ANIAMBIAYE, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; BALI NI YEYE AFANYAYE mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
 
In Bible, We don't have childish tales.

But i will give you this for you to ponder

John 11:25
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo UFUFUO, NA UZIMA . Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;



1 Wakorintho 15.15

Juu ya kuwa Paulo anaambiwa ya kuwa akiamini kuwa Masihi (yaani Kristo) na Mwenyezi Mungu ni kitu kimoja hapa anasema:

"Tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo."

Ikiwa Mungu kamfufua Kristo, hawawezi kuwa wote wawili hao ni mtu mmoja.

Mmoja alikuwa ni mtenda, mfufuaji, na wa pili alikuwa ni mtendwa, mfufuliwa.

Kama Kristo ni Mungu mwenye uwezo wa kufufua basi maelekeo ni kusema: "Kristo kajifufua", sio kafufuliwa.

Mwenye kufufuliwa ni mfu asiyejiweza kitu.
 
Kwakua haujui..

UKRISTO NI ZAIDI YA KUA NA DINI ama DHEHEBU.

Matthew 7:21
SI KILA MTU ANIAMBIAYE, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; BALI NI YEYE AFANYAYE mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.


MBONA UNAJARIBU KUMKIMBIA HUYO ANAYEWAONGOZA ; BOSS ROHO MTAKATIFU ???

BY THE WAY ; HAO PIA WAMEJIPA MAMLAKA YA KUSAMEHE DHAMBI
 
Kwakua haujui..

UKRISTO NI ZAIDI YA KUA NA DINI ama DHEHEBU.

Matthew 7:21
SI KILA MTU ANIAMBIAYE, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; BALI NI YEYE AFANYAYE mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.


UKRISTO NI ZAIDI YA DINI ; MSIKILIZE POPO WAKO ANASEMA NINI

 
In Bible, We don't have childish tales.

But i will give you this for you to ponder

John 11:25
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo UFUFUO, NA UZIMA . Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;


Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha? Mathayo 27.46

KASAHAU KUWA YEYE NI UFUFUO ANAPIGA KELELE ZA NINI ??

hapa tujiulize: Yesu akimlilia Mungu gani hapo msalabani ikiwa naye mwenyewe ni Mungu?
 
WALAWI 11:8
"; Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu";

Ahahaahaahaahahahhahahaa endelea na uroho wako ahahaahhaahaahaahaaah

Wanao Ambiwa Hawa hapa [emoji117] nyinyi waislamu mmeruhusiwa kula hata mzoga [emoji117] kama unabishia lete ushahidi na ukiuleta kama ulivyo leta hiyo lawi 11:8 tukupuuzie [emoji53] wee tumesha kupuuza ni mzushi na muongo huna ulijualo ilaha dhana tu [emoji15] [emoji12]
 
Utaratibu upo hata ukiwa imamu utatoka kwa utaratibu maalum, uislamu umekamilika kijana unataratibu kabisaa, ukijamba kachambe uchafu uku hatuitaji kabisaaaa

umeukamilisha wewe [emoji350] [emoji350] ona hii kafir kubwa wee [emoji53] [emoji12]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…