Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ahahahahaahahaahaha wakamvua nguo akabaki na chupi anatetemeka kama kuku Mwenye kideli na makofi juu ahahahahajajjaja hakika vichekesho hivi Piga *102#
 
Ila hawezi kujimithilisha ktk Umbile la KIBINADAMU eeh [emoji15] [emoji47] [emoji12]
KUAPA ni mamlaka, umbile la kibinadamu ni udhalili wa kishenzi kabisa, ndio maana mwisho mnasema Mungu kapigwa MAKONDE Ahahahahhhahjajahajajajjajja hamna adabu sisimizi nyie Ahahhahahaahaaahah
 
Kamaliza kweli hatma yenu hii [emoji117] View attachment 917982 [emoji91]
Huna ujualo Ahahhahahaahaaahah
QURAN 40:40
" Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo uwovu wake, na anaye tenda wema , akiwa mwanamume au mwanamke , naye ni muumini ,basi hao wataingia peponi, waruzukiwe humo bila ya hesabu",

Ahahahahaahahaahaha hiyo ndio kanuni bila ya hesabu ni kula maisha tu ahahahahhqhhahah
 
Ahahahahaahahaahaha wakamvua nguo akabaki na chupi anatetemeka kama kuku Mwenye kideli na makofi juu ahahahahajajjaja hakika vichekesho hivi Piga *102#

Unashangaa NINI na alah kasema [emoji117] umezahau kisa çha Taifu hadi mzee kakalia mjengo..
 
Unashangaa NINI na alah kasema [emoji117] View attachment 918318 umezahau kisa çha Taifu hadi mzee kakalia mjengo..
Ahahahahaahahaahaha ndio maana shetani akamtia Ayubu UKURUTU kuanzia kwenye miguu hadi kichwani anajikuna tu kwa ruhusa ya Bwana Mungu, ahhhhhhhhhhhh kama asingelitaka katu shetani asinge msogelea Ayubu lakini kwa vile alitaka wakaingia Deal ( shetani na Mungu) ahhahahahahhhajj Ahahahahaaaahqa
 

Tutamwaminije allah, wakati ni yeye mwenyewe amekwisha amua kutupoteza, na allah yuko wise sana tu.
Ameamua "kutulidi astrei." Na allah pia amewaonya ninyi mlioamini msituongoze njia ya wokovu. Msijeharibu Maongozi yake. Allah yuko wise.

Who we are to deny allah misleds?
P'lease vaa viatu vyetu.

Mlitakiwa mumsikilize allah kuliko kutulaumu sisi...
 
Ahahahahaahahaahaha maswali ya kitoto kabisa huyu , ni hivi Allah alimchagua Mariam kwasababu alipenda mwenyewe kumchagua , wala hakumpaisha mama yake mtume kwasababu hakutaka kufanya hivyo. Allah anapotaka jambo hulifanya bila shuruti yeyote , yaani mfano ni sawa na kukuuliza wewe kwanini hukuumbwa mwanamke? au ulimuhonga Mungu ? jibu ni rahisi Mungu hufanya atakavyo sio wewe utakavyo ahahahaah mwenyewe unaona umeuliza swali Ahahhahahaahaaahah
 
Wayahudi walimtazama Mungu katika akili zao za kibinadamu.

Kristo ndiye aliyemfunua..
 
Tutamwaminije allah, wakati ni yeye mwenyewe amekwisha amua tupoteza, na allah yuko wise sana tu.
Ameamua "kutulidi astrei."

Who we are to deny allah misleds?
P'lease vaa viatu vyetu.

Mlitakiwa mumsikilize allah kuliko kutulaumu humu ndani..
Mfano wake ni huu
KUTOKA 4:21
"Bwana akamwambia Musa, utakaporudi misri , angalia ukazifanye mbele ya FARAO zile ajabu zote nilizozifanya mkononi mwako; lakini NITAUFANYA mgumu moyo wake, naye hatawapa ruhusa hao watu waende zao";
MASWALI NI HAYA
1. Kwanini Mungu haufanye mgumu moyo wa FARAO?

2. Musa alijua wazi FARAO moyo wake umefanywa mgumu kwanini aendelee kumwambia FARAO hawaachie waisrael waende zao, huku akijua kabisa FARAO hawezi waachia kwasababu moyo wake Mungu kaufanya mgumu?

Ahahahahaahahaahaha nakunywa kahawa nasubir majibu ahahhaahhaahahahah Ahahhahahaahaaahah
 
Wayahudi walimtazama Mungu katika akili zao za kibinadamu.

