Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Huko HAWEZI kuogelea [emoji4] ilaha Mimi kila tawi atakalo rukia namfuata huko huko [emoji53]
Ahahahahahahaahahaahahjajajjajajajaa tutakuchapa popote ulipo mbwa ukimjua jina hakupi tabu ahahahaaahahaajaajajaja
 
Ahahahahahahahahahahhahaha nenda kasome swala ya nabii kijana ahahahaaahaahahaaaj hakuna UDHU hapo ahahahahahahahaahajaajja
Nimekuuliza allah anae msalia baba kassim na nyinyi ni ukafiri [emoji350] [emoji344] unaleta mambo ya udhu Ambao ni utaratibu Wa kabla ya kuswali [emoji4] sasa kama allah anaswali bila udhu Tangaza humu [emoji15] [emoji53]
 
Nimekuuliza allah anae msalia baba kassim na nyinyi ni ukafiri [emoji350] [emoji344] unaleta mambo ya udhu Ambao ni utaratibu Wa kabla ya kuswali [emoji4] sasa kama allah anaswali bila udhu Tangaza humu [emoji15] [emoji53]
Mbona unalia lia nimekuuliza swala ya kumswalia mtume unaijua ? ahahahaaahajajajajauiaiuaia kama unaijua njoo nayo hapa ahahahaajquaaua
 
Waislam wa leo wanajua kuliko Muhammad and other Big Abduls used to walk around with him.
Na hawawezi kujadili mada moja ikaisha, utawaona wanarukia mada tofauti tofauti utadhani wehu!
Mada ilishaisha hii ndio maana mtoa mada aliingia mitini hatuwezi kuwa tunarudia jambo moja kama matangazo ya vifo, vipo vingi vya kujadili kama ubavu unao karibu kama auna ubavu endelea kuwa msomaji
 

Kukamilika kwa koloani ndio kihivyo nyinyi mnao dengua kula leteni Ushahidi kama nyama ya hayu [emoji117] nimepigwa ban [emoji53] sie tusio na Ushahidi TWALA ati [emoji39]
 
Mwambie arudi kwenye mjadala wa jua na Muddy Water. huko kwengine tutafika tu. msikilizishe hiyo clip hapo.
Wewe unamuona mtoa mada yupo humu , kaingia mitini anasoma QURAN kama gazeti la shigongo majibu yote tulishayatoa na yameeleweka Mungu ajasema Jua linazama kwenye matope ila amehadithia vile ambavyo dhul Qarnaini aliona kwa upeo wa macho yake, sasa jambo dogo kama hili tujadili week nzima alaaaaaah
 
Kukamilika kwa koloani ndio kihivyo nyinyi mnao dengua kula leteni Ushahidi kama nyama ya hayu [emoji117] View attachment 892098 nimepigwa ban [emoji53] sie tusio na Ushahidi TWALA ati [emoji39]
Ilo linaloning'inia ni kitu gani ahahahahahaahaha uroho ni jambo baya sana
QURAN 6:145
" Sema ; sioni katika yale niliyofunuliwa mimi kitu kilicho haramishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika, au nyama ya NGURUWE , kwani hiyo ni uchafu ",
Ahaahhaaahhaajhaajaj hatuhitaji ushahidi sisi jambo la Mungu ni TUMESIKIA na TUMETII ahahahaaajaauaaaua ushahidi wanini tena wakati QURAN imeweka wazi , endelea na uroho wako ahahahahahahahaahahajajhahahah huo mzigo unao ning'inia kama kichwa chako
 
Jua likichwea upande huu, linakuchwa upande mwingine.... Alifikiri jua linazama baharini... hahahahahahha SWA aliwadanganya watu sana. Elimu Elimu Elimu...

. tatizo hakuwa na ELIMU ELIMU ELIMU
Hili jambo tumeshalijibu sana mnatuchosha vichwa maji nyie, Mungu ajasema jua linazama kwenye matope ,ila anahadithia kile ambacho Dhul Qarnaini alikiona kwa upeo wa macho yake mbona hii mada ni nyepesi sana , ndio maana mnaambiwa nyoka anakula vumbi maana ni wazito sana kuelewa
MWANZO 3:14
"; Bwana Mungu akamwambia nyoka, kwasababu umeyafanya hayo , umelaaniwa wewe kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda , na MAVUMBI UTAKULA siku zote za maisha yako";

ahahahhaahahjaaja haya tuambie ELIMU gani umesoma kuwa nyoka ANAKULA vumbi Ahahaahaahaahjjajaj
 

Hao unao Amini sio dhaifu woote wamekufa [emoji53] [emoji12]
 

