masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Ahahahaahahahahahahahahahhaahhaha wacha bange hayo maneno alisema Mungu huko kwa kina Adamu bustanini, huko ata mtu na dada yake walikuwa WANAOANA , alipokuja Musa akapewa Kipi kinafaa kuliwa kipi akifai kuliwa na hata ukila itakuwa ni uroho na ulafi wakoMUNGU MWENYEWE KATAMKA [emoji117] View attachment 889911 YESU KAJA KUKAMILISHA HAPA [emoji117] View attachment 889921View attachment 889933View attachment 889936View attachment 889938
MAMBO YA WALAWI 11:8
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu";
ahahahhahahahhahahhhahaa hata Yesu alipokuja akula nguruwe wala hakukufundisha wewe kula nguruwe unachofanya ni kuunga unga maneno , swali liko pale pale leta AMRI ya wewe na wenzao kula nguruwe kama mimi nilivyoleta amri ya kukataza ahahahahaaahahahaahhaahah