Kristo ndiye aliyemfunua..
Nimeshakwambia hapo Musa anaongea na Mungu .anapewa maelekezo wewe unaleta porojo za wayahudi , kwani hilo andiko alijatimia ? si kweli FARAO alikuwa na moyo mgumu ahahahhahaahaaa ahahhaahhaahahahah unaleta porojo hapa
 
"I think" , your not sure Ahahahahaahahaahaha Ahahahahaahahaahaha
Ni allah ametufanya tuamini kua Yesu aliuwawa msalabani. Sisi ni nani hata Tukatae MAONGO-zi ya allah?. Nasi ni wenye kunyenyekea hata kwenye UONGO-ziii wake, kwakua yeye ni wise sana na anajua vyote..

Ikiwa hatutaamini, allah ataonekana ni dhaifu mbele zenu, ya kua Ameshindwa kutudanganya mpaka tukaamini.
Acha tu tuamini... Sieti eehh?..

Ha ha ha ha
 
Kila siku unaleta porojo za Taqiyah ahahhaahhaahahahah huyo kijana kaacha ajira yake huyo alikuwa anasamehe dhambi ,kaona ni uwendawazimu mtupu , sasa mwenye akili timamu anawezaje kusema eti Mungu alipigwa hili binadamu aokolewe huu ni ubahau , shetani wa Mungu, binadamu wa Mungu, moto wa Mungu , Ahahahahaahahaahaha hii inabidi uwe na matatizo ya akili uamini huu ujinga
 
Allah kabainisha njia mbili
1.ovu
2. Njema
Kisha akakupa akili kupambanua jambo , ndio maana utakwenda kuadhibiwa Ahahahahaahahahahaaa yaani unasema Yesu kafa umsingizie Allah, ahhhhhhhhhhhh Ahahahahaahahaahaha Allah amesema ajafa wala HAWAKUMSULUBU akili kichwani kwako Ahahahahaahahaahaha
 
Nimeshakwambia hapo Musa anaongea na Mungu .anapewa maelekezo wewe unaleta porojo za wayahudi , kwani hilo andiko alijatimia ? si kweli FARAO alikuwa na moyo mgumu ahahahhahaahaaa ahahhaahhaahahahah unaleta porojo hapa
Faraoh alikua na mamlaka kubwa sana. Alikua binadamu mwenye nguvu sana zamani hizo.
Alipoambiwa habari za Mungu wa WaIsrael kuhusu kuwaachia wana wa Israeli, hakuziamini kwakua alikua na kibri ya Mamlaka aliyonayo.

Na ni kwakua Mungu hakujidhihirisha kwake dhahiri. Hata alipoona signs mbalimbali alizitazama kama ishara ndogo ama pengine ni coincidence, Akazikataa akiamini anaweza kushindana na Mungu.

Hata wana wa Israeli walioziona hawakua wanaona ni Kazi ya Mungu moja kwa moja. Ndio maana ilifika nyakati wakaanza kuabudu Ndama wa dhahabu.

Kwakifupi hawana tofauti na binadamu wa leo.

Hata leo mnaambiwa kuhusu ukuu wa Yesu Kristo, hamuamini.

Hata mnapoona Ishara mbalimbali bado mnatafuta 'majority opinions' na kuamini kua Yesu hawezi. Mnaweza kuamini ni Yeye anawapa Mioyo migumu, lakini ni nyie wenyewe mmeshupaza shingo. Na upepo wa upotevu unawafuata.

Lakini nina uhakika wa 100%. Mmeona Kweli ila mmeamua kuamini kua ni majaribu tu. Kitakachowatoa kwenye tashwishwi ni nyie kuwa wanyenyekevu na kumuomba Mungu awape muongozo yeye mwenyewe.
Sisi tunaamini Mwanadamu hawezi kumjua Mungu, mpaka Mungu ajidhihirishw kwake yeye mwenyewe. Maneno elfu hayatoshi kukubadilisha. Ni Mungu tu ndiye anaweza. Sisi tunaweza kukuambia tu. Sasa ni wewe kufanyia kazi maelezo ili umjue Mungu wa kweli katika Kristo Yesu.
 