[emoji117]
 
Ahahahahhhaahahaaha nimekuuliza swali Mungu anaweza kuwa MWANAMKE ? ahahhhahahaahahahahua mbona unashindwa kujibu ili tujue huyo Mungu wako anafanya kila kitu atakacho? ahahahahahajaahajajahajaaau mbona rahisi tu
Muulize Mungu [emoji12] sisi Tunayahubiri kwa nguvu [emoji123] [emoji123] [emoji109] [emoji106] Yale Aliyo Tufunulia na yaliyo sirini bado YAPO sirini kwake
 
Ahahahahahahaahahaahahjajajjajajajaa tutakuchapa popote ulipo mbwa ukimjua jina hakupi tabu ahahahaaahahaajaajajaja
Si jilipue au tukukute chooni umejinyonga team mkamua ngama apate tenda na uwahi jehannam kuliko kuturushia mate humu [emoji15] [emoji38]
 
Mbona unalia lia nimekuuliza swala ya kumswalia mtume unaijua ? ahahahaaahajajajajauiaiuaia kama unaijua njoo nayo hapa ahahahaajquaaua
allah anamsalia au hamswalii [emoji350] [emoji344] unauliza ujinga [emoji12]
 
Unakuwa kila siku humu afu unauliza [emoji15] [emoji53]
 


Moses aliambiwa kua Kuna siku Masiha atakuja.Kwani wakati wake, haikua ndio mwisho wa kila jambo.

Ujio wa Yesu Kristo. Ndio Mungu katika WAKATI WAKE. YESU ALIPOZALIWA ALIPELEKEWA ZAWADI YA UVUMBA. HII HUA NI KWAJILI YA MUNGU TU


Na tunaona kua Masiha alipokuja akawaambia wazi kua NABII MKUU WA AGANO LA KALE KATIKA WALIOZALIWA NA MWANAMKE NI YOHANE MBATIZAJI PEKE YAKE. Hakuna kama yeye.


YESU AMELETA UFALME WA MUNGU. UFALME WA MUNGU UMEKUJA Kutenganisha kati ya ZILE FALME ZA WANADAMU WA KALE na UFALME MTUKUFU WA KIMUNGU ambao ni wa Milele.

John 18:36
Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu,WATUMISHI WANGU WANGENIPIGANIA, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.

Maandiko yanasema waziwazi Walitaka kumfanya Yesu mfalme akajitenga nao. Na hata Petro alitaka kumpigania asitiwe mikononi mwa askari. Lakini akakatazwa na Yesu mwenyewe.


Utaona kua Vita ya Yesu ilikua dhidi ya Shetani na majini yake yote katika Ulimwengu wa Roho.

Yesu anajua wanadamu wanatumika kama 'Pawn' na majini.

Na Mungu alimuumba Mwanadamu kwa sura na mfano wa wake. Akampulizia pumzi ya uhai akampa Nguvu ya uumbaji kupitia Procreation.
Jehanam ipo kwaajili ya Shetani na Malaika zake, Majini, mapepo.


ITAKUA NI AIBU SANA, BAADA YA YESU KUTUKOMBOA KWA DAMU YAKE PALE MSALABANI. HALAFU AJE MTU MWINGINE AJIITE 'NABII' KISHA AANZE KUUA WATU KWA KISINGIZIO CHA KUENEZA DINI.



TAFAKARI KWA KINA HIZI TAURATI CHACHE HAPA CHINI KATIKA UTIMILIFU WAKE.

Matthew 5:
5. Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi.
9. Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
10. Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
14. Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.
16. Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona MATENDO YENU MEMA, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

SHERIA NA MANABII;

24. iache sadaka yako mbele ya madhabahu, uende zako, upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe sadaka yako.
38. Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;
39. Lakini mimi nawaambia, MSISSHINDANE NA MTU MWOVU; lakini mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili.
44. lakini mimi nawaambia, WAPENDENI ADUI ZENU, WAOMBEENI WANAOWAUDHI,
45. ili mpate kuwa WANA WA BABA YENU ALIYE MBINGUNI; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
48. Basi ninyi mtakuwa WAKAMILIFU, KAMA Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.

-------------
 
Soooorry kwa kuupoteza muda wako wote na hujali kumwabudu Shoga Cesare Borgia , Wataliana wamewatia mkenge , Freemasson ni hatari , wamemgeuza Shoga Cesare kuwa Yesu

..Breast feeding... Ho ho ho
 

Kumbe koloani ni maneno ya dhul qarnaini [emoji122] [emoji122] [emoji106]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…