Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Kisla kisla umepatia inalia nyau nyau...[emoji4]
 
allah *anapo taka jambo* hulitenda bila shuruti [emoji123] Sasa hivi utabishia [emoji38] [emoji38] mkoje nyie maisilamu [emoji344] [emoji344]
 
Umeanza Mipasho yako.
Kama kila kanisa lingekua na tafsiri yake tungegawanyika zaidi ya sects 72.

Kristo ndiye anayetuunganisha kama mchungaji mmoja wa kondoo.

Yeye ndiye kichwa cha Kanisa. Hakuna myunani hakuna myahudi, hakuna mwafrika.

Umekula bangi na kunywa kojo la punda wa Ezekiel 23 :20??

Hivi wewe leo unaamini Yesu si Mungu kama wanavyosema Jehovah witness??
 

Yesu anamiliki nini hata aombe busu la Simeoni?? Na pale shetani alipomwambia amsujudie apewe miliki za dunia na mbinguni alisahau kumwambia shetani hivyo ni vyangu??
 
Yesu anamiliki nini hata aombe busu la Simeoni?? Na pale shetani alipomwambia amsujudie apewe miliki za dunia na mbinguni alisahau kumwambia shetani hivyo ni vyangu??
..Pointi ya msingi pale haikua Mali bali kusujudia.
 
Umekula bangi na kunywa kojo la punda wa Ezekiel 23 :20??

Hivi wewe leo unaamini Yesu si Mungu kama wanavyosema Jehovah witness??
Hivi ukiwa unawafundisha watoto wenu kuhusiana na Pepo ya allah. Hua Mnawaambia vitu gani?.
 
Na hii nayo umepatia..[emoji108] [emoji109] takbirrr...wee Fundi kumbe [emoji23] [emoji23]
Si ututangazie tu kama wafanyavyo wazee wa Kanisa kule Vatican
 
maswala ya kiimani yasichanganywe na itikadi au imani za kidini. Vinginevyo tutapotea kabisa.maana katika dini vitu vingine ni nadhari na havitakuja kuoatiwa ushahidi. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari moe kaisari
 
Gavana, The Baal Cults.


In order to understand the nature and character of Islam, one must look at Islam from a biblical point of view. Otherwise Islam remains an enigma, an unsolved puzzle.


We need to explore the similarities between the Baal cults of the Old Testament and modern Islam.

In the Old Testament, the followers of Baal were major opposers and challengers of Jehovah God and His people. Baal, meaning "master," "possessor" or "husband," was worshiped as a male god of the Phoenicians and Canaanites.


The worship of Baal was often connected with the goddess Ashtoreth (Judg. 2:13), the female counterpart. Baal was considered the sun god.

Characteristics of Baal worship can be seen in many of today's cults and false religions. Baal worship produces a spirit of hatred towards God's elect, a spirit of immorality, fear, bloodshed, division and war.
Throughout history Islam has proved to have a similar nature and character. Many rituals practiced within Islam are similar to those of Baal worship. In my opinion, the spirit that raised Baal worship in Phoenicia and Canaan, and later in Babylon, is the same spirit that raised Islam in Arabia.



According to the Encyclopedia of Religion, Allah is a preIslamic name corresponding to the Babylonian Bel (Baal). According to Middle East scholar E. M. Wherry, in preIslamic times both Allah-worship and Baal-worship of Baal involved the worship of the sun, the moon and the stars, which defines them as astral religions.
The crescent moon, which was the symbol of moon worship, is also the symbol of Islam.

It is printed on the flags of many Islamic countries and placed on top of minarets and mosques.



Many Muslims will argue that Allah is the same God that Christians and Jews worship. But by studying the Koran one will see the vast gap of character, nature and personality that exists between the God of the Bible and the Allah of the Koran.

It is not even necessary to be a Christian to see the immense differences Muslims will see the difference if they study both the Koran and the Bible. Pointing out the differences would be a waste of time and energy. I will not commit the treason of comparing Jesus with any other man or comparing Christianity with any other philosophy that has ever existed upon the face of this earth. Jesus is far above every name that is ever mentioned or will ever be named.

All I need to do is to show honestly what Islam teaches and practices. Then you will know what Islam is. Jesus said, "A tree is known by its fruit" (Matt. 12:33). A banana tree produces bananas, and a thorn bush produces thorns.

The fruit that Islam has produced throughout history will show its nature.
As we will see, the fruits of fear, terror and bloodshed have always characterized this religion.
 
Hapa ndio ninapokuwa na mashaka na uwezo wako wa kufikiri . Swali langu ni hili Taqiyyah ni fundisho la nani? natarajia utakuja na dalili za uhakika , narudia tena porojo hapa sio mahali pake ahahhaahhaahahahah Ahahhahahaahaaahah
 
Ahahahahaahahaahaha huyu mtu ni kituko haya ANDIKO ni hili
KUTOKA 4:21
"Bwana akamwambia Musa, utakaporudi Misri, angalia ukazifanye mbele ya FARAO zile ajabu zote, nilizozitia mkononi mwako; lakini NITAUFANYA mgumu moyo wake,naye HATAWAPA ruhusu hao WATU waende zao".

Ahahahahaahahaahaha iwe Pwagu au bi mkora , hili andiko Mungu anatoa maelekezo kwa Musa wewe mmatumbi unakataa kitu gani? Ahahahahhaah ahahaahahhahah
MASWALI YANGU
1. Kwanini Mungu haufanye Mgumu moyo wa firauni
2. Kwanin Musa aendelee kumwambia FARAO hawaache waisrael waende, wakati anafahamu kuwa FARAO hawezi kukubali, kwasababu Mungu kaufanya mgumu moyo wake?

Ahahahahaahahaahaha ukijibu hili swali mbona hakuna tatizo Ahahhahahahahah
 
Hapa ndio ninapokuwa na mashaka na uwezo wako wa kufikiri . Swali langu ni hili Taqiyyah ni fundisho la nani? natarajia utakuja na dalili za uhakika , narudia tena porojo hapa sio mahali pake ahahhaahhaahahahah Ahahhahahaahaaahah

Jibu hilo hapo [emoji117] [emoji53]
 
Hahaa,
Why Allah didn't mention to them who stole the CHUPI?
Imeandikwa wapi Yesu mtoto wa zinaa?
Kwani hawa waliomwambia Yesu ana mapepo unaweza nitajia majina yao
YOHANA 8:48
" Wayahudi wakajibu wakamwambia ,je sisi hatusemi vema ya kwamba wewe U msamaria , nawe una PEPO?

Ahahahahaahahaahaha hata hapa Yesu akuangaika na majina ya watu alichofanya ni kukanusha tu ,kuwa sivyo basi, ndio maana nilikwambia amri inakuja mara moja kwa ajili ya wote hakuna haja ya kutaja majina. haya msikilize Yesu akilalamika kavunjiwa heshima
YOHANA 8:49
" Yesu akajibu, mimi sina pepo ; lakini mimi namheshimu Baba yangu, na ninyi MWANIVUNJIA HESHIMA YANGU",

Ahahahahaahahaahaha bakia hapo ,majina majina ,muhimu ni kukanusha jambo sio majina
KUHUSU YESU kuitwa mtoto wa zinaa QURAN imejibu
QURAN 19:27
" Akaenda naye(mwanae) kwa jamaa zake, amembeba wakasema; Ewe Maryamu ! Hakika umeleta kitu cha ajabu";
Ahahahahaahahaahaha aya kasome tafsiri ya hiyo aya huko unaposomaga ahahahhaahahajaajajjaa Ahahahahaaaahqa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…