Umeishiwa hoja ahahahhahaahaaa kijana siku nyingine ujipange kweli kweli , sisi tunaisikiliza biblia sio wewe mmatumbi ,biblia ikisema ni Mungu jua hivyo ni Mungu, usituongezee maneno yako kwenye kitabu , unataka kumfundisha Musa alieongea na Mungu ahhahahahahhhajj bange mbaya sana
KUTOKA 4:21
"BWANA AKAMWAMBIA MUSA, utakaporudi Misri , angalia ukazifanye mbele ya FARAO zile ajabu zote nilizozitia mkononi mwako; lakini NITAUFANYA mgumu moyo wake,naye HATAWAPA ruhusu hao watu waende zao";

unatuletea porojo zako hapa sijui ni mtu Mwenye mamlaka ahahhaahhaahahahah , biblia inasema MOYO utafanywa mgumu , hivyo HATAWAPA ruhusu watu waende zao , sasa tukusikilize wewe mmatumbi au musa alieongea na Mungu? porojo peleka huko huko sio hapa
 

Haya ulioongea hapa ji unqur'anic, unislamic.

Allah amesema mwenyewe kua "bila sababu yoyote ya msingi" akiamua kumpoteza mtu ana mpoteza na yeye yuko na wise kuliko yeyote.
Akaonya ole wa walw watakaowarudisha kwenye mstari wale waliopotezwa na allah.
Hapa hakuna akili itakayoweza kushindana na uwezo wa Muumba.


Umesema mwenyewe Allah hakumsulubu. Lakini allah alitaka watu waaamini Yesu wamemsulubu. Unaanzaje kuwalaumu wanaoamini kua Yesu alisulubiwa?.

Je vipi kama ni allah anajaribu kukupoteza na wewe na sio hao?.
 
Hiyo ni Quran kabisa Mungu kabainisha njia mbili nzuri na mbaya ni jukumu lako wewe kuifata nzuri, Wapi Allah alikwambia uamini Yesu kasulubiwa ? Ahahahahhaah kuhusu Allah kumpoteza atakae ni kweli kabisa ili wengine wajifunze kwake ndio maana hata FARAO alifanywa mgumu moyo wake ili apotee aangamizwe wengine wajifunze ukubwa wa Mungu ahhahahahahhhajj
Rejea KUTOKA 4:21 ( unaiogopa kama ukimwi ) ahahhaahhaahahahah ahahahahahah
 
Ukiamua kuamini hivyo wewe amini kwa afya ya imani yako.
Lakini sisi tunaelewa mazingira Mungu lipi Mungu kasema literally.
Wengi mnasoma maandiko lakini hamuelewi.

Kupitia quran, Allah anatutaka wakristo tusome Gospel(Injili).

Lakini Gospels zote zimeeeleza kifo cha Yesu msalabani na kufufuka kwake.

Halafu allah anawaambia waislamu kua Yesu hakufa. Nanyi mnaamini. Sisi ni nani hata tukatae?.
Allah anawaambia atatufanya sisi tunaomfuata Kristo juu, dhidi ya wale msiomfuata Kristo.

Allah ameapa kuwapoteza anasema ni 1 ya 73 wataenda peponi lakini waliobali watakua kampani ya moto. Lakini hali haiko hivyo kwa wakristo na wayahudi.

Na quran imeletwa kwaajili yenu na allah mlezi wenu, nyinyi ambao hamkupokea mafunuo kabla na mmepewa hayo muyaamini.

Ndio maana nawasisitiza, wekeni hasira pembeni, Sikilizeni hata shuhuda kwanza za hao wanaohama kwenu. Wanahama kwasababu gani?. Kitman, taqiyah hazitasaidia.

 

Naheshimu Mungu kuweka njia mbili. Lakini,
Hapo nakushauri ukajitafakari wewe mwenyewe. Allah hajaweka condition ya kumdanganya mtu. Kama ni mungu kuweka njia. Basi Quran doesn't reasonate Me at all.

So naweza kusema sio Njia mbili kuu. Ni somethig else..


Allah Amesema atamdanganya ili ampoteze amtakaye bila kufafanua sababu zaidi. Bali amesema yeye anajua vyote na wise. Period.

Hii inamaanisha inategemea ameamkaje sikuhiyo.

Na ole umetolewa kwa mtu yule atalayemwelekeza njia sahihi, mtu yule aliyedanganywa na allah.
Ole wako.

Unayetaka tuamini katika quran, ole wako, ole wako. Lala uzitafakari ole hizi.

Na hii aya inashabihiana na ile inayosema hakuna muislamu anayekua na uhakika wa pepo. Fanya ufanyalo. Pepo ni vila atalavyoamua. Anaweza akaamua kumsamehe mtu muovu kabisa kisha akamrosti motoni mtu mwenye madhambi kidogo sana..

..Lala Tafakari ndugu.
Nyt nyt
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…