Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Huko kwenye USHOGA usiende usije sababishwa nikapigwa BAN au uzi kufutwa. Wasomaji kwakakosa kujifunza kuhusu STONE KISSERS cult!.
Who was this guy so called Dihyah Al-Kalbi to Muhammad? if i may ask first?

Mbona ulishajitangaza kuwa wewe ni kisoda, ?? Msaidie mgen anamwogopa Bashite😛
 
Tutangazie , woga umekushika wa nini?? Usikatishe vijana tamaa

Huna soko tena[emoji12] wee subiri team kiguzo akukamue ngama na kukuchezea mvutu kata.3 kwa raha zake! Ona athari ya kumgeza baba fatuma [emoji117]
 
Kama gavana ndio kapata jukwaa humu kupigia debe mgongo wa ngisi kila siku akitoka humu anaenda kilingeni kwake kushona hirizi, kuandi tarasimu kuosha mbuguma nuksi[emoji15] [emoji12] huku akisubiri kukamuliwa ngama [emoji15] [emoji38] [emoji38]
hahahaa.
check hii .

 
T
Na sisi Tu beep , usimwogope Bashite tutangazie woga umekushika wa nini??

Mapadri wenzako mbona wengi wamejitokeza, vijana unawakatisha tamaa

Huo ni mchezo wa kisilamu [emoji53] unajifanya Hujui [emoji15] [emoji12] na ktk wewe kumgeza Malinda yamesha fumuka umefika DARJA hii [emoji117] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
He is here listen to him

hahahaa so shallow nothing tangible there to make someone to convert to islam. he studied Christian, already he was a muslim. in other words he he didn't believe in it.
So what do you expect?
 

Naona mwenzetu utakuwa umeielewa vibaya hiyo Surah Al kahfi aya ya 18:83-86 inayosema
“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

inawezekana hapo Mwenyezi Mungu alikuwa akimaanisha kuwa wakati jua likiwa linazama Dhul- Qanaini alikuwa eneo lenye chemchem yenye matope meusi kwa wakati huo wa kuchwea kwa jua. ni sawa sawa na mtu akisema kuwa " tukiwa matemebezini mbugani na tulipofika Serengeti tu jua nalo likazama" haimaanishi kwamba jua limezama Serengeti bali kwa wakati huo giza lilianza kuingia wakiwa Serengeti. ni sawa sawa kabisa na haya hapo juu inavyosema ina maanisha giza lilianza kuifunika dunia/ usiku kuingia wakati Dhul-Qanaini akiwa eneo lenye chemchem yenye matope meusi.

ili kujua jinsi Allah na Uislamu kwa ujumla kupitia mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) alivyolielezea jua katika dunia. soma hapo chini

