Hao Ni waarabu. Na neno linatolewa kwenye dictionary ya kiarabu.
Huyo mohamed hijab ni mwarabu wa Misri anayedanganya kua allah prays For badala ya Allah prays On.
Huyu mwalimu wa kiarabu anayefundisha lugha ya kiarabu anamrekebisha Mohammad hijab kwamba neno "pray FOR" na "Pray ON" hayana tofauti.
Kinachowekwa sawa hapo ni Neno "On na For" ila kwenye pray hawabishani.
Hijab alitafuta mzingira aweze kuchomoa. Lakini Imekula kwake mazima
Na tumegundua mara nyingi tafsiri zote za Kurani kutoka kiarabu kwenda lugha zingine.
Kuna mengi yanaondolewa ili wasio waislamu waweze kuiamini ikiwemo kuweka mabano ili kubadili maana kwa makusudi. Hapa ndio cancer ya corruption inapoota mizizi.
Mf. Hata Aisha alipokua akiulizwa na mohammad kuhusu anachochezea hakua anasema anachezea Mdoli bali alikua anasema anachezea 'mtoto'. Kuonyesha ni jinsi gani Aisha alikua bado naive wa miaka sita.Ila tafsir zote za kwenda kingereza wanadanganya kua alijibu 'mdoli'.
Verily, God and His angels pray (yusalloona) for the prophet. O ye who believe! pray for him (salloo)and salute him with a salutation! S. 33:56 Palmer
Sent using
Jamii Forums mobile app