Kama ilivyoelezwa awali, Mwenyezi Mungu Ameumba Jua na Mwezi ili kuwezesha maisha ya Wanadamu katika sayari hii. Katika Qur’an Mwenyezi Mungu Anatufahamisha kwamba Jua na Mwezi vinakwenda na kuogelea kwa Amri yake:
“Mwenyezi Mungu ndiye aliyeziinua Mbingu bila ya nguzo mnazoziona hivi. Kisha Akatawala juu ya Arshi. Na Akaliitisha Jua na mwezi. Na kila kimoja kinaendeleya mpaka muda uliowekwa. Yeye ndiye anayeliendesha kila jambo. Anazipambanuwa aya hivi ili mpate yakini ya kukutana na Mola wenu”
Qur’an Surat Ar-Raa'd 13:2
Maisha ya kila kiumbe hai utegemea Jua kwa asilimia nyingi sana ili kiweze kupata sehemu yake ya uhai. Vile vile Jua, linatusaidia kujuwa nyakati za muda na hesabu za miaka na masiku. Mwenyezi Mungu analieleza baadhi ya faida zake kwenye Qur’ani, kwa ufupi lakini katika maana pana sana.
“Yeye ndiye aliye lijaalia Jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Mwenyezi Mungu hakuviumba hivyo ila kwa Haki. Anazipambanua Ishara kwa watu wanao Jua. Hakika katika kukhitalifiana usiku na mchana, na katika alivyo umba Mwenyezi Mungu katika mbingu na ardhi, zipo Ishara kwa watu wanao mcha-Mngu.”Qur'an Surat Yunus 10:5-6
Na ayah nyingine inasema:
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
Qur’an Surat Annabaa 78:11
Wataalam wanatueleza kuwa, Jua hupoteza tani milioni nne kwa sekunde. Ugunduzi wa sasa unaotumia satelaiti na komputa unaeleza jua kama zilivyo nyota zingine hufikia uzee yaani hufikia kipindi cha kuwa nova stage. Yaani mwanga wake huongezeka mara dufu wa huu tuliozoea. Na hali hii huchukua masiku na miezi kadhaa kama si miaka, kabla ya kufika hali ya kupasuka katika vipande vipande (Qur an 81:1-2), na kupotea nguvu zake kabisa.
Jua litakapo kunjwakunjwa Na nyota zitakapopukutika (zikazimwa)
Qur’ an Surat Attakwir 81:1-2
Hali hii itakopotokea ina maana mvutano ya kiasili yaani Gravitation Force haitakuwepo. Na hii itasababisha dunia kutokuwa na uvutano, kwa hiyo itasukwasukwa pamoja na matetemeko ya ardhi kutokea. Kama tunavyosoma katika Qur’ ani.
"Itakapotetemeshwa ardhi mtetemesho wake (mkubwa) Na itakopotoa ardhi mizigo yake.”
Qur’an Surat Az-Zilzalah 99:1-2
Itakapofika hali hii uhai wote hautakuwepo tena duniani, kwa sababu uhai wa viumbe vyote hapa duniani hutegemea Jua.
Wanasayansi wa Anga (Modern Astronomy) wamefanya kazi kubwa sana kiasi cha kutushangaza na magunduzi yao mengi mpaka dunia inaamua kuwazawadia zawadi mbalimbali katika mwaka 1917 SHAPLEY alikisia umbali wa jua kutoka katika Galaxy yetu hii ni 10 Kiloparsecs katika Maili. Hiyo ni namba yenye kufuatiwa na sifuri 17. Vilevile Jua hujizungusha katika muhimili wake.
Jua pamoja na Galaxy nzima huchukua kama miaka 250 milioni kumaliza mzunguko wake. Jua husafiri kwa uchache kilomita 241/sec kuzunguka ulimwengu. Na hujizungusha lenyewe kwa siku 25 ili kukamilisha mzunguko wa kujizungusha tofauti na dunia ambayo huchukua masaa 24 kujizungusha.
…Na jua linakwenda mpaka kituoni pake…. na vyote vinaogolea katika njia.Qur an Surat Ya-Sin 36:38-40
Vilevile:
Vyote vinaogelea katika njia yake...Qur’ an Suratul Anbiyaa 21:33
Allahu akbar, mambo hayo yalishaandikwa ndani ya Qur an miaka zaidi ya 1400 iliyopita.

---
Tafasiri ya Qur'an na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani

 
Ahahahahaahahaahaha tulia dawa ikuingie hizo hasira kapige ukuta , hakuna anae sema Mungu ndio anasema wewe kilaza

QURAN 42:11
"; There is NOTHING like him";

sasa unapoanza kulialia kama umenyimwa mshahara hilo tatizo lako sio langu , hiyo hadithi uliotoa inazungumzia habari ya watu kufufuka na kupewa hukumu yao, sasa unataka nikuonyeshe shape ipi wakati kiama bado ? huu sindio ukichaa ahahahhahahhahah , watu watamjua Mungu wakati watakapokuwa wameshatoka katika maisha haya , bila wasiwasi wowote waumini kama mimi tutamuona Mungu na kumtambua kwa sababu ya matendo yetu mazuri duniani, sio hilo tu kuna mambo mengi tutayapa kwa sababu ya kutekeleza maagizo tulivyokuwa duniani
 
there no original Arabic in the Quran Idiot. Even word Quran is not Arabic.
Acha bange wewe ahahaahahahahahahajajjajj ahahahaah kweli pombe sio chai wazee wa Mavumba ahahaahaahhajajajaja Mungu ataki harufu mbaya ahahhahaha , Mungu mla mikate anaogopa kuharisha
 
Huoni hapo shetani alikuwa kati ya swafan na aishà [emoji351] [emoji348] [emoji15] [emoji12] hiyo stori sikuitunga Mimi unaye nililia Lilia humu!
Kwa hiyo ndio imeandikwa alimshikia mguu swafan ? ahahahhaahhahaahahahhah unaleta akili za bange Ahahahahhaah
 
Naona mnadhalilishana kwasababu ya dini,huku wenyewe mkiamini kuwa mnapigania dini zenu.
Kila mmoja aheshimu imani/dini ya mwenzake.
 
Usiwaonyeshe Nguruwe wengi hivyo Issa anaweza goma kuja maana anakuja kufanya vita nao!!
Hata Yesu alipotoa mapepo aliwaelekeza kwenye nguruwe ahahahhahaahaaa ahahhaahhaahahahah kwa kweli aliona ndio mnyama wa ovyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…